Member wa JF “Tumia Akili” alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu na kikatokeaa kweli. Mpaka leo naendelea kushangaa!!

Member wa JF “Tumia Akili” alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu na kikatokeaa kweli. Mpaka leo naendelea kushangaa!!

Ngoja nami nitabiri kifo cha jirani yangu maana yuko hoi hospitali😆😆
 
U wapi uzi uliotabiri hicho kifo? Inabidi tuupitle ili tuweze kujiridhisha.
 
Kuna mambo huwa kuna % ya kutokea kama ukitabiri ...Kiongozi Mkubwa kufa nayo ina 100% kutokea kwani na wao ni binadaam ,labda angekuwa specific kama Godbless Lema alishatabiri.

Kugeneralize tu kwamba kiongozi flani mkubwa atakufa its likely asilimia 100 kutokea.

Hata kutabiri ajali nayo ni General maana ajali zinatokea kila siku ,utabiri mzuri ni wa kutaja kwamba siku flani gari la kampuni flani litapata ajalio au kiongozi flani hatoboi etc lakini ukigeneralize haina maana.
 
Mi nikisema we utakufa na ukafa inamaana nina uwezo usio wa kawaida? Kwani kuna mtu ambae hafi?
 
Tunae mwenzetu siku hizi sijui kapotelea wapi, anaitwa “Tumia akili”

Jamaa alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu, na kweli ikatokea.

Mpaka leo najiuliza ni namna gani baadhi ya wanadamu wenzetu walivyo na uwezo usio wa kawaida!
Mimi natabiri viongozi wote watakufa na sisi wote tutakufa.

Na kesho jua litaonekana kuchomoza.

Hapi vipi mkuu?
 
Mbona hata ID yake haipo tena..? Cleanup ilihusisha na JF nini ?

...... update......

.....ID na Uzi upo ...

Ila Jamaa haja login baada ya june 15 mwaka jana
 
Alisema hicho kifo kitatokea lini?

Mana n sawa na Mm leo niandike mada nikisema kuna kiongozi atakufa bila kutaja jina lake, tarehe ya tukio wala kutaja jambo lolote litakaloonyesha mhusika afu ikitokea kweli ety mje mseme nilitabiri, sasa huo ni upungufu wa akili.
 
Mbona hata ID yake haipo tena..? Cleanup ilihusisha na JF nini ?

...... update......

.....Uzi upo ...

Ila Jamaa haja login baada ya june 15 mwaka jana
Sasa mbona huyu tumia akili hajatabiri kifo ila huyu wa mada hii anazungumzia kifo?
 
Tunae mwenzetu siku hizi sijui kapotelea wapi, anaitwa “Tumia akili”

Jamaa alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu, na kweli ikatokea.

Mpaka leo najiuliza ni namna gani baadhi ya wanadamu wenzetu walivyo na uwezo usio wa kawaida!
Pengine na yeye kafariki! Hakuna wa kuishi milele!
 
Sasa mbona huyu tumia akili hajatabiri kifo ila huyu wa mada hii anazungumzia kifo?
Alisema hicho kifo kitatokea lini?

Mana n sawa na Mm leo niandike mada nikisema kuna kiongozi atakufa bila kutaja jina lake, tarehe ya tukio wala kutaja jambo lolote litakaloonyesha mhusika afu ikitokea kweli ety mje mseme nilitabiri, sasa huo ni upungufu wa akili.
Natabiri yule demu wako anayekupa jeuri ya kunidharau atakufa siku ya krismasi.

Ni bora afe ili urejeshe mapenzi kwangu
 
Mbona hata ID yake haipo tena..? Cleanup ilihusisha na JF nini ?

...... update......

.....Uzi upo ...

Ila Jamaa haja login baada ya june 15 mwaka jana
98% alitabiri ukweli
 
Back
Top Bottom