Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Na mimi napata logic sasa!!!

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi kushinda kesi ya namna hii kutokana na ukubwa wa company yenyewe sababu ina uwezo wa kufanya kila kitu ili ishinde kesi. probability ya kushindwa ni 99% huo muda atakaopoteza ni bora aendelee na kazi zake za ajabu.
Sio kweli. Hao ndio wanahitajika kuliko kumshtaki mtu personaly, akipata wanasheria wazuri hii kesi ni ganda la ndizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…