Meneja Huduma za Utangazaji kutoka TCRA asema "Waandishi wengi wa Habari hawajui kusoma tarakimu"

Meneja Huduma za Utangazaji kutoka TCRA asema "Waandishi wengi wa Habari hawajui kusoma tarakimu"

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Screenshot 2024-06-14 150621.jpg
Meneja Huduma za Utangazaji kutoka TCRA, Inj. Andrew Kisaka, amesema asilimia kubwa ya Waandishi wa Habari hawajui kusoma tarakimu hasa wakiandikiwa ili wasome, kwani wamezoea maneno isipokuwa tarakimu za laki kwani ndizo wanacheza nazo kila wakati, hivyo hivyo ameiomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, kutumia maneno zaidi ,ili wananchi wasije pewa matokeo tofauti wakati wa uchaguzi.

Inj.Kisaka anaeleza haya katika mkutano wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi na waandishi wa Habari ,kuhusu uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaoendelea katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam.

Chanzo: ITV
 
Meneja Huduma za Utangazaji kutoka TCRA, Inj. Andrew Kisaka, amesema asilimia kubwa ya Waandishi wa Habari hawajui kusoma tarakimu hasa wakiandikiwa ili wasome, kwani wamezoea maneno isipokuwa tarakimu za laki kwani ndizo wanacheza nazo kila wakati, hivyo hivyo ameiomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, kutumia maneno zaidi ,ili wananchi wasije pewa matokeo tofauti wakati wa uchaguzi.

Inj.Kisaka anaeleza haya katika mkutano wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi na waandishi wa Habari ,kuhusu uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaoendelea katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam.

Chanzo: ITV
Waandishi wa Habari wengi ni VILAZA
 
Kwenye kusoma tarakimu sio waandishi wa habari ndo wenye changamoto hiyo,hata mawaziri na Wabunge huwa wanababaika.

Wanao jiunga na taaluma ya uandishi wa habari ni wengi,lakini wanao hitimu taaluma hiyo ile serious ni wachache sana,wengi hujikuta wanapenda kuwa PRO na sio waandishi.

Ni juzi hapa nilikuwa na kijana,ambaye anajiandaa kwenda kidato Cha tano,nilipo mwambia asome tarakimu ya bajeti ya wizara ya Elimu hapo chini alishindwa.[emoji116]
View attachment 3019799
 
Meneja Huduma za Utangazaji kutoka TCRA, Inj. Andrew Kisaka, amesema asilimia kubwa ya Waandishi wa Habari hawajui kusoma tarakimu hasa wakiandikiwa ili wasome, kwani wamezoea maneno isipokuwa tarakimu za laki kwani ndizo wanacheza nazo kila wakati, hivyo hivyo ameiomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, kutumia maneno zaidi ,ili wananchi wasije pewa matokeo tofauti wakati wa uchaguzi.

Inj.Kisaka anaeleza haya katika mkutano wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi na waandishi wa Habari ,kuhusu uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaoendelea katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam.

Chanzo: itvtz

Waandishi wa Habari ninaowaheshimu hasa ni wa Kenya na Uganda na kwa huko Marekani na Ulaya ni Wote kabisa.
 
Sasa kama hatuwekezi kwenye taaluma za watu na kuamini kwenye uchawa na kupiga kelele kwanini tusifike huku?
 
Meneja Huduma za Utangazaji kutoka TCRA, Inj. Andrew Kisaka, amesema asilimia kubwa ya Waandishi wa Habari hawajui kusoma tarakimu hasa wakiandikiwa ili wasome, kwani wamezoea maneno isipokuwa tarakimu za laki kwani ndizo wanacheza nazo kila wakati, hivyo hivyo ameiomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, kutumia maneno zaidi ,ili wananchi wasije pewa matokeo tofauti wakati wa uchaguzi.

Inj.Kisaka anaeleza haya katika mkutano wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi na waandishi wa Habari ,kuhusu uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaoendelea katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam.

Chanzo: ITV
Tatizo Waandishi wa Habari wengi zaidi ni Chawa, wao kazi yao wanayoiweza ni Kusifu na Kuabudu watawala! Basi.
Elimu kichwani hawana.
 
Ni kweli, hasa zinapofikia milioni inakuwa shughuli pevu kuzisoma. Someni hii 725, 481, 934 niishie hapo. Sasa kama mtu elimu ya msingi hakujifunza vema hesabu mara akaingia sekondari akakwepana na maths kakimbilia HKL na makombi mengine ya art, akafika vasity bila kujua hesabu, huyo mtu atawezaje kuzitamka vema tarakimu? Hao waandishi nawashauri wakosome tena hesabu za shule ya msingi kuanzia darasa la kwanza hadi la saba. Ni rahisi kujifunza wenyewe kutamka tarakimu
 
Back
Top Bottom