Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

Kwani mikoa mingine ndege inatua mara mbili kwa week inakuwaje? Mkuu usifikirie leo tu fikiria baada ya miaka kadhaa umuhimu wake utaonekana! Hata kiwanja cha ndege cha mwanza alikuwa anakitumia Williamson Diamond lakini leo umuhimu wake kwa nchi ni makubwa! Panueni ubongo vichwa panzi nyie!
Makosa ya wengine ndiyo utumie kujitetea?Nani aijuaye kesho.Tusifanye mambo ya kipuuzi kwa kutegemea watu watasema..."yatabadilika tu"...!Ujinga!Tufanye mambo kwa uhalisia na ukweli.Siyo kujimwambafy kwa kishamba tu.
 
Hivi wewe vijana wa katoro chato unawajua unawasikia? Ukikaa Dar chumba sebure unavimba kichwa! Katoro pale kuna wanaume wanahela za kutosha tu! Au unamaanisha wasukuma wahawandi ndege? Nenda hapo airport upande wa wasafiri wa local utajua hujui!
Hahahahaha........Huu mchezo hauhitaji hasira bwashee.
 
Mkuu,suala ni muda gani uwanja ujengwe Kwa kuangalia mahitaji ya wakati uliopo!Sasa unajenga uwanja wa ndege Ili uje kuwa na tija baada ya miaka 50,kweli hiyo ni akili?Ilitakiwa patengwe tu eneo Ili baada ya hiyo miaka 50 kama utahitajika basi ujengwe!
Tukubaliane,uwanja wa Chato ulijengwa Kwa sababu JPM anatoka Chato!Hakuna sababu za kiuchumi zilizokuwepo juu ya uwanja Huo!
Ni eneo gani lingine Tanzania lenye mazingira kama ya Chato limepata uwanja?
Kwako wewe na uwezo wako wa kufikiri sawa! Ila nikuulize hapa juzi juzi kulikuwa na wilaya kibao hazina hospital miaka 50 ya uhuru unajua watu walivotaabika? Waafrika tunatabia ya kufanya mambo kwa zima moto kwa kusema tunajenga hichi kutoka na mahitaji ya sasa! Very stupid mind set!! Hata Barabara ya Kimara kibaha kwa mtu mjinga atasema wangejenga njia nne badala ya nane! Mawazo ya kimasikini sana na ujinga wa hali ya huu! Geita na chato na maeneo ya jirani yanawatu wengi wachimbaji na wafugaji na wakulima! Wewe unawaza kila kitu kifanyike Dar, arusha au mwanza!
 
Hahahahaha........Huu mchezo hauhitaji hasira bwashee.
Tembelea nchi utajua ninachokueleza! Sisi vijana wa mjini tunadanganyana sana! Mara nyingi tunafanyia kazi bill tu za kila mwezi kuna vijana mikoani huko hata huwagusi kwa kila kitu! Labda ujuaji tu!
 
Sio kwamba hao abiri ni wa Chato,mfano ndege ikitoka dar inaenda Mwanza,ikitua Chato na abiria 70,walashuka watatu,basi uwanja unarecord umehudumia abiria 70 japo hao wengine 67 wanaenda Mwanza!
Hakuna route inayoanzia Chato au kuishia Chato!
Ni maigizo tupu
 
Usiwabeze wasukuma mkuu, wale jamaa hawapendi unyonge...watapanda sana ndege
Hapo Ni Kijiji Cha wavuvi,na Hakuna wasukuma hapo,
Wenyeji wa Kijiji hicho ni wasubi asili yao Ni Burundi na Rwanda.
 
Nchi hii mimi ninayakubali makabila 2.
1. Msukuma 80% ni wakweli na wakarimu wa kweli.
2. Mmasai wa porini ni mkweli hajui kupindisha neno.

The rest ni majanga matupu Tanzania.
....mimi sio miongoni mwa makabila niliyoyataja....
Utakua hauwajui wasukuma we
 
unajua umbali wa kutoka katoro to chato na katoro to mwanza mjini ? humtoi mtu katoro akatumie huo uwanja , never

Niko katoro ili nisafiri kutumia chato airport itanibidi nkalale chato.

Huyu jamaa alikuwa kichaa grade A.


Serikali kuepuka hasara itabidi waunde mkoa mpya na chato iwe makao makuu ya mkoa ili movement ziwe nyingi huko.otherwise huu uwanja utakuja kufungwa.
 
Hapo Ni Kijiji Cha wavuvi,na Hakuna wasukuma hapo,
Wenyeji wa Kijiji hicho ni wasubi asili yao Ni Burundi na Rwanda.
Tuambie sehemu gani nchi hii hutakuta msukuma? Au utakuta kabila moja tu? Unategemea hata wavuvi hapo chato wawe wasubi tu? Hapo kuna kila kabila la kanda ya ziwa mkuu!
 
Niko katoro ili nisafiri kutumia chato airport itanibidi nkalale chato.

Huyu jamaa alikuwa kichaa grade A.


Serikali kuepuka hasara itabidi waunde mkoa mpya na chato iwe makao makuu ya mkoa ili movement ziwe nyingi huko.otherwise huu uwanja utakuja kufungwa.
Hauko chato wewe kichwa panzi! Hautafungwa jidanganye hizo sehemu kuna watu watafutaji sana mkuu!
 
Kwako wewe na uwezo wako wa kufikiri sawa! Ila nikuulize hapa juzi juzi kulikuwa na wilaya kibao hazina hospital miaka 50 ya uhuru unajua watu walivotaabika? Waafrika tunatabia ya kufanya mambo kwa zima moto kwa kusema tunajenga hichi kutoka na mahitaji ya sasa! Very stupid mind set!! Hata Barabara ya Kimara kibaha kwa mtu mjinga atasema wangejenga njia nne badala ya nane! Mawazo ya kimasikini sana na ujinga wa hali ya huu! Geita na chato na maeneo ya jirani yanawatu wengi wachimbaji na wafugaji na wakulima! Wewe unawaza kila kitu kifanyike Dar, arusha au mwanza!
Mkuu usinilishe maneno,nimesema uwanja ujengwe sehemu yenye uhitaji!Uwanja sio kama hospitali au barabara,unatenga tu eneo na muda wowote kiwanja kinajengwa!Uwanja ukikosekana eneo Fulani sio kwamba watu watakufa,kwahiyo sio sawa kulinganisha na hospitali!
Ningeona Kuna mantiki kama uwanja ungejengwa Geita!Au uwanja Huo ungejengwa Kahama ambako Kuna mzunguko mkubwa wa biashara na pamekua sana!Fikiri mtu wa Kahama,mpaka aende Mwanza kupanda ndege!
Mtu wa Geita hawezi kwenda kupanda ndege Chato,maana kwanza umbali wa kwenda Chato na kwenda Mwanza Karibu ni sawa!Halafu Mwanza Kuna uhakika wa ndege kila siku!
Sio Kwa chuki,uwanja wa Chato haukustahili kujengwa kipindi hiki badala yake ungejengwa Kahama au Geita!
 
Yaani huo uwanja Bora wangejenga Arusha. Sehemu yenye utalii
 
Bas
Mkuu usinilishe maneno,nimesema uwanja ujengwe sehemu yenye uhitaji!Uwanja sio kama hospitali au barabara,unatenga tu eneo na muda wowote kiwanja kinajengwa!Uwanja ukikosekana eneo Fulani sio kwamba watu watakufa,kwahiyo sio sawa kulinganisha na hospitali!
Ningeona Kuna mantiki kama uwanja ungejengwa Geita!Au uwanja Huo ungejengwa Kahama ambako Kuna mzunguko mkubwa wa biashara na pamekua sana!Fikiri mtu wa Kahama,mpaka aende Mwanza kupanda ndege!
Mtu wa Geita hawezi kwenda kupanda ndege Chato,maana kwanza umbali wa kwenda Chato na kwenda Mwanza Karibu ni sawa!Halafu Mwanza Kuna uhakika wa ndege kila siku!
Sio Kwa chuki,uwanja wa Chato haukustahili kujengwa kipindi hiki badala yake ungejengwa Kahama au Geita!
Kaka ndege sio basi! Unaposema uhakika maana yake unafikiria ndege unakata kiket hapo kwa papo! Usijifanye kuwa unahuruma na Kahama! Hata ungejengwa Kahama ungekuja hapa kurarama kwa nini wilaya iwe na uwanja wa ndege! Nyinyi hamna jema akili zenu zinaona leo tu!
 
Back
Top Bottom