Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Kuanika taarifa iliyosemwa na mtu ni kosa? Kwa sheria ipi? Leo hii ITV wakionyesha habari ya Gwajima akiwa kanisani kwake akiponda usalama wa chanjo, na kampuni za chanjo kama Pfizer zikala hasara, Pfizer wataishtaki ITV au watamshtaki Gwajima?, hivi mkitumia akili zikizo kichwani huwa mnapungukiwa na nini kwani?
Kwani gazeti likichapisha taarifa za uongo.
Anafungiwa mwandishi wa habari hiyo au gazeti
 
Menina simpendi tangu ule uchafu wake but kwa sababu nachukia umbeya bc nasema menina go go gooooo😂😂😂😂

Kwani mmesahau maudhui machafu ya Gigy mahela kwenye wasafi festival aliyekula adhabu ni nani?? Dstv jiandaeni kulipa hiyo 1.2 b japo sina uhakika kama huyo menina ana historia ata ya kushika 50m. Shida itakaa hapo☝️
 
Aliyeirusha kwenye TV ni nani? Ni majirani au DSTV? Unaujua uhusika wa DSTV?
Sheria ya urushaji wa matangazo kwenye tv,kwanza wanatakiwa wabalansi maelezo kwa kusikiliza pande zote mbili,kama waliishia tu kuwahoji majirani na yeye hakuojiwa basi anaweza fungua kesi na akashinda kesi kwani wamemdhalilisha kiutu.....Uwezekano wa kushinda upo ila apate mwanasheria mzuri mfano wakili kibatala
 
Story za gahawa zinakuaga hizi hizi za haikua public walimalizana kimyakimya.
Mkuu sina haja ya kubishana Ray kigosi haishi hollywood anaishi sinza ni watu ambao tuna interact nao unaona cha ajabu nini? kama unajuana na kina shelukindo wa Dstv kawaulize kama hawakukamuliwa hizo hela...yaani leo mtu aamke akatengeneze bango la tangazo aweke sura yako wewe ufurahie? labda kama mshamba ila hiyo uki msue ni hela ndefu sana ndiyo maana ccm wanafaidi hii nchi sababu hata haki kam hizi watu hawazijui na wanabisha kwamba haziwezekaniki
 
Dar es Salaam. Artist Menina Abdulkarim Atiki has sued DStv’s parent company MultiChoice South Africa which trades in Tanzania as MultiChoice Tanzania for damages amounting to Sh1.12 billion for airing content that allegedly defamed her.
The case which is before Judge Amir Mruma was first mentioned on September 27, 2021, but MultiChoice South Africa which has a foothold in various African countries was absent and Judge Mruma adjourned the case until November 10, 2021
Menina, who is also an actress and event hostess (MC) has filed the case against the South African company and its local subsidiary at the Dar es Salaam Regional High Court.
Others in the case are the Editor of the ICU- Chumba cha Umbea which airs on Maisha Magic Bongo channel on DStv; The presenters of the show, Maimartha Jesse, Juma Lokole and Kwisa Thompson (Kamanda Mzee Mkavu).
In case number 133 of 2021, the artiste alleges that the defendants defamed her with content they aired on July 23, 2021, in a programme called ICU-Chumba cha Umbea, regarding the death of her husband.
Menina claims that her husband passed away on July 19, 2021, it was then agreed that the funeral should be held at Mtoni kwa Aziz Ali, at the residence of her late husband’s aunt, Mariam Kihiyo.
She alleges that while the funeral was underway, Maimartha, Lokole and Kwisa interviewed neighbours of her late husband's aunt, with questions which according to the court documents were close-ended, insinuating that the plaintiff did not take care of her husband during illness and that she was an irresponsible wife.
The plaintiff (Menina) claims that she suffered mental and emotional harm as ICU-Chumba cha Umbea is one of the most popular programs in Tanzania, in East Africa and in all Kiswahili-speaking countries.


Basis of the claim
Menina claims that her brand ambassadorial work requires her to maintain a blemish-free name, image and a good reputation to the companies that she represents.
She also says that it will take her about a year to clean up her name and reputation, suggesting she will suffer the losses.
According to the legal files which were availed to The Citizen, Menina claims that as a brand ambassador she is paid Sh1.5 million a month and that in 2020 she was able to earn Sh180 million, so in the next three years she will lose a total income of Sh540 million.
In her music and acting, she claims that she has been earning Sh50 million a year, as it was in 2020 and so for three years he will incur a total loss of Sh150 million.
In her weekly event hosting gigs as an MC, during 2020 she claims to have earned a total of Sh144 million and that in the next three years she will lose a total of Sh432 million, claiming that her 24 clients have already cancelled orders.
 
Sheria ya urushaji wa matangazo kwenye tv,kwanza wanatakiwa wabalansi maelezo kwa kusikiliza pande zote mbili,kama waliishia tu kuwahoji majirani na yeye hakuojiwa basi anaweza fungua kesi na akashinda kesi kwani wamemdhalilisha kiutu.....Uwezekano wa kushinda upo ila apate mwanasheria mzuri mfano wakili kibatala
Uko sawa kabisa mkuu

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu sina haja ya kubishana Ray kigosi haishi hollywood anaishi sinza ni watu ambao tuna interact nao unaona cha ajabu nini? kama unajuana na kina shelukindo wa Dstv kawaulize kama hawakukamuliwa hizo hela...yaani leo mtu aamke akatengeneze bango la tangazo aweke sura yako wewe ufurahie? labda kama mshamba ila hiyo uki msue ni hela ndefu sana ndiyo maana ccm wanafaidi hii nchi sababu hata haki kam hizi watu hawazijui na wanabisha kwamba haziwezekaniki
Bia tamu aiseee.
 
Msanii,muigizaji,mc menina kaishtaki multichoice akidai fidia ya 1.2 billions
Kadai alichafuliwa na kipindi cha umbeya cha icu
Wakati wa msiba wa mzazi mwenzake mairmatha jesse,juma lokole,kwisa walifika msibani wakahoji majirani waliodai marehemu alitelekezwa na menina akiwa anaumwa akawa anafungiwa ndani hadi kifo chake
Kadai kwamba tuhuma hizo zimeathiri kazi yake na itachukua miaka 3 kurudia hali ya kawaida na katika miaka hiyo mitatu atapoteza bilion 1.2

_____________________
  1. The Citizen
  2. News

Tanzanian artiste sues MultiChoice seeking damages of Sh1.12 billion​



FRIDAY OCTOBER 08 2021​

Menina PIC

Artist Menina Abdulkarim Atiki.

Summary

  • Menina claims that her brand ambassadorial work requires her to maintain a blemish-free name, image and a good reputation to the companies that she represents.
ADVERTISEMENT

By James Magai
More by this Author

Dar es Salaam. Artist Menina Abdulkarim Atiki has sued DStv’s parent company MultiChoice South Africa which trades in Tanzania as MultiChoice Tanzania for damages amounting to Sh1.12 billion for airing content that allegedly defamed her.
The case which is before Judge Amir Mruma was first mentioned on September 27, 2021, but MultiChoice South Africa which has a foothold in various African countries was absent and Judge Mruma adjourned the case until November 10, 2021
Menina, who is also an actress and event hostess (MC) has filed the case against the South African company and its local subsidiary at the Dar es Salaam Regional High Court.
Others in the case are the Editor of the ICU- Chumba cha Umbea which airs on Maisha Magic Bongo channel on DStv; The presenters of the show, Maimartha Jesse, Juma Lokole and Kwisa Thompson (Kamanda Mzee Mkavu).
In case number 133 of 2021, the artiste alleges that the defendants defamed her with content they aired on July 23, 2021, in a programme called ICU-Chumba cha Umbea, regarding the death of her husband.
Menina claims that her husband passed away on July 19, 2021, it was then agreed that the funeral should be held at Mtoni kwa Aziz Ali, at the residence of her late husband’s aunt, Mariam Kihiyo.
She alleges that while the funeral was underway, Maimartha, Lokole and Kwisa interviewed neighbours of her late husband's aunt, with questions which according to the court documents were close-ended, insinuating that the plaintiff did not take care of her husband during illness and that she was an irresponsible wife.
The plaintiff (Menina) claims that she suffered mental and emotional harm as ICU-Chumba cha Umbea is one of the most popular programs in Tanzania, in East Africa and in all Kiswahili-speaking countries.


Basis of the claim
Menina claims that her brand ambassadorial work requires her to maintain a blemish-free name, image and a good reputation to the companies that she represents.
She also says that it will take her about a year to clean up her name and reputation, suggesting she will suffer the losses.
According to the legal files which were availed to The Citizen, Menina claims that as a brand ambassador she is paid Sh1.5 million a month and that in 2020 she was able to earn Sh180 million, so in the next three years she will lose a total income of Sh540 million.
In her music and acting, she claims that she has been earning Sh50 million a year, as it was in 2020 and so for three years he will incur a total loss of Sh150 million.
In her weekly event hosting gigs as an MC, during 2020 she claims to have earned a total of Sh144 million and that in the next three years she will lose a total of Sh432 million, claiming that her 24 clients have already cancelled orders.
TRA wakianza kumfuata kudai chao kwa miaka iliyopita asije zikana hizo milioni alizozitaja
 
Bia tamu aiseee.
M=narudia tena katafute wtu wa DSTV(kama unajuan anao lakini isije ikawa uko nanjilinji huko ndiyo maana ukisikia watu wamekuwa sued kwa milioni 100 unashtuka sana) hivi hata kesi za Musiba na kina fatma karume na Benard membe husikii yale mabilioni yanayodaiwa? ina tofauti gani na Menina? au Ray? au sababu hawa ni wasanii?
Kamtafute Salumu maliki au Shelukindo wa dstv waulize issue ya Ray kigosi, wenzako kesi kama hizi wanakula na mahakimu kabisa na wanasheria wanazisimamia kucha hata asipoapata hiyo bilioni anaweza angukiaa hata milioni 300

Kama Dstv hawajatikisika mbona kipindi cha ICU hawakitangazi tena ,mbona wahusika kina Mairmatha na juma lokole kwenye pages zao hawakitangazi tena? unajua Menina aliwalaza kituoni mabatini police?
 
Wote wanahusika, watatajana mahakaman, mmoja atabeba responsibility kubwa kuliko mwingine, simple
Basi kwa mantiki hiyo hadi Tanesco atatajwa maana yeye ndiye alie-supply umeme uliorusha matangazo, na hata wale watangazaji watakaokua wanahost kipindi nao washtakiwe, sivyo?; lazima pawe na mipaka ya liability, kosa hapo ni kuchafua mtu, kilichochafua mtu ni maneno ya majirani, period.Hivyo majirani washtakiwe, sio Tanesco wala mwingine yeyote.
 
Msanii,muigizaji,mc menina kaishtaki multichoice akidai fidia ya 1.2 billions
Kadai alichafuliwa na kipindi cha umbeya cha icu
Wakati wa msiba wa mzazi mwenzake mairmatha jesse,juma lokole,kwisa walifika msibani wakahoji majirani waliodai marehemu alitelekezwa na menina akiwa anaumwa akawa anafungiwa ndani hadi kifo chake
Kadai kwamba tuhuma hizo zimeathiri kazi yake na itachukua miaka 3 kurudia hali ya kawaida na katika miaka hiyo mitatu atapoteza bilion 1.2

_____________________
  1. The Citizen
  2. News

Tanzanian artiste sues MultiChoice seeking damages of Sh1.12 billion​



FRIDAY OCTOBER 08 2021​

Menina PIC

Artist Menina Abdulkarim Atiki.

Summary

  • Menina claims that her brand ambassadorial work requires her to maintain a blemish-free name, image and a good reputation to the companies that she represents.
ADVERTISEMENT

By James Magai
More by this Author

Dar es Salaam. Artist Menina Abdulkarim Atiki has sued DStv’s parent company MultiChoice South Africa which trades in Tanzania as MultiChoice Tanzania for damages amounting to Sh1.12 billion for airing content that allegedly defamed her.
The case which is before Judge Amir Mruma was first mentioned on September 27, 2021, but MultiChoice South Africa which has a foothold in various African countries was absent and Judge Mruma adjourned the case until November 10, 2021
Menina, who is also an actress and event hostess (MC) has filed the case against the South African company and its local subsidiary at the Dar es Salaam Regional High Court.
Others in the case are the Editor of the ICU- Chumba cha Umbea which airs on Maisha Magic Bongo channel on DStv; The presenters of the show, Maimartha Jesse, Juma Lokole and Kwisa Thompson (Kamanda Mzee Mkavu).
In case number 133 of 2021, the artiste alleges that the defendants defamed her with content they aired on July 23, 2021, in a programme called ICU-Chumba cha Umbea, regarding the death of her husband.
Menina claims that her husband passed away on July 19, 2021, it was then agreed that the funeral should be held at Mtoni kwa Aziz Ali, at the residence of her late husband’s aunt, Mariam Kihiyo.
She alleges that while the funeral was underway, Maimartha, Lokole and Kwisa interviewed neighbours of her late husband's aunt, with questions which according to the court documents were close-ended, insinuating that the plaintiff did not take care of her husband during illness and that she was an irresponsible wife.
The plaintiff (Menina) claims that she suffered mental and emotional harm as ICU-Chumba cha Umbea is one of the most popular programs in Tanzania, in East Africa and in all Kiswahili-speaking countries.


Basis of the claim
Menina claims that her brand ambassadorial work requires her to maintain a blemish-free name, image and a good reputation to the companies that she represents.
She also says that it will take her about a year to clean up her name and reputation, suggesting she will suffer the losses.
According to the legal files which were availed to The Citizen, Menina claims that as a brand ambassador she is paid Sh1.5 million a month and that in 2020 she was able to earn Sh180 million, so in the next three years she will lose a total income of Sh540 million.
In her music and acting, she claims that she has been earning Sh50 million a year, as it was in 2020 and so for three years he will incur a total loss of Sh150 million.
In her weekly event hosting gigs as an MC, during 2020 she claims to have earned a total of Sh144 million and that in the next three years she will lose a total of Sh432 million, claiming that her 24 clients have already cancelled orders.
Atutolee part 2 ya kwichi kwichi mashabiki zake wanapoa huku
 
shida sio anaeandaa kipind rahasha shida ni yule anaeluhusu kulusha kipindi hewan
Kurusha kipindi tangu lini ikawa ni kosa? Kosa ni kuchafua mtu, na kilichochafua mtu ni maneno ya majirani, hivyo majirani ndio wa kushtakiwa
 
Back
Top Bottom