Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Akipata mwanasheria mzuri anashinda kesi hii. Haya ma vipindi mengine ya umbea umbea ni ya kijinga sana
Hawezi shinda kesi ya kipuuzi kama hii hata siku 1,unajua mahakama itakupa kulingana na value yako,ktk maisha yake hata 50milion tuuu haijui inafananaje,akidai bilioni kama fidia inatakiwa atuletee na auditing report ya miaka 3 iliyopita inayoonesha alipata fedha kama hizo kwa kipindi hicho au zaidi ya hizo ili iwe justification ya claim zake na tuone alizilipia kodi.

Pili,yeye siyo daktari wala mwanasaikolojia amejuaje athari hizo zitaisha baada ya miaka 3?? Na kwa hiyo miaka 3 anayokadiria atakua kaathirika nani atathibitisha kuathiruka kwake kulitokana na kipindi cha umbeya kilichorushwa na dstv ili aweze kustahili malipo??

Mwisho akibanwa vizuri atatakiwa kusema na ile kideo yake na mwijaku ilimuathiri kwa miaka mingapi na alilipwa bilioni ngapi
 
Ana pesa gani ya kumlipa Kibatala? Hivi unajua kuna mawakili ambao matumizi yake ya siku tu ya kusimama mahakamani anaweza akakutwanga million 4? Mafuta, Chakula sijui na wapambe wake! Huyo Menina hizo hela za kumkodi wakili wa aina hio anazo?
 
Mimi naona watashitakiwa wote. Mmoja kasema na mwongine kasambaza kilichosemwa. Wote ni wahusika. Asingesema msemaji yasingesambaa na asingesambaza msambazaji pengine atheri isingekua kubwa. Tunaangalia matokeo ya tendo lako kwenye kuathiri jambo na si vinginevyo
 
Menina atashinda hii case. Kama DStv wangekua makini kihivyo kama mnavyoamini wasingerusha hicho kipindi. Watachotwa tu this time, kama Ray kihosi alivyowachota 100millions
Ray aliwapiga 100m kumbe!? Huyo Menina labda amtumie Msando tu
 
Inawezekana wewe ndio haufikiri sawa sawa. Kilichomletea madhara ni DSTV kuruhusu umbea huo kutangazwa. Hao majirani umbea wao pengine hata tusingeujua
Na majirani walifatwa kuhojiwa, na inawezekana walitengenezwa sio majirani, DStv waliruhusu maudhui ya kumchagua menina yarushwe kwenye decorder zao ambazo Zina watizamaji wengi. Imemuathiri. Pia annawashtaki nna kina Mai na wenzie
 
Ameangalia wapi atapata huo Mpunga. Ameona hao Majirani zake hata akiwauza wao na Mali zao hamna kitu ataambulia
Unaweza Kuta wale sio majirani Bali ni watu walipangwa na kina maimatha. Sasa mahakaman utaona kama kina Mai wataweza kiwaleta kama mashaidi.
 
Atapigwa na ma bush lawyers tu ambao wanajua kesi haiendi popote ila watagawan a hela tu
 
Vipi kama wale ni majirani wa kutengenezwa?? Kama ni majirani wataletwa mahakaman kama mashaidi naa upande wa DStv
 
Sh 100,000,000 ni pesa ndogo sana kununua nyumba America. Hiyo pesa ni sawa $49, 000- 52,000 pesa ambayo ni kiduchu saana. Hata bed seat hupati. Labda alinunua nchini Haiti.
Nyumba alinunua ya worth 800,000,000 za kibongo ambayo kwa haraka ni equivalent na kama $300,000+ hivi sasa useme hio pesa hainunui nyumba tena!
 
Labda kama wameshinda njaa, rufaa inakatwa kabla ya malipo na kesi kufungwa! Uliona wapi kesi imefungwa halafu inakatiwa rufaa tena 😂 acha undezi wewe!
Huyo Menina hana hela ya kumpa wakili msomi na hio kesi haiendi popote sababu mlalamikiwaji halisi ni juma lokole na wapuuzi wenziwe! Sio Dstv
 
Nafkiri TRA wamemsikia Menina na natarajia wanajiandaa kwenda kuangalia kama kwa miaka mitatu iliyopita pia amelipia kodi inayoendana na 1.2 Bil alizopata.
 
Mkuu yaani unaamini hawa wa South kwa uwekezaji mkubwa waliofanya itakuwa rahisi sana kula pesa yao? Mwanasheria yupi huyo mzuri atakula kirahisi pesa ya DSTV?
Hii nchi imejaa wajinga, utakua katibu mwenezi wao
 
Suala sio udogo wa kampuni au ukubwa, suala ni kuwashitaki Dstv badala ya kuwashitaki majirani, shida inaanzia hapo
kwann vyombo vya habari hua vinafungiwa na serikali na sio waandishi walio andika hizo habari?? Jipige kifua sema "mm n mjinga"

Hiyo habari n mali yao, na ukiisambaza ww watakushak umewaibia kazi yao , wao ndio wazalishaji na wao ndio wasambazaji

Lkn pia wao ndio wahariri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…