Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣
Alwaz Ritz Malaria 2Mwaka ndo huo una elekea kuisha, kila mmoja ana mtazamo wake wengine furaha au huzuni.
👉Tukija Humu jf Kuna baadhi ya member wame kuwa na mapenzi yaliyo pitiliza kwa mtu au kitu kwa Mwaka huu 2023.
1, Lucas mwashambwa dah huyu brother nahisi tuki mchanja damu yake tuta kuta dna za chama chake.
👉yaani hata wakosee vipi huwezi msikia Aki kiri hilo, yeye ni kusifia tu. Nasikia ana tafuta teuzi.
2, dada FaizaFoxy, mama yetu huyu uchawa wake upo kwenye dini yake, yaani uki pingana nae kidogo lazima aku raruwe.
👉Sijui ni mapenzi au ndo Stimu za uzeeni.
3, Erythrocyte, aisee huyu nadhani ndo mpinzani wa mwashamba, yeye hajawai kuona jema la chama Cha upinzani, siku chama chake Kiki shinda tuta sema.
4, sinza pazuri na , aisee sijui ni jomba au manzi ila huyu kazidisha aisee, nahisi hata Aki lala ana iota wcb yenyewe.
👉Hataki kusikia kuwa Kuna wasanii wazuri kuzidi pale kwao.
Haya ni member gani aliye zidi uchawa kwa Mwaka huu 2023??.
👉 I mean no malice to nobody.
Ni mzalendo kweli kweli1 hadi 5 alipaswa kuwa Lucas
Harafu Erythrocyte atakwambia yeye sio chawa wakati ni chawa mwandamizi 😁😁Mwaka ndo huo una elekea kuisha, kila mmoja ana mtazamo wake wengine furaha au huzuni.
👉Tukija Humu jf Kuna baadhi ya member wame kuwa na mapenzi yaliyo pitiliza kwa mtu au kitu kwa Mwaka huu 2023.
1, Lucas mwashambwa dah huyu brother nahisi tuki mchanja damu yake tuta kuta dna za chama chake.
👉yaani hata wakosee vipi huwezi msikia Aki kiri hilo, yeye ni kusifia tu. Nasikia ana tafuta teuzi.
2, dada FaizaFoxy, mama yetu huyu uchawa wake upo kwenye dini yake, yaani uki pingana nae kidogo lazima aku raruwe.
👉Sijui ni mapenzi au ndo Stimu za uzeeni.
3, Erythrocyte, aisee huyu nadhani ndo mpinzani wa mwashamba, yeye hajawai kuona jema la chama Cha upinzani, siku chama chake Kiki shinda tuta sema.
4, sinza pazuri na , aisee sijui ni jomba au manzi ila huyu kazidisha aisee, nahisi hata Aki lala ana iota wcb yenyewe.
👉Hataki kusikia kuwa Kuna wasanii wazuri kuzidi pale kwao.
Haya ni member gani aliye zidi uchawa kwa Mwaka huu 2023??.
👉 I mean no malice to nobody.
Wengi wao ni wafuasi wa Chadema nawajua nitawafaja siku nyingineChawa wa boss wa jf unawajua?
Nashukuru Wana jf wametambua kwamba Mimi sio chawa ila ni mpenda maendelea.Mwaka ndo huo una elekea kuisha, kila mmoja ana mtazamo wake wengine furaha au huzuni.
👉Tukija Humu jf Kuna baadhi ya member wame kuwa na mapenzi yaliyo pitiliza kwa mtu au kitu kwa Mwaka huu 2023.
1, Lucas mwashambwa dah huyu brother nahisi tuki mchanja damu yake tuta kuta dna za chama chake.
👉yaani hata wakosee vipi huwezi msikia Aki kiri hilo, yeye ni kusifia tu. Nasikia ana tafuta teuzi.
2, dada FaizaFoxy, mama yetu huyu uchawa wake upo kwenye dini yake, yaani uki pingana nae kidogo lazima aku raruwe.
👉Sijui ni mapenzi au ndo Stimu za uzeeni.
3, Erythrocyte, aisee huyu nadhani ndo mpinzani wa mwashamba, yeye hajawai kuona jema la chama Cha upinzani, siku chama chake Kiki shinda tuta sema.
4, sinza pazuri na , aisee sijui ni jomba au manzi ila huyu kazidisha aisee, nahisi hata Aki lala ana iota wcb yenyewe.
👉Hataki kusikia kuwa Kuna wasanii wazuri kuzidi pale kwao.
Haya ni member gani aliye zidi uchawa kwa Mwaka huu 2023??.
👉 I mean no malice to nobody.
🤣🤣🤣 loh!Uyo luka akisifia weee mwisho wa bandiko anaweka na namba za simu wakubwa wampigie kumpongeza anavyo kitetea chama
Pumbavu kabisa 😂
ChawaWaMamaMwaka ndo huo una elekea kuisha, kila mmoja ana mtazamo wake wengine furaha au huzuni.
👉Tukija Humu jf Kuna baadhi ya member wame kuwa na mapenzi yaliyo pitiliza kwa mtu au kitu kwa Mwaka huu 2023.
1, Lucas mwashambwa dah huyu brother nahisi tuki mchanja damu yake tuta kuta dna za chama chake.
👉yaani hata wakosee vipi huwezi msikia Aki kiri hilo, yeye ni kusifia tu. Nasikia ana tafuta teuzi.
2, dada FaizaFoxy, mama yetu huyu uchawa wake upo kwenye dini yake, yaani uki pingana nae kidogo lazima aku raruwe.
👉Sijui ni mapenzi au ndo Stimu za uzeeni.
3, Erythrocyte, aisee huyu nadhani ndo mpinzani wa mwashamba, yeye hajawai kuona jema la chama Cha upinzani, siku chama chake Kiki shinda tuta sema.
4, sinza pazuri na , aisee sijui ni jomba au manzi ila huyu kazidisha aisee, nahisi hata Aki lala ana iota wcb yenyewe.
👉Hataki kusikia kuwa Kuna wasanii wazuri kuzidi pale kwao.
Haya ni member gani aliye zidi uchawa kwa Mwaka huu 2023??.
👉 I mean no malice to nobody.
Nimefafanua sana humu kuhusu hili jambo , Wajinga wenzako wote wameelewa , sasa labda nikueleweshe wewe kichwa panzi ili ujue , Hakuna chawa Tajiri , mimi si kapuku , ni mchangiaji mkubwa wa harakati za Chadema , ni mfuasi wa Chadema , si mfuasi wa Mbowe au yeyote , angalia enzi za Dr Slaa , tulimuandika alipokuwa Chadema , aliponunuliwa tukampiga chini , kwahiyo kuniita chawa ni ama kuwafurahisha wanaokulipa au umeamua kujitoa akili tu , hakuna chawa anayekilipa chama chake mamilioni ya hela , hao chawa wenu akina Mwashambwa na Mwijaku hao wanalipwa na ccm , hawana hela ya kuilipa ccm.Harafu Erythrocyte atakwambia yeye sio chawa wakati ni chawa mwandamizi 😁😁
Hahahahaha huyo Lucas mitishamba alifikia kiwango cha kumuona Samia akibubwajikwa na machozi na huzuni mkubwa kipindi cha maporomoko ya Hanang akaone ampe pole 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Dah kweli Lucas mwashambwa kapitioiza aisee, yeye kila siku ni kusifia tu.
Uchawa hauna uhusiano na kipato.Nimefafanua sana humu kuhusu hili jambo , Wajinga wenzako wote wameelewa , sasa labda nikueleweshe wewe kichwa panzi ili ujue , Hakuna chawa Tajiri , mimi si kapuku , ni mchangiaji mkubwa wa harakati za Chadema , ni mfuasi wa Chadema , si mfuasi wa Mbowe au yeyote , angalia enzi za Dr Slaa , tulimuandika alipokuwa Chadema , aliponunuliwa tukampiga chini , kwahiyo kuniita chawa ni ama kuwafurahisha wanaokulipa au umeamua kujitoa akili tu , hakuna chawa anayekilipa chama chake mamilioni ya hela , hao chawa wenu akina Mwashambwa na Mwijaku hao wanalipwa na ccm , hawana hela ya kuilipa ccm.
Mimi nimeanzia siasa nikiwa London , tulikutana na Freeman tukiwa kama Diaspora , kwahiyo hatufanyi siasa za njaa , tunafanya siasa za kujitolea ili kusaidia hawa masikini wa Tanzania wanaokamuliwa hadi damu .
Mimi ninamiliki kiwanda kwa ajili ya export tu , tena nauza USA , CANADA , ENGLAND na SOUTH AFRICA , najivunia kuajiri watanzania zaidi ya 300 , mtu kama mimi ukiniita chawa utakuwa ama huna akili au umelogwa .
Ni kweli kwamba napigania chadema , lakini sipiganii watu binafsi , mimi ni tofauti na nyie wa ccm , watetezi wa Magufuli si watetezi wa Samia , mkikutana mnalogana ila eti wote ni ccm , kuna uzi humu umedai wewe utashughulikiwa kuanzia january 2024 , lakini aliyepanga kukushambulia ni mwanaccm mwenzio , nyie ndio mnagombania uchawa siyo sisi .
Hatufanyi siasa za kujikimu , Nadhani kwa haya machache angalau utapata mwanga kuhusu erythrocyte , kama umeelewa waambie na wenzako
huna hojaUchawa hauna uhusiano na kipato.
Hhahahaha nimecheka sanaUyo luka akisifia weee mwisho wa bandiko anaweka na namba za simu wakubwa wampigie kumpongeza anavyo kitetea chama
Pumbavu kabisa [emoji23]
Mimi nimeanzia siasa nikiwa London , tulikutana na Freeman tukiwa kama Diaspora , kwahiyo hatufanyi siasa za njaa , tunafanya siasa za kujitolea ili kusaidia hawa masikini wa Tanzania wanaokamuliwa hadi damu .Nimefafanua sana humu kuhusu hili jambo , Wajinga wenzako wote wameelewa , sasa labda nikueleweshe wewe kichwa panzi ili ujue , Hakuna chawa Tajiri , mimi si kapuku , ni mchangiaji mkubwa wa harakati za Chadema , ni mfuasi wa Chadema , si mfuasi wa Mbowe au yeyote , angalia enzi za Dr Slaa , tulimuandika alipokuwa Chadema , aliponunuliwa tukampiga chini , kwahiyo kuniita chawa ni ama kuwafurahisha wanaokulipa au umeamua kujitoa akili tu , hakuna chawa anayekilipa chama chake mamilioni ya hela , hao chawa wenu akina Mwashambwa na Mwijaku hao wanalipwa na ccm , hawana hela ya kuilipa ccm.
Mimi nimeanzia siasa nikiwa London , tulikutana na Freeman tukiwa kama Diaspora , kwahiyo hatufanyi siasa za njaa , tunafanya siasa za kujitolea ili kusaidia hawa masikini wa Tanzania wanaokamuliwa hadi damu .
Mimi ninamiliki kiwanda kwa ajili ya export tu , tena nauza USA , CANADA , ENGLAND na SOUTH AFRICA , najivunia kuajiri watanzania zaidi ya 300 , mtu kama mimi ukiniita chawa utakuwa ama huna akili au umelogwa .
Ni kweli kwamba napigania chadema , lakini sipiganii watu binafsi , mimi ni tofauti na nyie wa ccm , watetezi wa Magufuli si watetezi wa Samia , mkikutana mnalogana ila eti wote ni ccm , kuna uzi humu umedai wewe utashughulikiwa kuanzia january 2024 , lakini aliyepanga kukushambulia ni mwanaccm mwenzio , nyie ndio mnagombania uchawa siyo sisi .
Hatufanyi siasa za kujikimu , Nadhani kwa haya machache angalau utapata mwanga kuhusu erythrocyte , kama umeelewa waambie na wenzako
Karibu sanaMimi nimeanzia siasa nikiwa London , tulikutana na Freeman tukiwa kama Diaspora , kwahiyo hatufanyi siasa za njaa , tunafanya siasa za kujitolea ili kusaidia hawa masikini wa Tanzania wanaokamuliwa hadi damu .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app