Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Je juhudi za kumfikia menina kabla hakijarushwa can be substantiated mahakamani?
Ni means za aina gani zilitumika kumfikia? Je ziko reasonable? quantifiable?
Kwa kuwa mhusika mkuu na uwepo wake eneo la msiba ilishindikanika kumpata ajibu tuhuma?

Hapa chakula ipo ila sio cha 1.2b
Kuhusu kuonesha returns za TRA kudhibitisha ulipaji Kodi hiyo ni kesi inayojitegemea na hii ndio itashusha kiasi anachodai
Ofcourse they can be substantiated, we unafikiri DSTV wameanza leo hizi kazi?
 
Akicheza vizur analipwa.
Analipwa.
Analipwa.
Analipwa!!
 
nadhani pia aliporekodi video na mwijaku wakinyanduana na hapo alikuwa akichafuliwa..
Screenshot_20211009-131422.jpg
 
Huyu si wa ile issue ya Mwijaku!

Mbona hakumshitaki Mwijaku kwamba amemuharibia biashara yake
 
;pnamjibu aliyejichanganya Ray kigosi alilipwa milioni 100 ya picha yake kutumika kwenye bando kina Ay na mwana fa walipiga mamilioni ya kutosha hdi Ay akanunua nyumba america ndiyo nikamuuliza kwani hakuna hata nyumba ya dollar 200,000?
Hiyo nyumba aliyonunua Ay America ipo mtaa gani? Au unafikiria kununua nyumba marekani in sawa na kununua nyumba temeke?
 
Hiyo nyumba aliyonunua Ay America ipo mtaa gani? Au unafikiria kununua nyumba marekani in sawa na kununua nyumba temeke?
Usiwe muoga dogo unaogopa sana kusikia neno marekani ndugu yangu zipo zenye bei kama za kimara na ukinunua ni advantage kwako swali ni JE UNA HIZO HELA? au unaleta makasiriko yako kwenye hii thread?
hiyo hapo milioni 50 ya kibongo bado haiwezekaniki au? iko alabama au wewe unazungumzia USA river ya Arusha
Screen Shot 2021-10-09 at 21.19.41.png
 
Back
Top Bottom