Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Nilionaga kale ka video kake ana ka pini kwenye ulimi mmh! nilitamani aseee na ile steki yake cheeπππ Nimecheka kichizi ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilionaga kale ka video kake ana ka pini kwenye ulimi mmh! nilitamani aseee na ile steki yake cheeπππ Nimecheka kichizi ππ
πππ Mwijaku alifaidi Sana,yaani mtu wa kigoma kaja kafaidi Halafu sisi wa mjini hapahapa tunakula kwa macho tu ππNilionaga kale ka video kake ana ka pini kwenye ulimi mmh! nilitamani aseee na ile steki yake chee
Ofcourse they can be substantiated, we unafikiri DSTV wameanza leo hizi kazi?Je juhudi za kumfikia menina kabla hakijarushwa can be substantiated mahakamani?
Ni means za aina gani zilitumika kumfikia? Je ziko reasonable? quantifiable?
Kwa kuwa mhusika mkuu na uwepo wake eneo la msiba ilishindikanika kumpata ajibu tuhuma?
Hapa chakula ipo ila sio cha 1.2b
Kuhusu kuonesha returns za TRA kudhibitisha ulipaji Kodi hiyo ni kesi inayojitegemea na hii ndio itashusha kiasi anachodai
ila hatujachelewa mkuu , mie ntakuja jaribu asee..πππ Mwijaku alifaidi Sana,yaani mtu wa kigoma kaja kafaidi Halafu sisi wa mjini hapahapa tunakula kwa macho tu ππ
Dsrv hinahusika na hikipindi ndio mahaana menina amehona hupepo wa hela hupo huko kwhy hatapata hakiwashitaki hao
Ha haa mkuu@technically usicheke kiswahili kigumu sana..huwezi aminiHupepoπππππππππ
Nashkuru kkwa kunisahihishaHawajashinda rufaa wamekata rufaa
Kesi iko mahakamanHuyu si wa ile issue ya Mwijaku!
Mbona hakumshitaki Mwijaku kwamba amemuharibia biashara yake
Hiyo nyumba aliyonunua Ay America ipo mtaa gani? Au unafikiria kununua nyumba marekani in sawa na kununua nyumba temeke?;pnamjibu aliyejichanganya Ray kigosi alilipwa milioni 100 ya picha yake kutumika kwenye bando kina Ay na mwana fa walipiga mamilioni ya kutosha hdi Ay akanunua nyumba america ndiyo nikamuuliza kwani hakuna hata nyumba ya dollar 200,000?
Usiwe muoga dogo unaogopa sana kusikia neno marekani ndugu yangu zipo zenye bei kama za kimara na ukinunua ni advantage kwako swali ni JE UNA HIZO HELA? au unaleta makasiriko yako kwenye hii thread?Hiyo nyumba aliyonunua Ay America ipo mtaa gani? Au unafikiria kununua nyumba marekani in sawa na kununua nyumba temeke?
Ukarushe hapa ukikapataHivi kale kavidio kake kapo?
Umekosa la kufananisha eti ,tumia akili sometimes usiwe na hulka ya kukebehi.shindwaaaaHata Yesu anaishi kwny makao ya baba yake mpk leo.
Ndiyo huyo huyo, alikuwa akitinduliwa na cheusi dawa. Ile ngoma ilisambazwa na Mrundi mmoja anaitwa Mwijaku.Menina ndio yule aliwahi kutuonyesha makalio yenye mashimo mashimo?
Hongera kwa uandishi usioeleweka.shida sio anaeandaa kipind rahasha shida ni yule anaeluhusu kulusha kipindi hewan
Swali zuri sana na ajiandae kisaikolojia kwa yatakayoibuka mbele ya safari.Kati ya zile video zake za pilau na hii habari ya umbea ni kipi kimemuathiri zaidi kwenye kazi zake?