ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Siwezi kuwa chawa wa dini zenu za kishenzi hizo za Waarabu na Wazungukama mlivyo chawa wa huyu MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kuwa chawa wa dini zenu za kishenzi hizo za Waarabu na Wazungukama mlivyo chawa wa huyu MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
Watu Wana utani sanaKaribu sana
Hahahah we jamaa umenifurahisha.Hao wote Tisa....kumi Kijana wangu SAYVILLE huyu bwana mdogo anaisifia Simba kuliko uwezo ilionao, anatamani hata Timu zote zijitoe kwenye CAFCL ibaki Simba pekee na ipewe ubingwa.
Mambo mtoto mzuriNasoma comments
Poa za kwako?Mambo mtoto mzuri
Mwaka ndo huo una elekea kuisha, kila mmoja ana mtazamo wake wengine furaha au huzuni.
👉Tukija Humu jf Kuna baadhi ya member wame kuwa na mapenzi yaliyo pitiliza kwa mtu au kitu kwa Mwaka huu 2023.
1, Lucas mwashambwa dah huyu brother nahisi tuki mchanja damu yake tuta kuta dna za chama chake.
👉yaani hata wakosee vipi huwezi msikia Aki kiri hilo, yeye ni kusifia tu. Nasikia ana tafuta teuzi.
2, dada FaizaFoxy, mama yetu huyu uchawa wake upo kwenye dini yake, yaani uki pingana nae kidogo lazima aku raruwe.
👉Sijui ni mapenzi au ndo Stimu za uzeeni.
3, Erythrocyte, aisee huyu nadhani ndo mpinzani wa mwashamba, yeye hajawai kuona jema la chama Cha upinzani, siku chama chake Kiki shinda tuta sema.
4, sinza pazuri na , aisee sijui ni jomba au manzi ila huyu kazidisha aisee, nahisi hata Aki lala ana iota wcb yenyewe.
👉Hataki kusikia kuwa Kuna wasanii wazuri kuzidi pale kwao.
Haya ni member gani aliye zidi uchawa kwa Mwaka huu 2023??.
👉 I mean no malice to nobody
Safi . Ile V--PN ulinipea nilipoteza mtambo asee, alafu nilikuchek kitambo naona njia zimefungwa.Poa za kwako?
Umebadili jina tatizo😃Safi . Ile V--PN ulinipea nilipoteza mtambo asee, alafu nilikuchek kitambo naona njia zimefungwa.
Fanya namna PM.
Jina ni lile lile.Umebadili jina tatizo[emoji2]
Ngoja nirudi kukagua kwanza nioneJina ni lile lile.
Poa poaNgoja nirudi kukagua kwanza nione
Mwashambwa ni chawa mwenye njaaWatu Wana utani sana
Wewe ndio wa kukulinganisha na Mwashambwa kweli anayeweka namba ya simu🤣
Tena ile KaliMwashambwa ni chawa mwenye njaa
Mko sahihi 😆😄🤣Kuna sisi machawa wa kukataa ndoa na kuoa, tunaona walioa wengi Ni mazombi na vibwengo tu
Dah za ndani Eti we never ni chawa wa Darwin Nunez😄🤣Tena ile Kali
Na mabandiko yake yanachosha
Anazunguka humo ndani cha maana unakuta hakuna ,,ama point ipo moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣😄😆😆, Wasi tuvurugeSiwezi kuwa chawa wa dini zenu za kishenzi hizo za Waarabu na Wazungu