Member wa JF “Tumia Akili” alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu na kikatokeaa kweli. Mpaka leo naendelea kushangaa!!

Member wa JF “Tumia Akili” alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu na kikatokeaa kweli. Mpaka leo naendelea kushangaa!!

Tunae mwenzetu siku hizi sijui kapotelea wapi, anaitwa “Tumia akili”

Jamaa alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu, na kweli ikatokea.

Mpaka leo najiuliza ni namna gani baadhi ya wanadamu wenzetu walivyo na uwezo usio wa kawaida!
Kama alitabiri na ikatokea inamaana alikuwa ni sehemu ya huo mpango baada ya kufanikisha nayeye wakamuwahi ili asivujishe siri. Muosha huoshwa
 
Back
Top Bottom