Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Zanzibar utaenda kesho(utabiri wangu)Hebu mlete aniambie lini niende Zanzibar
Kama alitabiri na ikatokea inamaana alikuwa ni sehemu ya huo mpango baada ya kufanikisha nayeye wakamuwahi ili asivujishe siri. Muosha huoshwaTunae mwenzetu siku hizi sijui kapotelea wapi, anaitwa “Tumia akili”
Jamaa alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu, na kweli ikatokea.
Mpaka leo najiuliza ni namna gani baadhi ya wanadamu wenzetu walivyo na uwezo usio wa kawaida!
Bado lipo hilo bwege, kuna siku lilikuja kujisifia humu...Kama alitabiri na ikatokea inamaana alikuwa ni sehemu ya huo mpango baada ya kufanikisha nayeye wakamuwahi ili asivujishe siri. Muosha huoshwa
Yule shetani ilikuwa simple kutabiri kifo chake,Tunae mwenzetu siku hizi sijui kapotelea wapi, anaitwa “Tumia akili”
Jamaa alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu, na kweli ikatokea.
Mpaka leo najiuliza ni namna gani baadhi ya wanadamu wenzetu walivyo na uwezo usio wa kawaida!
HatariTunae mwenzetu siku hizi sijui kapotelea wapi, anaitwa “Tumia akili”
Jamaa alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu, na kweli ikatokea.
Mpaka leo najiuliza ni namna gani baadhi ya wanadamu wenzetu walivyo na uwezo usio wa kawaida!
Dah,Bibi kachokwa kinoma!🤣🤣🤣Hebu mlete aniambie lini niende Zanzibar
Mkuu unataka afe nani?Tunae mwenzetu siku hizi sijui kapotelea wapi, anaitwa “Tumia akili”
Jamaa alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu, na kweli ikatokea.
Mpaka leo najiuliza ni namna gani baadhi ya wanadamu wenzetu walivyo na uwezo usio wa kawaida!
Alijua mpango wao.Tunae mwenzetu siku hizi sijui kapotelea wapi, anaitwa “Tumia akili”
Jamaa alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu, na kweli ikatokea.
Mpaka leo najiuliza ni namna gani baadhi ya wanadamu wenzetu walivyo na uwezo usio wa kawaida!