Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji848][emoji848] AiseeAcha kujidanganya ,nafanya kazi kwenye hospitali kubwa sana hapa nchini watu wanakufa,mabinti wadogo wala siyo hivyo unavyodhani ww
Amesema changamotoChanzo cha kifo?
Kwa hiyo unaweza kupona bila kwenda hospitali mkuu?Ikipiga hodi kwako ikakuta kuna presha, kisukari,au kinga yako ipo kwenye mapambano na virusi vingine bas hapo kuuteka mwili wako hata siku mbili haziishi.
Ili uweze kuhimili vita hii vikute jeshi la kinga zako halijapambana muda mrefu.
Pressure na kisukari Unaweza kupona. Lakini ukiwa na Ngoma ni ngumuHii kitu hasa ukiwa na kisukari au pressure mistake ya kikuchelewesha hospital ni grave sentence
Utamaduni una nguvu kuliko kisomo.Imagine kwenye hiyo picha ya kulia ni juzi alikuwa anakagua daraja la salender huku akiwa hajavaa barakoa.Maana yake watu wote hapo amewaambukiza Corona na wao wataenda kuambukiza wengine.Tanzania itaangamia kwa Corona![emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 1703631
Kwenye maziko mbalimbali ya watu wanaokufa kwa Corona pia kuna misongamano ya kufa mtu halafu anaibuka punguani fulani anasema kuwa serekali haina wajibu wowote katika kuzuia kusambaa kwa Corona wajibu ni wa kila mtu kujikinga individually!Utamaduni una nguvu kuliko kisomo.
RIP.
Poleni.
Na hapo si ajabu wengine wakaambukizwa.Namfahamu huyu mpendwa na kwao ni hapa karibu na NENGELO OIL
Naona familia wamekusanyika wapo kwenye maandalizi ya msiba
Pumzika kwa amani mpendwa wetu
Kabisa mkuu maana kwa ninavyoona hapa watu kutoka vijijini na mjini wanakujaNa hapo si ajabu wengine wakaambukizwa.
Ngoma yetu ngumu.Kabisa mkuu maana kwa ninavyoona hapa watu kutoka vijijini na mjini wanakuja
Na wale wataoleta/sindikiza mwili wa marehemu kutoka huko alikofia watachanganyikana na hawa...
Dar es salaam.Duuu hiyo Hospitali kubwa sana hapa Tanzania ipo wapi mkuu?
Kwa uzembe mulionao ktk hospitali zetu hakuna atakayepona. Hospitali ambazo hakuna hata mitungi ya oksijeni! Mukiulizwa eti mahitaji ni makubwa, hamkujua? Kwa wanaotimiza wajibu, watoto na vijana hawaathiriki kiasi hicho.Acha kujidanganya ,nafanya kazi kwenye hospitali kubwa sana hapa nchini watu wanakufa,mabinti wadogo wala siyo hivyo unavyodhani ww
Hakika hili ni janga na kiuhalisia tulitakiwa kuomba msaada ila sasa tumeshupaza shingoDar es salaam.
Kwa kweli hata oxygen cylinders kwenye hiyo hospitali hazitoshi tunalazimika mara nyingine kwenda kupokonya kule wadi ya watoto.
Mbaya sana.
Inaonyesha hii kitu inapenda sana mabonge na wazee