Member gani JF amekuwa chawa kupitiliza, kwa mtu au kitu 2023?

Hao wote Tisa....kumi Kijana wangu SAYVILLE huyu bwana mdogo anaisifia Simba kuliko uwezo ilionao, anatamani hata Timu zote zijitoe kwenye CAFCL ibaki Simba pekee na ipewe ubingwa.
Hahahah we jamaa umenifurahisha.

Mimi naleta mezani hoja kuntu zinazoambatana na data za uhakika, tatizo mnashindwa kuzipinga. Kabla sijasogea viunga vya JF nakuwa nimejipanga....ndiyo maana wahenga walisema "Hesabu ni lugha ya Mungu"
 


Huyo bamba moja unasifia sana lakini unaweza kukuta halipendi chama anatafuta teuzi tu. Ukiona mtu anafanya hivyo huyo ana agenda ya siri na siyo kusaidia chama. Wapenda chama hawapo hiyo, ni watu wanaosifia na kukosoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ