Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Unajuwa kilichotokea? Tigo wameshinda rufaa.

Halafu AY na MwanaFa huwezi kuwafananisha na hao wauza mbunye, ni watu wana status zao na shule ipo lakini wamezidiwa maarifa.

Hahahah

Ova
 
Leo ITV akarusha taarifa ya Gwajima kutoka kanisani mwake akiponda chanjo na Pfizer wakala hasara, wataishtaki ITV au watamshtaki Gwajima?
Wote wanahusika, watatajana mahakaman, mmoja atabeba responsibility kubwa kuliko mwingine, simple
 
Kwa hiyo huko kwenye usanii wa maigizo ya kuuza sura ndo wanavuta 1.2b in three years, au kuna biashara nyingine inahusika........mbona hii kesi inaonekana kama italenga mtu asiyehusika na damage, au ndo ile unalenga kumvua samaki mkubwa, maana wale majirani sidhani kama wataweza kulipa damage ya 1.2b hata kama watauza ubuyu na vitumbua mtaa mzima kwa hiyo miaka mitatu...
 
Ray huyu huyu anayeishi kwao mpk leo?Mnadhani mil 100 Ni makalio kila mtu anayo mzee?
Siyo kila kitu ubishe alikula hela hiyo hata siku ya celebration na mimi nilikula nina hakika ninacboongea asilimia mia moja,menina akijipanga anwatusua hawa watu kile kipindi cha umbeya watu wakikiamulia wata wa sue sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…