Member gani JF amekuwa chawa kupitiliza, kwa mtu au kitu 2023?

Member gani JF amekuwa chawa kupitiliza, kwa mtu au kitu 2023?

Mwaka ndo huo una elekea kuisha, kila mmoja ana mtazamo wake wengine furaha au huzuni.

👉Tukija Humu jf Kuna baadhi ya member wame kuwa na mapenzi yaliyo pitiliza kwa mtu au kitu kwa Mwaka huu 2023.
1, Lucas mwashambwa dah huyu brother nahisi tuki mchanja damu yake tuta kuta dna za chama chake.
👉yaani hata wakosee vipi huwezi msikia Aki kiri hilo, yeye ni kusifia tu. Nasikia ana tafuta teuzi.

2, dada FaizaFoxy, mama yetu huyu uchawa wake upo kwenye dini yake, yaani uki pingana nae kidogo lazima aku raruwe.
👉Sijui ni mapenzi au ndo Stimu za uzeeni.

3, Erythrocyte, aisee huyu nadhani ndo mpinzani wa mwashamba, yeye hajawai kuona jema la chama Cha upinzani, siku chama chake Kiki shinda tuta sema.

4, sinza pazuri na , aisee sijui ni jomba au manzi ila huyu kazidisha aisee, nahisi hata Aki lala ana iota wcb yenyewe.
👉Hataki kusikia kuwa Kuna wasanii wazuri kuzidi pale kwao.

Haya ni member gani aliye zidi uchawa kwa Mwaka huu 2023??.
👉 I mean no malice to nobody.
Alwaz Ritz Malaria 2
 
Mwaka ndo huo una elekea kuisha, kila mmoja ana mtazamo wake wengine furaha au huzuni.

👉Tukija Humu jf Kuna baadhi ya member wame kuwa na mapenzi yaliyo pitiliza kwa mtu au kitu kwa Mwaka huu 2023.
1, Lucas mwashambwa dah huyu brother nahisi tuki mchanja damu yake tuta kuta dna za chama chake.
👉yaani hata wakosee vipi huwezi msikia Aki kiri hilo, yeye ni kusifia tu. Nasikia ana tafuta teuzi.

2, dada FaizaFoxy, mama yetu huyu uchawa wake upo kwenye dini yake, yaani uki pingana nae kidogo lazima aku raruwe.
👉Sijui ni mapenzi au ndo Stimu za uzeeni.

3, Erythrocyte, aisee huyu nadhani ndo mpinzani wa mwashamba, yeye hajawai kuona jema la chama Cha upinzani, siku chama chake Kiki shinda tuta sema.

4, sinza pazuri na , aisee sijui ni jomba au manzi ila huyu kazidisha aisee, nahisi hata Aki lala ana iota wcb yenyewe.
👉Hataki kusikia kuwa Kuna wasanii wazuri kuzidi pale kwao.

Haya ni member gani aliye zidi uchawa kwa Mwaka huu 2023??.
👉 I mean no malice to nobody.
Harafu Erythrocyte atakwambia yeye sio chawa wakati ni chawa mwandamizi 😁😁
 
Mwaka ndo huo una elekea kuisha, kila mmoja ana mtazamo wake wengine furaha au huzuni.

👉Tukija Humu jf Kuna baadhi ya member wame kuwa na mapenzi yaliyo pitiliza kwa mtu au kitu kwa Mwaka huu 2023.
1, Lucas mwashambwa dah huyu brother nahisi tuki mchanja damu yake tuta kuta dna za chama chake.
👉yaani hata wakosee vipi huwezi msikia Aki kiri hilo, yeye ni kusifia tu. Nasikia ana tafuta teuzi.

2, dada FaizaFoxy, mama yetu huyu uchawa wake upo kwenye dini yake, yaani uki pingana nae kidogo lazima aku raruwe.
👉Sijui ni mapenzi au ndo Stimu za uzeeni.

3, Erythrocyte, aisee huyu nadhani ndo mpinzani wa mwashamba, yeye hajawai kuona jema la chama Cha upinzani, siku chama chake Kiki shinda tuta sema.

4, sinza pazuri na , aisee sijui ni jomba au manzi ila huyu kazidisha aisee, nahisi hata Aki lala ana iota wcb yenyewe.
👉Hataki kusikia kuwa Kuna wasanii wazuri kuzidi pale kwao.

Haya ni member gani aliye zidi uchawa kwa Mwaka huu 2023??.
👉 I mean no malice to nobody.
Nashukuru Wana jf wametambua kwamba Mimi sio chawa ila ni mpenda maendelea.

Kwenye upuuzi nitakutoa knockout na kwenye jambo zuri Niko tayari kulitetwa 24hrs.
 
Mwaka ndo huo una elekea kuisha, kila mmoja ana mtazamo wake wengine furaha au huzuni.

👉Tukija Humu jf Kuna baadhi ya member wame kuwa na mapenzi yaliyo pitiliza kwa mtu au kitu kwa Mwaka huu 2023.
1, Lucas mwashambwa dah huyu brother nahisi tuki mchanja damu yake tuta kuta dna za chama chake.
👉yaani hata wakosee vipi huwezi msikia Aki kiri hilo, yeye ni kusifia tu. Nasikia ana tafuta teuzi.

2, dada FaizaFoxy, mama yetu huyu uchawa wake upo kwenye dini yake, yaani uki pingana nae kidogo lazima aku raruwe.
👉Sijui ni mapenzi au ndo Stimu za uzeeni.

3, Erythrocyte, aisee huyu nadhani ndo mpinzani wa mwashamba, yeye hajawai kuona jema la chama Cha upinzani, siku chama chake Kiki shinda tuta sema.

4, sinza pazuri na , aisee sijui ni jomba au manzi ila huyu kazidisha aisee, nahisi hata Aki lala ana iota wcb yenyewe.
👉Hataki kusikia kuwa Kuna wasanii wazuri kuzidi pale kwao.

Haya ni member gani aliye zidi uchawa kwa Mwaka huu 2023??.
👉 I mean no malice to nobody.
ChawaWaMama
chawa wa mama
 
Harafu Erythrocyte atakwambia yeye sio chawa wakati ni chawa mwandamizi 😁😁
Nimefafanua sana humu kuhusu hili jambo , Wajinga wenzako wote wameelewa , sasa labda nikueleweshe wewe kichwa panzi ili ujue , Hakuna chawa Tajiri , mimi si kapuku , ni mchangiaji mkubwa wa harakati za Chadema , ni mfuasi wa Chadema , si mfuasi wa Mbowe au yeyote , angalia enzi za Dr Slaa , tulimuandika alipokuwa Chadema , aliponunuliwa tukampiga chini , kwahiyo kuniita chawa ni ama kuwafurahisha wanaokulipa au umeamua kujitoa akili tu , hakuna chawa anayekilipa chama chake mamilioni ya hela , hao chawa wenu akina Mwashambwa na Mwijaku hao wanalipwa na ccm , hawana hela ya kuilipa ccm.

Mimi nimeanzia siasa nikiwa London , tulikutana na Freeman tukiwa kama Diaspora , kwahiyo hatufanyi siasa za njaa , tunafanya siasa za kujitolea ili kusaidia hawa masikini wa Tanzania wanaokamuliwa hadi damu .

Mimi ninamiliki kiwanda kwa ajili ya export tu , tena nauza USA , CANADA , ENGLAND na SOUTH AFRICA , najivunia kuajiri watanzania zaidi ya 300 , mtu kama mimi ukiniita chawa utakuwa ama huna akili au umelogwa .

Ni kweli kwamba napigania chadema , lakini sipiganii watu binafsi , mimi ni tofauti na nyie wa ccm , watetezi wa Magufuli si watetezi wa Samia , mkikutana mnalogana ila eti wote ni ccm , kuna uzi humu umedai wewe utashughulikiwa kuanzia january 2024 , lakini aliyepanga kukushambulia ni mwanaccm mwenzio , nyie ndio mnagombania uchawa siyo sisi .

Hatufanyi siasa za kujikimu , Nadhani kwa haya machache angalau utapata mwanga kuhusu erythrocyte , kama umeelewa waambie na wenzako
 
Nimefafanua sana humu kuhusu hili jambo , Wajinga wenzako wote wameelewa , sasa labda nikueleweshe wewe kichwa panzi ili ujue , Hakuna chawa Tajiri , mimi si kapuku , ni mchangiaji mkubwa wa harakati za Chadema , ni mfuasi wa Chadema , si mfuasi wa Mbowe au yeyote , angalia enzi za Dr Slaa , tulimuandika alipokuwa Chadema , aliponunuliwa tukampiga chini , kwahiyo kuniita chawa ni ama kuwafurahisha wanaokulipa au umeamua kujitoa akili tu , hakuna chawa anayekilipa chama chake mamilioni ya hela , hao chawa wenu akina Mwashambwa na Mwijaku hao wanalipwa na ccm , hawana hela ya kuilipa ccm.

Mimi nimeanzia siasa nikiwa London , tulikutana na Freeman tukiwa kama Diaspora , kwahiyo hatufanyi siasa za njaa , tunafanya siasa za kujitolea ili kusaidia hawa masikini wa Tanzania wanaokamuliwa hadi damu .

Mimi ninamiliki kiwanda kwa ajili ya export tu , tena nauza USA , CANADA , ENGLAND na SOUTH AFRICA , najivunia kuajiri watanzania zaidi ya 300 , mtu kama mimi ukiniita chawa utakuwa ama huna akili au umelogwa .

Ni kweli kwamba napigania chadema , lakini sipiganii watu binafsi , mimi ni tofauti na nyie wa ccm , watetezi wa Magufuli si watetezi wa Samia , mkikutana mnalogana ila eti wote ni ccm , kuna uzi humu umedai wewe utashughulikiwa kuanzia january 2024 , lakini aliyepanga kukushambulia ni mwanaccm mwenzio , nyie ndio mnagombania uchawa siyo sisi .

Hatufanyi siasa za kujikimu , Nadhani kwa haya machache angalau utapata mwanga kuhusu erythrocyte , kama umeelewa waambie na wenzako
Uchawa hauna uhusiano na kipato.
 
Yani huyo Lucas nina hakika muda huu ana andaa uzi wa kumpa pole Rais kutokana na uchovu wa sikukuu na kuwapigania watanzania kipindi cha sikukuu….😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Nimefafanua sana humu kuhusu hili jambo , Wajinga wenzako wote wameelewa , sasa labda nikueleweshe wewe kichwa panzi ili ujue , Hakuna chawa Tajiri , mimi si kapuku , ni mchangiaji mkubwa wa harakati za Chadema , ni mfuasi wa Chadema , si mfuasi wa Mbowe au yeyote , angalia enzi za Dr Slaa , tulimuandika alipokuwa Chadema , aliponunuliwa tukampiga chini , kwahiyo kuniita chawa ni ama kuwafurahisha wanaokulipa au umeamua kujitoa akili tu , hakuna chawa anayekilipa chama chake mamilioni ya hela , hao chawa wenu akina Mwashambwa na Mwijaku hao wanalipwa na ccm , hawana hela ya kuilipa ccm.

Mimi nimeanzia siasa nikiwa London , tulikutana na Freeman tukiwa kama Diaspora , kwahiyo hatufanyi siasa za njaa , tunafanya siasa za kujitolea ili kusaidia hawa masikini wa Tanzania wanaokamuliwa hadi damu .

Mimi ninamiliki kiwanda kwa ajili ya export tu , tena nauza USA , CANADA , ENGLAND na SOUTH AFRICA , najivunia kuajiri watanzania zaidi ya 300 , mtu kama mimi ukiniita chawa utakuwa ama huna akili au umelogwa .

Ni kweli kwamba napigania chadema , lakini sipiganii watu binafsi , mimi ni tofauti na nyie wa ccm , watetezi wa Magufuli si watetezi wa Samia , mkikutana mnalogana ila eti wote ni ccm , kuna uzi humu umedai wewe utashughulikiwa kuanzia january 2024 , lakini aliyepanga kukushambulia ni mwanaccm mwenzio , nyie ndio mnagombania uchawa siyo sisi .

Hatufanyi siasa za kujikimu , Nadhani kwa haya machache angalau utapata mwanga kuhusu erythrocyte , kama umeelewa waambie na wenzako
Mimi nimeanzia siasa nikiwa London , tulikutana na Freeman tukiwa kama Diaspora , kwahiyo hatufanyi siasa za njaa , tunafanya siasa za kujitolea ili kusaidia hawa masikini wa Tanzania wanaokamuliwa hadi damu .


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeanzia siasa nikiwa London , tulikutana na Freeman tukiwa kama Diaspora , kwahiyo hatufanyi siasa za njaa , tunafanya siasa za kujitolea ili kusaidia hawa masikini wa Tanzania wanaokamuliwa hadi damu .


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana
 
Back
Top Bottom