RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
250/4=62Ipo mara moja kwa week mkuu!
Abiria 62 kwa siku kwa ndege kama Bombardier sio mbaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
250/4=62Ipo mara moja kwa week mkuu!
Meneja wa uwanja wa ndege wa Chato amesema uwanja huo umefikia 95% ya ujenzi wake na kwamba uwanja huo umekuwa msaada mkubwa sana kwa wakazi wa kanda ya ziwa na nchi jirani.
Meneja amesema mpaka sasa kwa wasitani wana hudumia abiria 250 kwa mwezi.
unajua umbali wa kutoka katoro to chato na katoro to mwanza mjini ? humtoi mtu katoro akatumie huo uwanja , neverSafi sana Magufuli! Ni mwanzo mzuri! Wafanya biashara wa katoro,muleba na chato fursa hiyo kwa usafiri safi!
Hao mbona wengi sn mkuu ni viongozi walioenda na PM last monthHakuna haja ya kuhakiki,wastani wa abiria nane kwa siku ni kituko
Chato jiografia yake imejitenga sana hakuna wa kwenda kule na population yao ni ndogo sanaMkuu (mfano) wenye makampuni ya mabasi wanapotoa mabasi mapya huwa wanayatoa kipindi ambacho hhakuna wateja/abilia wengi kama ilivyo mwezi wa kumi na mbili.
Na kwa kipindi hicho chombo usafiri na abilia mpaka 11 huku wengi wa hao wakiwa wa njiani, na uchoma mafuta na tyres kurika kwa hata miezi 5 na huwa wanaamini bandaye msimu na abilia wakitambua huduma zake watakuja na kutumia gari zake.
Unadhani ile safari ya India ndege ilijaza abilia wote 200na kenda?
Inakuja kwa week mara moja mkuu! Wastani wa abiria 60 mpaka 70! Sio mbaya ukizingatia huko abiria watazidi kuongezeka mwaka hadi mwaka!Hakuna haja ya kuhakiki,wastani wa abiria nane kwa siku ni kituko
Meneja wa uwanja wa ndege wa Chato amesema uwanja huo umefikia 95% ya ujenzi wake na kwamba uwanja huo umekuwa msaada mkubwa sana kwa wakazi wa kanda ya ziwa na nchi jirani.
Meneja amesema mpaka sasa kwa wasitani wana hudumia abiria 250 kwa mwezi.
Huo ni uwanja wa ndege,usilete story za mabasi!Mkuu (mfano) wenye makampuni ya mabasi wanapotoa mabasi mapya huwa wanayatoa kipindi ambacho hhakuna wateja/abilia wengi kama ilivyo mwezi wa kumi na mbili.
Na kwa kipindi hicho chombo usafiri na abilia mpaka 11 huku wengi wa hao wakiwa wa njiani, na uchoma mafuta na tyres kurika kwa hata miezi 5 na huwa wanaamini bandaye msimu na abilia wakitambua huduma zake watakuja na kutumia gari zake.
Unadhani ile safari ya India ndege ilijaza abilia wote 200na kenda?
Watu wote waliufyata yule kidume alivyojenga huu uwanja250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
Wewe hujawahi kufika huko! Population ni kuwa sana maana Kakonko,biharamuro,muleba ,chato na geita ukizingatia kuna madini kwa wingi!Chato jiografia yake imejitenga sana hakuna wa kwenda kule na population yao ni ndogo sana
Kahama uwanja wa ndege upo fatilia vizuri!Huo ni uwanja wa ndege,usilete story za mabasi!
Kuna maeneo ambayo Yana mahitaji ya uwanja wa ndege,mji kama Kahama ambao umechanganya sana kibiashara!Sasa unapoenda kuweka uwanja sehemu ambayo Bado Haina demand ya uwanja,unaonekana mwendawazimu!
Yaani unaacha maeneo potential unaenda kuzika Hela sehemu isiyo na mwamko!
Wee vp?Uwanja wa changarawe!Hata Air Tanzania hawatui kwenye hizo changarawe!Tena uwanja wenyewe wa Buzwagi!Kahama uwanja wa ndege upo fatilia vizuri!
Yaani mi wa kwenda Kakonko nishukie Chato halafu nipande gari 225km?Wewe hujawahi kufika huko! Population ni kuwa sana maana Kakonko,biharamuro,muleba ,chato na geita ukizingatia kuna madini kwa wingi!
Mbona siku hizi hatusikiii hata zile Nairobi?Mkuu (mfano) wenye makampuni ya mabasi wanapotoa mabasi mapya huwa wanayatoa kipindi ambacho hhakuna wateja/abilia wengi kama ilivyo mwezi wa kumi na mbili.
Na kwa kipindi hicho chombo usafiri na abilia mpaka 11 huku wengi wa hao wakiwa wa njiani, na uchoma mafuta na tyres kurika kwa hata miezi 5 na huwa wanaamini bandaye msimu na abilia wakitambua huduma zake watakuja na kutumia gari zake.
Unadhani ile safari ya India ndege ilijaza abilia wote 200na kenda?
Napajua sana huko,muleba to bukoba ni chini ya masaa mawili usafiri masaa yote,chato to muleba sio karibu hivyo na zile kona konaWewe hujawahi kufika huko! Population ni kuwa sana maana Kakonko,biharamuro,muleba ,chato na geita ukizingatia kuna madini kwa wingi!
Wewe ni taahira! Katoro Chato kilometer 45 na katoro mwanza kilometer 165 uwezo unafatilia! Katoro niko ndani ya wilaya ya chato wewe inakuja kutuambia kutoka katoro kwenda mwanza ni karibu kuliko kutoka katoro kwenda chato!unajua umbali wa kutoka katoro to chato na katoro to mwanza mjini ? humtoi mtu katoro akatumie huo uwanja , never
Ndege siyo mchomoko wa Buseresere Nyakanazi. Usiwadanganye hao watu. Huo usafiri siyo saizi ya hao wanyonge.Usiwabeze wasukuma mkuu, wale jamaa hawapendi unyonge...watapanda sana ndege
Ndio maana nimesema wastani!Hakuna ndege ya kila siku hapo. Possibly once a week
Meneja wa uwanja wa ndege wa Chato amesema uwanja huo umefikia 95% ya ujenzi wake na kwamba uwanja huo umekuwa msaada mkubwa sana kwa wakazi wa kanda ya ziwa na nchi jirani.
Meneja amesema mpaka sasa kwa wasitani wana hudumia abiria 250 kwa mwezi.