Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Naweza kusema jamaa ni living genius subiri ndani ya muda mfupi tu huyu Mjerumani atasalimu amri.Elon Musk mjanja juzi kaenda Ujerumani kufungua kiwanda kikubwa cha Tesla kitakachogharimu dollars billion 6. Napenda sana hawa watu wanavyoshindana kwenye biashara.
Myebusi mimi napiga timing Kia itoe ya bei nafuu. Lift utapata tu aariff. Ila wabongo walivyo ntapigwa kimbola tuMkaldayo fanya mafeke udrop hiyo chuma chugga unipe round hata nioshe kitaa one time eroo
Bongo na Kia???? sema unasubiria TOYOTA atoe 😛Myebusi mimi napiga timing Kia itoe ya bei nafuu. Lift utapata tu aariff. Ila wabongo walivyo ntapigwa kimbola tu
Mkuu vipi land cruiser mpya bado ujashinda tu zabuni kutoka serikalini kuwaletea vifaa vipya?Bongo na Kia???? sema unasubiria TOYOTA atoe 😛
hata hayo magari yanayotumia diesel na petrol pia yapo ya bei rahisi lakini. bado lambo porsche ferari cadilac Rr zinasumbua sokoniKweli Tesla wanatawala. Lakini tayari keshapara wapinzani. Tesla angekuwa mjanja angetoa magari yenye bei nafuu. Sasa hivi kia na Toyota wako mbiini kutoa magari ya umeme yenye bei nafuu ambayo hadi walala hoi akina Idugunde wataweza kumudu kununua.
Ngoja niwahi kabla hazijaisha....Mzuka wanajamvi!
Mjerumani kaamua kutoa kifaa kipya cha umeme EQS electric car ambayo ni tishio kwa Tesla. Inaaminika is the most luxurious electric car in the market.
Gari hili linalotumia umeme tu liko aina mbili EQS 450+ Na EQS 580 4matic.
Imeshaingia sokoni toka mwezi wa 8.
na utitiri wa kuorder unaendelea.
Bei inaanzia dollars za kimarekani laki moja hadi zaidi ukitaka uongezewe mbwembwe.View attachment 1921489View attachment 1921490View attachment 1921491View attachment 1921492
Jamaa ana maproject mengi sana.....Features zake ni za kupendeza. Yani kwenye dashboard kwaanzia usukani hadi passengers seat ni touch screen.
Tesla kitu kinachojivunia ni chaji ambayo inadumu kilomita 560 yani kutoka Dar hadi Boma ya ng'ombe ama kia.
Lakini licha ya hivyo sasa hivi Tesla inapata upinzani mkali sana kwenye soko la magari ya umeme.
Toyota na Kia wako mbioni kutoa magari yao ya umeme ambayo bei yake itakuwa rahisi sana. Na yakiingia sokoni sidhani tesla it aendelee kutawala soko la magari ya umeme kwa muda
Ni Kama sts milion 232 ukijumlisha na kodi inafika Kama milion 400 hvMkuu kwahaya madafu yetu hiyo dollar laki moja ni sawa na bei gani
Tuishi humo humo, tozee zoee kuogelea pesa ndefu tutafika tuNi Kama sts milion 232 ukijumlisha na kodi inafika Kama milion 400 hv
Soko kubwa la magari ya Tesla lipo China na sio barani Ulaya.
Kwa sababu China inaexperience mabadiliko ya hali ya hewa ( Climate Change) kwa hali ya juu kulinganisha nchi nyingine za barani Ulaya.
Lakini ni kati ya nchi zenye sheria kali za mazingira kulinganisha nchi nyingine kwa hiyo wanapambana sana kupiga vita uchafuzi wa mazingira na kusisitiza matumizi ya nishati mbadala kwa kiwango cha juu kulinganisha na nchi nyingine za barani ulaya.
That's why Tesla Dominate Chinese Car market than European Car Market.
Bora niinunue then nikaitolee Kenya, nakua naiendesha nikiwa kule nikirudi nchini natumia vitzIyo mkuu inakaribia million 300 hapo bado TRA yani hadi uitoe bandarini pamoja na tozo kibao uchwara million 700 huko.
Labda ukiamia Zambia unaweza ukaendesha na million 400
Tunapokua tunajadili mambo serious halafu mtu analeta story za wachina huwa nakereka sana.😅 Wachina kwenye cars, airplanes ni 00%. Achana kabisa na hawa, unajua maana ya reliability? Chinese cars in short are toy cars.
🤣🤣🤣Tunapokua tunajadili mambo serious halafu mtu analeta story za wachina huwa nakereka sana.
Hii mashine ni balaa nimeangalia summary review yake juzi sio poa...then AMG(Pro Max) yake inakuja sasa unadhani itakuaje? Kitu Ant covid iyo yan Bacteria na Virus humo hawakai...[emoji91]Mzuka wanajamvi!
Mjerumani kaamua kutoa kifaa kipya cha umeme EQS electric car ambayo ni tishio kwa Tesla. Inaaminika is the most luxurious electric car in the market.
Gari hili linalotumia umeme tu liko aina mbili EQS 450+ Na EQS 580 4matic.
Imeshaingia sokoni toka mwezi wa 8.
na utitiri wa kuorder unaendelea.
Bei inaanzia dollars za kimarekani laki moja hadi zaidi ukitaka uongezewe mbwembwe.View attachment 1921489View attachment 1921490View attachment 1921491View attachment 1921492
Hahaha unaanya nini eroo kwani umekula ya mtu asee Mgerasi?Myebusi mimi napiga timing Kia itoe ya bei nafuu. Lift utapata tu aariff. Ila wabongo walivyo ntapigwa kimbola tu
BMW za sasa unawasha gari na funguo pia ukiwa nje.Yani unaambiwa ndo ilikuwa the most anticipated car of the year 2021. Mimi panaponiacha hoi ni mlango kufungua kwa kubonyeza funguo.
Plus 2500TSH MKUUMkuu kwahaya madafu yetu hiyo dollar laki moja ni sawa na bei gani
Haya magari inabidi ununue mapya...hakianza kuchoka yatakusumbua sana na hii tech yetu hii ndo shidaSoko kubwa la magari ya Tesla lipo China na sio barani Ulaya.
Kwa sababu China inaexperience mabadiliko ya hali ya hewa ( Climate Change) kwa hali ya juu kulinganisha nchi nyingine za barani Ulaya.
Lakini ni kati ya nchi zenye sheria kali za mazingira kulinganisha nchi nyingine kwa hiyo wanapambana sana kupiga vita uchafuzi wa mazingira na kusisitiza matumizi ya nishati mbadala kwa kiwango cha juu kulinganisha na nchi nyingine za barani ulaya.
That's why Tesla Dominate Chinese Car market than European Car Market.