Members wengi wa JamiiForums ni watumiaji wa Tecno

Members wengi wa JamiiForums ni watumiaji wa Tecno

Hivi kwa nini mnaponda tecno wakati inafanya vizuri kwenye soko la Afrika, halafu sioni tofauti kubwa sana kwenye simu za Android

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwa nini mnaponda tecno wakati inafanya vizuri kwenye soko la Afrika, halafu sioni tofauti kubwa sana kwenye simu za Android

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Sitegemei uiponde TECNO hasa TECNO-C8.
 
Jamii forum imekua kama sekondari sasa. Usipovaa kiatu cha guchi au shati la tomato we fala tu. Daah aya bhana

Nokia Jeneza
 
JamiiForums naona mmeamua kuwachagulia watumiaji wenu signature automatically.

Tecno imeteka soko la Tanzania, maana kila mtu akipost, chini unaona sent from Tecno...[emoji3]

Ushauri kwa wanaotongoza humu na kusema wanatumia iPhone 7, na wanaponda hizi simu zetu; badilisheni signature. Hii ni baada ya mtu kupost anatoa ajira, alafu mdau mmoja akasema na unatymia Tecno X utawezaje kumlipa mshahara[emoji20] .

Conclusion: doctor wangu ana V8, pamoja na Nokia torch.


-callmeGhost
Wee unatumia ipi mkuu
 
Kutumia tecno muhimu

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
Hizo simu zenu za Galaxy note zinaandika na hii tecno yangu inaadika na ku-comment.Sijaona tofauti kati ya tecno na simu nyingine

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
Tecno simu zao ni mbovu sana.... Wanao tumia tecno wengi wao wana roho ngumu sana..


Sent from my Diamond Rose Iphone 32 GB using JamiiForums Mobile App
 
Tecno simu zao ni mbovu sana.... Wanao tumia tecno wengi wao wana roho ngumu sana..


Sent from my Diamond Rose Iphone 32 GB using JamiiForums Mobile App
*Admin samahani nauliza hivi eti sisi wenye simu za iphone7 post zetu tunachanganya na wenye tecno?*
 
Wee unatumia ipi mkuu
Nina Tecno H6 na iPhone 6s plus. Ninajivunia na tecno. Kusema ukweli, sijawahi ona simu cheap na yenye specs nzuri kama hii Tecno H6. iPhone natumia kwenye Picha tu na kuuza sura.

-callmeGhost
 
Hii unayoongelea ni ukiwa na jamii app kwenye simu au?? Mimi situmii jamii app na nikienda ktk signature eidha hakijaandikwa kitu au naandika mwenyewe!
Sijaelewa kwa undani unaposema signature labda unamaanisha nini!
Kwangu signature ni maneno yako umeandika na kila mtu anayesoma post yako yanakuwa chini kabisa, correct me if iam wrong too!
76867038e78b1a82c07d4d730e5189fe.jpg


Mimi situmii sana browser. Ila kwenye app inakuwa kama hivyo[emoji115] [emoji115]

-callmeGhost
 
Back
Top Bottom