chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Changamoto za kifamilia.Chanzo cha kifo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto za kifamilia.Chanzo cha kifo?
Dr tupe uhalisia wa mambo huko yakoje hospitalAcha kujidanganya ,nafanya kazi kwenye hospitali kubwa sana hapa nchini watu wanakufa,mabinti wadogo wala siyo hivyo unavyodhani ww
Ikipiga hodi kwako ikakuta kuna presha, kisukari,au kinga yako ipo kwenye mapambano na virusi vingine bas hapo kuuteka mwili wako hata siku mbili haziishi.Inaonyesha hii kitu inapenda sana mabonge na wazee
Mli keep social distance?!Kwa masikitiko, tena makubwa, nimepata habari za kifo cha Manager wa TANROADS mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi Ngussa.
Alikuwa rafiki yangu zaidi ya miaka 20. Kwa kweli nimeumia.
Nimeongea naye last week kumpa pole ya changamoto....!
Mungu amuweke mahali pema.
RIP.
Tatizo la corona ni moja inapiga chinichini , inatakiwa itandike juu , utadhani imekula rushwa bhana !Kama ni ya upumiaji pia mkuu kuwa wazi ili watu ambao wanaona kuwa hii sio ishu serious waanze kuelewa..misiba ni mingi sana.
Ndugu zangu sina haja ya kupaza sauti kila mtu anajua gonjwa linalo tumaliza sasa hivi....CORONA......CORONA.......CORONA.......CORONA!Kama ni ya upumiaji pia mkuu kuwa wazi ili watu ambao wanaona kuwa hii sio ishu serious waanze kuelewa..misiba ni mingi sana.
Upimuaji au Corona?Kwa masikitiko, tena makubwa, nimepata habari za kifo cha Manager wa TANROADS mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi Ngussa.
Alikuwa rafiki yangu zaidi ya miaka 20. Kwa kweli nimeumia.
Nimeongea naye last week kumpa pole ya changamoto....!
Mungu amuweke mahali pema.
RIP.
Makada tuPoleni sana.
Rip Ngussa
Duuu hiyo Hospitali kubwa sana hapa Tanzania ipo wapi mkuu?Acha kujidanganya ,nafanya kazi kwenye hospitali kubwa sana hapa nchini watu wanakufa,mabinti wadogo wala siyo hivyo unavyodhani ww
Hakuna zaidi ya hiyoHapp kwenye changamoto......
Ulimpa pole. Je ni Deportivo.
... acheni dhana potofu jamani! Umewasikia kwa sababu ni muhimu; mitaani huko binadamu wanapukutika utawajulia wapi? Mtaani kwetu usiku kuamkia leo, misiba miwili imetokea ghafla. Ni hatari sana hili dude; halichagui.Tatizo la Corona bwana inachagua watu muhimu tu.