Members wa JF bwana!!!!

Members wa JF bwana!!!!

hahaahahhah, kumbe upo. habari za Ijumaa. hahahaahah. si unakumbuka Shunie ndie aliyenishawishi kukufolo kuleeeeeeeeeeeeeeeee

Nipo majukumuu tu ndio yanabana, Ijumaa ipo salama, sijui kwa upande wako!? Hahahahahahaha Shunie kumbe anaushawishi kama wa mange kimambi!! Kuleee sijaingia siku za karibuni, ngoja nikapachungulie kwanza, hahahahahahaha!!
 
Back
Top Bottom