BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Kenyan News.
African leader taken ill, admitted to city hospital. Kama sijakosea kitu kwenye hiyo title
Thanks ma sister
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenyan News.
African leader taken ill, admitted to city hospital. Kama sijakosea kitu kwenye hiyo title
huyo genta na the bold sio wao wenyewe halisi. hizo ni ID mpya zimetumia majina hayo tuu...Tangu nijiunge JF kumekuwa na watu kwenye majukwaa tofauti kuwa active wakichangia hiki na kile. Kwa sababu tusizozijua watu hao kwa sasa hawapo, hawa hapa ni baadhi yao
Lizaboni
Simiyu Yetu
@Shyland
miss chagga
@Karauche
Munkari
MUSSA ALLAN
Gentamycin
Nifa
The bold
Je wewe unamkumbuka nani na kwa lipi?
kimwery lile Jukwaa pendwa litarudi tu Mkuu na mie mara nyingi naonekana kwenye majukwaa ya Vituko mitandaoni,kuna mwamba anaitwa Ukwaju. tangu jukwaa la chini kufutwa na yeye akapotea... 😂 am not sure lkn, maana siingiagi mara kwa mara humu ndani... kama upo active mkuu 🙌😄
Nimemmiss mno huyu mkuu. Popote aliko arudi JF.
Duh hatari na nusuNi upumbavu tu, mtu unabadili ID alafu umekaa silent maana yake nini! Kwani ukisema unatumia ID mpya kuna shida gani!!! Nani anakujua wewe!!!
Shunie amefanyaje mkuuShunie, Khumbu
Duh hatari na nusu
Kweli mkuuMkuu, mtu mpaka anaanzishiwa thread lakini hajitokezi maana yake nini! No anybody anaekujua. Akili zingine bwana 😂😂😂
ze-dudu tutafutane JF kubwa na kuna machimbo mengi kuna hadithi true storyTumepotea wengi kule
Ukute wengine hapo walishahamia kwenye mbao.Tangu nijiunge JF kumekuwa na watu kwenye majukwaa tofauti kuwa active wakichangia hiki na kile. Kwa sababu tusizozijua watu hao kwa sasa hawapo, hawa hapa ni baadhi yao
Lizaboni
Simiyu Yetu
@Shyland
miss chagga
@Karauche
Munkari
MUSSA ALLAN
Gentamycin
Nifa
The bold
Je wewe unamkumbuka nani na kwa lipi?
Hawa kweli wamemis showze-dudu tutafutane JF kubwa na kuna machimbo mengi kuna hadithi true story
jamaa kazamia chimbo Msumbiji
mwingine uchawi Congo
mwingine sh 100 ya 1993
mwingine Durbun SA
ss bado kwenye anga zetu tunapatikana machimbo yaleyale na yatafunguliwa
View attachment 1724589
unamuogopea nini Adui yako pambana naye akiwa hai, ili aujue ulimwengu upo upande wake au mwingine, sasa mtu haingii humu anatuma watu si wakamwambie legeza watu wanaangamia kwa kukosa habarikuna mtawala fulani tangu aliposhika madaraka, baadhi ya wachangia mijadala jf wakaamua kuchukua ustaarabu wa kukaa kimya.
jeuri na ukatili wa mtawala yule kwa kiasi fulani imechangia kujaza hofu na kukatisha tamaa baadhi yetu mpaka tukaamua kuzisusa ID zetu pendwa za zamani.
mtawala yule hana jema, umsifie haisaidii, umkosoe pia haisaidii maana hapendi kukosolewa, sana sana utaishia kupewa kesi ya uhujumu uchumi.
mimi pia ni mmoja ya watu ambao ID yangu maarufu ya tangu mwaka 2010, niliisusa mwaka 2018, miaka mitatu tu baada ya mtawale yule kuingia madarakani.
inshallah siku Mungu akimpenda mtawala yule au vyovyote vile itakavyokuwa, nitaerejea jf kwa ID yangu ileile maarufu ya zamani.