Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?



Mkuu Singo.

Unanishangaza sana,mtoto wa kiume unaingia kwenye "Forex" lunacy,halafu proudly unakubali umepoteza hela zako halafu unajiona ulitumia maamuzi sahihi?

Yaani ulishindwa hata kutumia "GOOGLE" kujielimisha kwanza kuhusu autheticity ya hii "Forex Game"?

Nina wasiwasi mpaka sasa hivi hujasoma chochote,hujajifunza huko duniani wanasemaje kuhusu this thing,peer reviews zinasemaje,na nchi zenye akili zime-handle namna gani huu ujinga.Mpaka sasa hivi Im 100% sure hujasoma chochote zaidi ya sound za Ontario kichwani mwako.

Fanya hivi,use the godamn "GOOGLE" to learn whats going on about what u think it is a "business"!

Ndio maana watu wanapata shida sana kuwaelewesha mkaelewa.

Soma,elewa,halafu njoo hapa tuanze kubishana kifundi,tuwekeane na links za huko duniani wanasema,na walipitia huu ujinga kivipi na waliupiga chini kivipi,etc
 

Unajua watu toka wajue lugha za kwenye movies na matusi basi wanahisi watu wote wajinga humu mtu kisa kajua leo Motherfucker basi ndio hilo hilo..sijui dumb..mara shity mess.Watu kama hao hawawezi kutufikisha popote pale,hoja yake ni nini.Mimi Binafsi simwelewi hata anachozungumza.Kwani ni lazima mtu ucomment humu?Unaweza kukaa kimya tu,mtu huwezi tukana tukana hovyo,kila mtu matusi anajua usione watu wametulia tu humu.Labda unajifunza kutukana,tuwaombe mods tufungue uzi wa matusi tukuuoneshe matusi yapoje.
 
Kama hoja yako kwamba forex kupigwa marufuku nairaland ni kielelezo cha forex kuwa utapeli , je unajua kwamba kuna nchi facebook, twitter zimepigwa marufuku je kwasababu zimepigwa marufuku ni kielelezo kwamba facebook na twitter ni matapeli?

Unaongea tu.

Nenda kaangalie sababu official ya Nairaland kupiga marufuku huo upuuzi.

Kasome official press release yao.Ukimaliza uje hapa uongee what u have been smoking all along.

Sasa unakuja na nyimbo za kipuuzi za facebook as if zina make sense here.

It is hard to help dumb people.You will never rescue these kind of people.
 
Wengi hawana hoja katika zaidi n povu la omo ju ya ONTARIO.
Kuna jamaa anawauliza kwa ufasaha kabisa kua kuna mtu kaibiwa au kutapelia nae sijaona majibu hata moja.

Chuki n mbaya sana kwani mpk sasa sijackia hata mmoja akisema niko na Kesi ju ya ONTARIO.

Na kizuri zaidi ofisini kwake mnapajua na picha zake ziko hapa JF. Mbona akuna hatua zilizo chukuliwa kama kweli ni tapeli.

Na amini kwa 100% wanao mbeza, kutukana n walio shindwa kupambana n anko sasa wanatafta pakutokea.

Ontario ww ni mtu makini tuna imani n ww kwa kila jambo. Na ndio maana umeweka wazi location ya ofisi yako.be blessed
 
Sijui kama unaewa, sijui kama unanielewa! hizo facebook na twitter nimekupa mfano tu kwamba kitu kufungiwa marekani haimaanishi tanzania ni haramu au hakiruhusiwi japan au china and vice versa!!
 
Ni kweli mkuu watu wana matatizo sana!!

Na kinacho nishangaza ni kwamba jamaa kaleta uzi mzuri tu na badala ya watu ku discuss mada wanaanza mtusi jamaa out of no where!

Yaani ni ujinga plus! ukiwaambia wathibitishe wanakwambia kaangalie nairaland, sasa nairaland ni kitu gani?

Kwa kifupi waafrica hatuendelei kwa sababu ya chuki, wivu wa kijinga na ubinafsi na haya ndiyo tunayaona kwenye huu uzi! yani ni ujinga mtupu!
 
1. You base your facts from the information that you received from "dumb people" and use them in your arguments, now who is dumb here?

2. I call you brother and you insult me in return, instead of discussing the facts that I present. This proves that you have other personal issues!

3. You can't even name the platform, but you think you have all the facts to support your arguments. It looks like you hate something that you don't even know!

4. You don't give a https://jamii.app/JFUserGuide about what I think, then why give a https://jamii.app/JFUserGuide about where I want to spend my money?


Well, I know you're so annoyed right now. And you're about to throw heavy shades on me!
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]

Bring it on brother.....
 
Sijui kama unaewa, sijui kama unanielewa! hizo facebook na twitter nimekupa mfano tu kwamba kitu kufungiwa marekani haimaanishi tanzania ni haramu au hakiruhusiwi japan au china and vice versa!!


Kwahiyo unataka kuniaminisha kwavile imepigwa marufuku Nigeria sababu ni ponzi scheme,kwa Tanzania hapa sio ponzi scheme ni clean business?

Ndio unataka kuniaminisha hivyo?

Unajua ponzi scheme ni ponzi scheme tu hata kama ni kwenye banana republic kama somalia?

Hivi unaelewa hilo?

Unataka kuniaminisha nini zaidi?
 


Mzee tupotezeane!

Ignore button activated!

Thank you though!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu unajua maana ya ponzi scheme? kama unajua, je unaweza niambia ina uhusiano upi na forex trading?
 
Mkuu unajua maana ya ponzi scheme? kama unajua, je unaweza niambia ina uhusiano upi na forex trading?



Ndio maana nakwambia kasome halafu uje hapa ukiwa na nondo tayari tuongee one dimension after another!

Ukirudi tutaongea kwa credible links tu,hamna haja ya maneno mengi!
 
Dah kweli lakin ila bado huwezi kuzuia technology kama alivyosema Ontario hapo juu
 
Ndio maana nakwambia kasome halafu uje hapa ukiwa na nondo tayari tuongee one dimension after another!

Ukirudi tutaongea kwa credible links tu,hamna haja ya maneno mengi!
Sasa nikasome mara ya ngapi mkuu?

Forex haina uhusiano na ponzi scheme, na niliukuuliza kama unajua maana ya ponzi scheme ukaishia kutoa hoja mfu!

Sasa hebu niambie kwanini unasema forex ni ponzi scheme?
 
Ha ha ha ha ha et platform ya ontario kwa hiyo jamaa ana miliki platform sasa!!??


Hapa ndo utaona kua maboya wengi wanao mmaindi mwana ni wapuuzi kama ww so come again ontario ana trading platform au siooo just name it tuijui ni ipi??
 
Wivu wa nini mkuu? Pesa zake mimi zinanisaidia nini?
Kama anapata Sana kwa nini asitugawie hela bure kabla ya kutushawishi kuingia forex?
 
Hii ndo sababu moja wapo kwanini nchi za kiafrika zinazalaurika.Watu wanashindwa kujenga hoja iliyopo mezani wanakimbia kichaka kingine.Ooh poor African.
Ontario unachosema ni kweli kabisa 20yrs nyuma hakuna aliyedhani kama dunia ingekuwa hapa ilipo starting with mawasiliano,Teknolojia,sayansi and all that staff.Tupo kwenye Information Age dunia ambayo kila kitu kinaenda Kiele ktronic,lazima sisi kama vijana from Afrika tuweze kujiandaa na mabadiliko haya la sivyo tutasombwa like mafuriko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…