wa ngaranga
Member
- Jun 12, 2020
- 91
- 202
Hawezi shinda kesi ya kipuuzi kama hii hata siku 1,unajua mahakama itakupa kulingana na value yako,ktk maisha yake hata 50milion tuuu haijui inafananaje,akidai bilioni kama fidia inatakiwa atuletee na auditing report ya miaka 3 iliyopita inayoonesha alipata fedha kama hizo kwa kipindi hicho au zaidi ya hizo ili iwe justification ya claim zake na tuone alizilipia kodi.Akipata mwanasheria mzuri anashinda kesi hii. Haya ma vipindi mengine ya umbea umbea ni ya kijinga sana
Pili,yeye siyo daktari wala mwanasaikolojia amejuaje athari hizo zitaisha baada ya miaka 3?? Na kwa hiyo miaka 3 anayokadiria atakua kaathirika nani atathibitisha kuathiruka kwake kulitokana na kipindi cha umbeya kilichorushwa na dstv ili aweze kustahili malipo??
Mwisho akibanwa vizuri atatakiwa kusema na ile kideo yake na mwijaku ilimuathiri kwa miaka mingapi na alilipwa bilioni ngapi