Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Naweza kusema jamaa ni living genius subiri ndani ya muda mfupi tu huyu Mjerumani atasalimu amri.Elon Musk mjanja juzi kaenda Ujerumani kufungua kiwanda kikubwa cha Tesla kitakachogharimu dollars billion 6. Napenda sana hawa watu wanavyoshindana kwenye biashara.