Members wa JF bwana!!!!

Members wa JF bwana!!!!

nilishawai kukutana na mwanajf mmoja . tulienda hadi home kwake.ile sio nyumba wala mjumba sijui niiteje maana kila chumba kila bafu na gym yake .camera hadi chooni. elimu yake sijui nisemeje .ni super rich. ila huwezi amini humu jf ana post za kipuuzi sijawai ona.unaweza kumkuta hata kwenye post za team mond au kiba na yeye anatukana kule. ukienda mmu kajaa tele .ukienda chit chat ndo usiseme ni ngumu kabiasa kujua huyu jamaa ni mtu anaeheshimika vibaya mno ndani na nje ya nchi. maisha ya jf hayana uhalisia wowote .
miss chagga lara 1 njooni niwape chimbo muachane na shida za dunia
tehe tehe tehe si ujiongeze we mwenyewe
 
Nilichogundua walio wengi ni wepesi wa kusahau wanavyokuwa wameviandika nyuma na sa sijui wanakuwa hawajui kama tulio wengi tunaona.

Ila kiukweli mwanzoni kaka nilipata sana shida ila sasa hivi. Akaaaaa.
Pole sana Dada, ndio watu walivyo aisee... Huku ukichukulia vitu vingine serious hautaendelea.. Mimi huwa nachukua vitu vya maana kwa faida yangu...Visivyo na maana napotezea tu na maisha yanaendelea
 
Kitendo cha kua na fake id kinaonesha kuwa maisha ya humu co real wala ucjickie vibaya kuwa na pretend life in jf
 
Wewe.. . Kwenye kasri lake la Tabata ni kama machinjio ya Vingunguti. Videmu huwa vinalalamika jamaa ana mashine kama ya punda lakini bado vinapanga foleni kubanduliwa. Pesa ni sabuni ya roho
TABATA kinyerezi [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom