Mercedes benz yamjibu Tesla vibaya sana

Mercedes benz yamjibu Tesla vibaya sana

Kweli Tesla wanatawala. Lakini tayari keshapara wapinzani. Tesla angekuwa mjanja angetoa magari yenye bei nafuu. Sasa hivi kia na Toyota wako mbiini kutoa magari ya umeme yenye bei nafuu ambayo hadi walala hoi akina Idugunde wataweza kumudu kununua.
hata hayo magari yanayotumia diesel na petrol pia yapo ya bei rahisi lakini. bado lambo porsche ferari cadilac Rr zinasumbua sokoni
 
Mzuka wanajamvi!

Mjerumani kaamua kutoa kifaa kipya cha umeme EQS electric car ambayo ni tishio kwa Tesla. Inaaminika is the most luxurious electric car in the market.

Gari hili linalotumia umeme tu liko aina mbili EQS 450+ Na EQS 580 4matic.

Imeshaingia sokoni toka mwezi wa 8.
na utitiri wa kuorder unaendelea.

Bei inaanzia dollars za kimarekani laki moja hadi zaidi ukitaka uongezewe mbwembwe.View attachment 1921489View attachment 1921490View attachment 1921491View attachment 1921492
Ngoja niwahi kabla hazijaisha....
najua dola laki moja + dola laki moja kodi
 
Features zake ni za kupendeza. Yani kwenye dashboard kwaanzia usukani hadi passengers seat ni touch screen.

Tesla kitu kinachojivunia ni chaji ambayo inadumu kilomita 560 yani kutoka Dar hadi Boma ya ng'ombe ama kia.

Lakini licha ya hivyo sasa hivi Tesla inapata upinzani mkali sana kwenye soko la magari ya umeme.

Toyota na Kia wako mbioni kutoa magari yao ya umeme ambayo bei yake itakuwa rahisi sana. Na yakiingia sokoni sidhani tesla it aendelee kutawala soko la magari ya umeme kwa muda
Jamaa ana maproject mengi sana.....
zikija toyota za umeme huku......
sheli zijiandae kufungwa
 
Soko kubwa la magari ya Tesla lipo China na sio barani Ulaya.
Kwa sababu China inaexperience mabadiliko ya hali ya hewa ( Climate Change) kwa hali ya juu kulinganisha nchi nyingine za barani Ulaya.

Lakini ni kati ya nchi zenye sheria kali za mazingira kulinganisha nchi nyingine kwa hiyo wanapambana sana kupiga vita uchafuzi wa mazingira na kusisitiza matumizi ya nishati mbadala kwa kiwango cha juu kulinganisha na nchi nyingine za barani ulaya.

That's why Tesla Dominate Chinese Car market than European Car Market.

Wachina pamoja na hayo walitangulia kyikubali Tesla, sasa hivi ni trending car Ulaya pia
 
Tesla ni iphone ya magari ko wewe tegemea kuona wakiendelea kusumbua sanaaaa kwa miaka mingi ijayo
 
Mzuka wanajamvi!

Mjerumani kaamua kutoa kifaa kipya cha umeme EQS electric car ambayo ni tishio kwa Tesla. Inaaminika is the most luxurious electric car in the market.

Gari hili linalotumia umeme tu liko aina mbili EQS 450+ Na EQS 580 4matic.

Imeshaingia sokoni toka mwezi wa 8.
na utitiri wa kuorder unaendelea.

Bei inaanzia dollars za kimarekani laki moja hadi zaidi ukitaka uongezewe mbwembwe.View attachment 1921489View attachment 1921490View attachment 1921491View attachment 1921492
Hii mashine ni balaa nimeangalia summary review yake juzi sio poa...then AMG(Pro Max) yake inakuja sasa unadhani itakuaje? Kitu Ant covid iyo yan Bacteria na Virus humo hawakai...[emoji91]
 
Yani unaambiwa ndo ilikuwa the most anticipated car of the year 2021. Mimi panaponiacha hoi ni mlango kufungua kwa kubonyeza funguo.
BMW za sasa unawasha gari na funguo pia ukiwa nje.
 
Soko kubwa la magari ya Tesla lipo China na sio barani Ulaya.
Kwa sababu China inaexperience mabadiliko ya hali ya hewa ( Climate Change) kwa hali ya juu kulinganisha nchi nyingine za barani Ulaya.

Lakini ni kati ya nchi zenye sheria kali za mazingira kulinganisha nchi nyingine kwa hiyo wanapambana sana kupiga vita uchafuzi wa mazingira na kusisitiza matumizi ya nishati mbadala kwa kiwango cha juu kulinganisha na nchi nyingine za barani ulaya.

That's why Tesla Dominate Chinese Car market than European Car Market.
Haya magari inabidi ununue mapya...hakianza kuchoka yatakusumbua sana na hii tech yetu hii ndo shida
 
Back
Top Bottom