Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji9][emoji9][emoji9]Mzigua
We nawe huna msimamo. Nilishamkatalia Saint Ivuga kutoka nae nikajua we upo kumbe humaanishi.
Ujue wenzako wanaamini . Ohoo.Mi nilimpa mara moja tu.
Juzi nilivyo mention cap T fish market ungetakiwa uniambie nifanye reservations kabisaWe nawe huna msimamo. Nilishamkatalia Saint Ivuga kutoka nae nikajua we upo kumbe humaanishi.
mkuu sina maana hyu usiniharibie kwa Saint Ivuga tayari tunamialia nae, wengine nawataja kwa kuwasanifu tu hawana loloteWe nawe huna msimamo. Nilishamkatalia Saint Ivuga kutoka nae nikajua we upo kumbe humaanishi.
Guna tuMmmmmmmmh
Nina wivu sipendi kushea hata awe baamed nikijua aliye naye simludii tena sasa tayari wamemuwahi sitaki tenaHuwezijua labda zali linawezakua lako siunajua kutangulia sio kufika
Umenivunjia heshima sana. Yaani mimi ndio last option baada ya hao wawili kukutosa?!!! Umechelewa kuna wenzio watano wanataka niwe Valentine wao kichwa kinaniuma napanga ratiba kwasababu sitaki hata mmoja aumie.Ningependa nitoke na Nyani Ngabu sema yuko mbali, Saint Ivuga kaniambia hataki kutoka na mimi sababu nikipendeza wataniiba mafisi.
RRONDO Naomba Tutoke wote.
Twende Karambezi bwana.Juzi nilivyo mention cap T fish market ungetakiwa uniambie nifanye reservations kabisa