Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Unajuwa kilichotokea? Tigo wameshinda rufaa.

Halafu AY na MwanaFa huwezi kuwafananisha na hao wauza mbunye, ni watu wana status zao na shule ipo lakini wamezidiwa maarifa.
Hawajashinda rufaa wamekata rufaa
 
Nimeelewa point yenu,kampuni kubwa tz inaweza kufanya itakavyo sababu ina wanasheria wazuri hawawezi shtakiwa,okey sawa
Achana nao wanakupotezea muda tu. Wengi wanajibu kwa jazba na maneno ya kejeli hawayoi point yoyote.
 
Achana nao wanakupotezea muda tu. Wengi wanajibu kwa jazba na maneno ya kejeli hawayoi point yoyote.
Hawajawah simama mahakaman, kile kizimba acha kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii nchi imejaa wajinga, utakua katibu mwenezi wao
Ndugu exposure yako ndogo. Siwezi bishana na wewe na pia siwezi kukutukana. Angalia case zote wanazoshitakiwa DSTV (au Multichoice kama wamiliki) zinahusu nini. Yaani unadhani huyo mdada ndio wa kwanza kusemwa vibaya na channels ndani ya DSTV? Unajua disclaimer ya DSTV na wenye channels kwenye satellite yao?

Mfano kwa mtumiaji ipo kama hii (Sijui kwa wenye channels ndani ya DSTV):

5. Our obligations
We also warrant (promise) to:
5.1 not knowingly include defamatory material or anything which violates any copyright, right of privacy, literacy or dramatic right of any Person;
 
Ndugu exposure yako ndogo. Siwezi bishana na wewe na pia siwezi kukutukana. Angalia case zote wanazoshitakiwa DSTV (au Multichoice kama wamiliki) zinahusu nini. Yaani unadhani huyo mdada ndio wa kwanza kusemwa vibaya na channels ndani ya DSTV? Unajua disclaimer ya DSTV na wenye channels kwenye satellite yao?

Mfano kwa mtumiaji ipo kama hii (Sijui kwa wenye channels ndani ya DSTV):

5. Our obligations
We also warrant (promise) to:
5.1 not knowingly include defamatory material or anything which violates any copyright, right of privacy, literacy or dramatic right of any Person;
Wamefanya deformation hawajafanya? Jambo lao wenyewe kauli yao wameshindwa isimamia

Unaongelea exposure ya longido? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sawa Katibu mwenezi
 
Vipi kama wale ni majirani wa kutengenezwa?? Kama ni majirani wataletwa mahakaman kama mashaidi naa upande wa DStv
Sasa hao majirani ndio washtakiwe, ili katika utetezi wao waseme kwamba walitengenezwa, Au walirogwa, au walileweshwa? Au ni wao tu na roho zao mbaya wakaamua kumchafua huyo Menina. Hiyo ni wao sasa, na kama wataweza kudhibitisha walitumwa, hiyo alietumwa atachukuliwa hatua za kisheria, lakini sio kukimbilia kumshtaki mtu aliewasilisha taarifa za majirani kama zilivyo. Hivi hicho kipindi kingerushwa Youtube, mngwashitaki Youtube kwa maneno ambayo hayakusemwa na youtube? Bali Youtube wameyawasilisha kama yalivyo, sasa utawashtaki vipi?
 
Wamefanya deformation hawajafanya? Jambo lao wenyewe kauli yao wameshindwa isimamia

Unaongelea exposure ya longido? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sawa Katibu mwenezi
Sio deformation ni defamation. Elimu! Elimu! Elimu! Elimu na exposure ni muhimu.
 
Hapa kesi ipo bcs kwa nini kipindi kiliruka bila yeye menina kuhojiwa
Warusha kipindi hawakutoa haki asilia ya kumhoji mhusika.
Akikomaa vizuri kuna chakula hapo japo sioni kama kitafika 1.2b
 
Hapa kesi ipo bcs kwa nini kipindi kiliruka bila yeye menina kuhojiwa
Warusha kipindi hawakutoa haki asilia ya kumhoji mhusika.
Akikomaa vizuri kuna chakula hapo japo sioni kama kitafika 1.2b
Ukipigiwa simu ili utuoe upande wako wa maelezo, na kwa kiburi chako ukagoma kupokea, wanayo haki yankukirusha kwa kuwa ume-waive hiyo haki yako mwenyewe.
 
Ukipigiwa simu ili utuoe upande wako wa maelezo, na kwa kiburi chako ukagoma kupokea, wanayo haki yankukirusha kwa kuwa ume-waive hiyo haki yako mwenyewe.
Je juhudi za kumfikia menina kabla hakijarushwa can be substantiated mahakamani?
Ni means za aina gani zilitumika kumfikia? Je ziko reasonable? quantifiable?
Kwa kuwa mhusika mkuu na uwepo wake eneo la msiba ilishindikanika kumpata ajibu tuhuma?

Hapa chakula ipo ila sio cha 1.2b
Kuhusu kuonesha returns za TRA kudhibitisha ulipaji Kodi hiyo ni kesi inayojitegemea na hii ndio itashusha kiasi anachodai
 
Back
Top Bottom