Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Katika hoja yako ndefu nimefurahishwa na hii line!

Je kama ontario ni "proven scammer" kwanini usimshitaki ili achukuliwe hatua kama kweli unaamini ulichoandika ni "proven" au ni kitu cha uhakika?

Kama huwezi kumshitaki au kuthibithisha ulichoandika, nikisema una chuki na wivu nitakua nimekosea?


Mzee watu humu wenye akili wanatoa angalizo tu.Niende nikamshitaki kaniibia mimi?

Kwavile majinga yamo mengi,hata tukiwaambia hamuwezi badilika ni vizuri mkaendelea kupigwa ili walao mjifunze something.

Huu ujinga wa Forex na Cryptocurrency trading ulipigwa MARUFUKU forum ya Nairaland ambayo ni forum number 1 in Africa,achana na haka kasisimizi JF.

Sasa jifanye unajua sana kuliko Nairaland.
 
haiwezi kuwa kamwe... haiwezi kuwa kamwe... labda kama itajitengeneza yenyewe na sio binadamu kuhusika na kuitengeneza katika muelekeo anao taka yeye....

NB:
Haiwezi kutokea... labda zije kuwa aliens tofauti na hapo hamna kitu
inawezekana na tusipokuwa makini itakua soon zaidi ya tulivyotarajia.
 
"
Mzee uwe unatumia akili...

Nani amuonee wivu?Nani anamjua in a personal level mpaka amuonee wivu?

Uelewe kua jamaa ni proven scammer!That you cant refute!

Mbwembwe za kutoa makala za kuelezea AI na futuristic innovations ambazo ni public knowledge sio issue hata kidogo.

Mada zimemzidi nani IQ?Unawajua watu wote humu na level zao academically mpaka wasiwe capable kuelewa story kama hizi?Sidhani kama unanielewa hata kidogo..Ni ujinga wa hali ya juu kama unadhani mtu kujua story za kitu katika end user perspective ndio IQ,tatizo lenu mtakua mangwini user/front-end perspective knowledge ndio mnadhani ndio kujua kila kitu.Thats cute,sasa mje na nondo za back-end,from ground up engineering transformation atom-to-atom of a product mpaka upate final user-ready product.Tufanye mfano mmoja tu wa teleportation system,walao tu-discuss possible engineering modellings which can possibly perform in real life conditions. Shida za gwini ndio hizi,akishajua habari ya kitu au technology on the surface anajua watu wengine wote wapumbavu.It is so sad.

Mimi nilikua mkali pale ninapoona,a known scammer Ontario is coming back again with some stupid washed-up articles trying to organize another group of fools to scam again.His real target ni cryptocurrency selling,the other paragraphs are just smoke screens.

Shida ni kwamba 80% of the population in any country are dumb people.No matter how much u alert them,they will get scammed either way.It is sad Ontario will scam these motherf**ckers again no matter how much we peak here.He scammed stupids on FOREX and now he will scam your ugly asses again.

Mtu ambae hajui hizi habari anazoongea Ontario(ignorants) will view this as a ground breaking information and then you will be gravitating to cryptocurrency scams.Shida ni kwamba many dump people do not know the ins and outs of cryptocurrency scams.The 80% of stupid people here will be trapped,and thats good for them to learn a lesson or
"
Mtu kama huyu hapa,kama ulikuwa unajua hizi habari kwa nini usituandikie?Kama unajua background ya mambo mazuri kwanini usije na mada humu watu tuelewe?Kwanini usije na mada safi za kuelemisha humu kama unajua mambo,unasubiri mtu aandikie ndio utembelee cha mtu ili tukuone kuwa unaelewa,"Shida ni kwamba 80% of the population in any country are dumb people"Ukiongozwa na wewe na ndio unazidi kudhirisha katika 80% nawe ni moja wapo.
Sahihisha mtu kwa hoja na majibu ambayo hata wasioelewa waweze kujifunza,sio mtu anabwabwaja na vi sentensi vya kiingereza kama paka anayejifungua humu.Unakuwa kama mbwa malaya ..sijui wewe ni mtoto wa kiume sijui wa kike.Wanaume na wanawake wasomi hawawezi ku comment vitu kama hivi"It is sad Ontario will scam these motherf**ckers again no matter how much we peak here."Humu JF sio wote wapuuzi kama wewe.Jifunzine kujibu hoja za watu kama watu tulioelemika.Hili Ni darasa kuna watu wanaelemika kupitia huku na kuboresha maisha yao.

 
Wazungu wamefanya yote hayo ila wameshindwa hiki, sasa kwanini wewe au sisi tusifanye hiki walichoshindwa ili tuwazidi?

Maana nikiangalia kwa umakini ulichoandika hapa ni kama unasema "they did nothing"! tunarudi kule kule kwenye chuki na ubinafsi na wivu uliotujaa watanzania!
alafu we jamaa ni bashite hahahhaha ko kusema wazungu hawajafanya chochote imekuuma kweli hadi kujumuisha watanzania wote wana wivu na chuki

broo jiangalie upya utakuwa mgonjwa wewe, imekuuma kwelii kuona nimedharau jitihada (kwa mawazo yako) za wazungu.
 
Bila shaka Dogo Ontario unaongoza kuwa na haters wengi hapa jf.wabongo punguzeni roho mbaya mtamkatisha tamaa kijana wa watu kushare vitu adhimu na wanajf
Mi naweza kusema hii chuki imeanzia juu mpaka chini, yaani kuanzia kwa rais anavyochukia waliofanikiwa mpaka kwa members humu JF! inasikitisha sana kwa kweli, badala ya kujadili mada tuko busy kumjadili jamaa mbaya zaidi watu wanamuita tapeli na wakiambiwa wametapeliwa nini hawana majibu!!!

Ni chuki na roho mbaya na wivu!!
 
Naona unazunguka sana,

Hoja yangu ya msingi ni hii...



Tafadhali naomba majibu ya hoja yangu!


Habari za Platform anazitoa kwenye trainings zake.Sijawahi kwenda,naambiwa na dumbest people kama wewe waliowahi kwenda.Labda ningekurekodia voicenote labda nikutumie?

Ndio maana ili upate majibu sahihi na authentic,fungua uzi watu watakua DM watakupa experiences zao.

Udhibitisho gani unataka wewe mfikiria karibu?
 
Mtu kama huyu hapa,kama ulikuwa unajua hizi habari kwa nini usituandikie?Kama unajua background ya mambo mazuri kwanini usije na mada humu watu tuelewe?Kwanini usije na mada safi za kuelemisha humu kama unajua mambo,unasubiri mtu aandikie ndio utembelee cha mtu ili tukuone kuwa unaelewa,"Shida ni kwamba 80% of the population in any country are dumb people"Ukiongozwa na wewe na ndio unazidi kudhirisha katika 80% nawe ni moja wapo.
Sahihisha mtu kwa hoja na majibu ambayo hata wasioelewa waweze kujifunza,sio mtu anabwabwaja na vi sentensi vya kiingereza kama paka anayejifungua humu.Unakuwa kama mbwa malaya ..sijui wewe ni mtoto wa kiume sijui wa kike.Wanaume na wanawake wasomi hawawezi ku comment vitu kama hivi"It is sad Ontario will scam these motherf**ckers again no matter how much we peak here."Humu JF sio wote wapuuzi kama wewe.Jifunzine kujibu hoja za watu kama watu tulioelemika.Hili Ni darasa kuna watu wanaelemika kupitia huku na kuboresha maisha yao.
Mkuu umeandika vyema sana, na hii ina reflect matatizo tuliyo nayo kama taifa!! its pain!!
 
Mzee watu humu wenye akili wanatoa angalizo tu.Niende nikamshitaki kaniibia mimi?

Kwavile majinga yamo mengi,hata tukiwaambia hamuwezi badilika ni vizuri mkaendelea kupigwa ili walao mjifunze something.

Huu ujinga wa Forex na Cryptocurrency trading ulipigwa MARUFUKU forum ya Nairaland ambayo ni forum number 1 in Africa,achana na haka kasisimizi JF.

Sasa jifanye unajua sana kuliko Nairaland.
Mkuu, kupishana mawazo sio ujinga.

Umesema Ontario ana platform, nimekuomba uitaje ili niipitie na Mimi nijiridhishe lakini sijapata jibu.

Wewe Ontario hajawahi kukutapeli ila unasikia kwa watu humu ndani, kwanini tumhukumu mtu kwa habari za kusikia tu bila ushahidi?

Mimi siikubali Bitcoin hata kidogo. Ila siwezi kusema anefanya bitcoin ni tapeli. One man's poison could be another man's medicine!
 
"
Mzee uwe unatumia akili...

Nani amuonee wivu?Nani anamjua in a personal level mpaka amuonee wivu?

Uelewe kua jamaa ni proven scammer!That you cant refute!

Mbwembwe za kutoa makala za kuelezea AI na futuristic innovations ambazo ni public knowledge sio issue hata kidogo.

Mada zimemzidi nani IQ?Unawajua watu wote humu na level zao academically mpaka wasiwe capable kuelewa story kama hizi?Sidhani kama unanielewa hata kidogo..Ni ujinga wa hali ya juu kama unadhani mtu kujua story za kitu katika end user perspective ndio IQ,tatizo lenu mtakua mangwini user/front-end perspective knowledge ndio mnadhani ndio kujua kila kitu.Thats cute,sasa mje na nondo za back-end,from ground up engineering transformation atom-to-atom of a product mpaka upate final user-ready product.Tufanye mfano mmoja tu wa teleportation system,walao tu-discuss possible engineering modellings which can possibly perform in real life conditions. Shida za gwini ndio hizi,akishajua habari ya kitu au technology on the surface anajua watu wengine wote wapumbavu.It is so sad.

Mimi nilikua mkali pale ninapoona,a known scammer Ontario is coming back again with some stupid washed-up articles trying to organize another group of fools to scam again.His real target ni cryptocurrency selling,the other paragraphs are just smoke screens.

Shida ni kwamba 80% of the population in any country are dumb people.No matter how much u alert them,they will get scammed either way.It is sad Ontario will scam these motherf**ckers again no matter how much we peak here.He scammed stupids on FOREX and now he will scam your ugly asses again.

Mtu ambae hajui hizi habari anazoongea Ontario(ignorants) will view this as a ground breaking information and then you will be gravitating to cryptocurrency scams.Shida ni kwamba many dump people do not know the ins and outs of cryptocurrency scams.The 80% of stupid people here will be trapped,and thats good for them to learn a lesson or
"
Mtu kama huyu hapa,kama ulikuwa unajua hizi habari kwa nini usituandikie?Kama unajua background ya mambo mazuri kwanini usije na mada humu watu tuelewe?Kwanini usije na mada safi za kuelemisha humu kama unajua mambo,unasubiri mtu aandikie ndio utembelee cha mtu ili tukuone kuwa unaelewa,"Shida ni kwamba 80% of the population in any country are dumb people"Ukiongozwa na wewe na ndio unazidi kudhirisha katika 80% nawe ni moja wapo.
Sahihisha mtu kwa hoja na majibu ambayo hata wasioelewa waweze kujifunza,sio mtu anabwabwaja na vi sentensi vya kiingereza kama paka anayejifungua humu.Unakuwa kama mbwa malaya ..sijui wewe ni mtoto wa kiume sijui wa kike.Wanaume na wanawake wasomi hawawezi ku comment vitu kama hivi"It is sad Ontario will scam these motherf**ckers again no matter how much we peak here."Humu JF sio wote wapuuzi kama wewe.Jifunzine kujibu hoja za watu kama watu tulioelemika.Hili Ni darasa kuna watu wanaelemika kupitia huku na kuboresha maisha yao.


Mzee mwambie Invicible akufunze Multi-Quoting,maana hueleweki,your post is a shitty messy!
 
Mkuu jambazi post nzuri sana hii... Ila naomba nikirekebishe, elion musk alizaliwa canada na akiwa mdogo waliamia south africa baada ya matatizo ambayo baba yake aliyapata wakiwa canada, then later elion mwenyewe alirudi canada kwa masomo ya chuo kikuu na baadae akaamia marekan kwa ajili ya kuendelea na chuo!!

Lakini pia naomba niwatetee wana dsm kuhusu maji na kuzungukwa na bahari... Maji ya bahari yana chumvi na hayafai kwa matumizi unless uya treat which is costful... Lakin bado sio excuss maana nchi ina miaka zaidi ya hamsini na huu haukua muda wa kuanza kuhangaika na maji!!

All in all tuna safari ndefu sana... Angalia tu comments za watu kwenye huu uzi ndio utaelewa kwann wa tz bado sana...
sure chief, comment tu za humu hasa za chuki na upingaji bila hoja unadhihirisha kwnn bado ccm inawatala hadi leo..[emoji20][emoji20] kwa ahadi za barabara, maji na umeme [emoji17]
 
Mkuu mimi sio mtu wa matusi, na sifurahishwi kuona mtu anaandika matusi badala ya hoja za msingi!!

Turudi kwenye mada...

Habari za Platform anazitoa kwenye trainings zake.Sijawahi kwenda,naambiwa na dumbest people kama wewe waliowahi kwenda.Labda ningekurekodia voicenote labda nikutumie?

Hapo kwenye red;

Kwa hiyo ndugu yangu kwa kusikia maneno ya watu tena unao waita "dumbest people" ndio una muita mwenzako tapeli na mwizi?

Sasa kama ni maneno uliyasikia kutoka kwa "dumbest people" kwanini unasema ni "proven" au kwanini unayaita ni ya uhakika?
 
Mzee mwambie Invicible akufunze Multi-Quoting,maana hueleweki,your post is a shitty messy!
Post ya adrenaline ni hii... haya mjibu sasa!

Mtu ambae hajui hizi habari anazoongea Ontario(ignorants) will view this as a ground breaking information and then you will be gravitating to cryptocurrency scams.Shida ni kwamba many dump people do not know the ins and outs of cryptocurrency scams.The 80% of stupid people here will be trapped,and thats good for them to learn a lesson or
"
Mtu kama huyu hapa,kama ulikuwa unajua hizi habari kwa nini usituandikie?Kama unajua background ya mambo mazuri kwanini usije na mada humu watu tuelewe?Kwanini usije na mada safi za kuelemisha humu kama unajua mambo,unasubiri mtu aandikie ndio utembelee cha mtu ili tukuone kuwa unaelewa,"Shida ni kwamba 80% of the population in any country are dumb people"Ukiongozwa na wewe na ndio unazidi kudhirisha katika 80% nawe ni moja wapo.
Sahihisha mtu kwa hoja na majibu ambayo hata wasioelewa waweze kujifunza,sio mtu anabwabwaja na vi sentensi vya kiingereza kama paka anayejifungua humu.Unakuwa kama mbwa malaya ..sijui wewe ni mtoto wa kiume sijui wa kike.Wanaume na wanawake wasomi hawawezi ku comment vitu kama hivi"It is sad Ontario will scam these motherf**ckers again no matter how much we peak here."Humu JF sio wote wapuuzi kama wewe.Jifunzine kujibu hoja za watu kama watu tulioelemika.Hili Ni darasa kuna watu wanaelemika kupitia huku na kuboresha maisha yao.
 
Ujibiwe mara wewe dumb motherf**ker?

Habari za Platform anazitoa kwenye trainings zake.Sijawahi kwenda,naambiwa na dumbest people kama wewe waliowahi kwenda.Labda ningekurekodia voicenote labda nikutumie?

Ndio maana ili upate majibu sahihi na authentic,fungua uzi watu watakua DM watakupa experiences zao.

Udhibitisho gani unataka wewe mfikiria karibu?
Kuwepo na hoja zinayoambana na fact, I truly enjoy opposite throughts and actually that's how we scale up our brains... you are so important in this thread, lkn tufike mahali tuwe na staha ya maneno, hata km tunakwazika na mawazo kinzani tuvumiliane na tuendelee kulumbana kwa hoja, sio kurushiana matusi na maneno ya shombo. Matusi ya nini, mengine tena mazito, sio ustaarabu chief.
 
Fanya zoezi dogo tu.Fungua uzi mpya andika "Nani Katapeliwa Forex Trading na Ontario",halafu uone watakaojibu.Pia wape ruksa ya kukutumia DMs kama mtu anaona noma kusemea kwenye uzi.

Au andika tu "Nani Kapata Hasara Kwenye Forex Trading Kupitia Platform Ya Bwana Ontario".You will get more DMs than Mark Zukerberg will ever dream of.

Fanya hilo zoezi halafu utanipa majibu!
Kupata hasara ktk biashara hasa ya forex kupo na hautendi haki kuita hasara apatayo mtu ktk biashara ya forex basi kuna utapeli uliosababishwa na unayemtuhumu bila kuthibitisha .

Binafsi nimewahi pata hasara tena ya kuridhisha na hasara yangu siwezi ihusisha na mtu yoyote bali niliichukulia kama changamoto ktk kujifunza na sasa niko sawa na hii imetokana na kujifunza kutokana na makosa.

Mtu mwenye sense fulani atajiuliza iweje watu wengine wapinge kwa nguvu sana watu kufahamu elimu fulani,iweje waumie hivi, Ila majibu ninayo.
 
Mkuu, kupishana mawazo sio ujinga.

Umesema Ontario ana platform, nimekuomba uitaje ili niipitie na Mimi nijiridhishe lakini sijapata jibu.

Wewe Ontario hajawahi kukutapeli ila unasikia kwa watu humu ndani, kwanini tumhukumu mtu kwa habari za kusikia tu bila ushahidi?

Mimi siikubali Bitcoin hata kidogo. Ila siwezi kusema anefanya bitcoin ni tapeli. One man's poison could be another man's medicine!

Mzee naomba uelewe yafuatayo:

-Nimepata first hand experiences za dumb people who got scammed by him.I take their words as true and valid.I give a zero f**ck what u think of that!

-Trading Platform anawaelekeza in his trainings,calls,etc even in the DMs.You need screenshots?

-Kuhusu Bitcoin,not necessarily itself in its pure form a scam.Ni digital currency,ni medium of exchange,hawa scammers wanaitumia hiyo digital currency kufanyia scamming activities zao,kama wanavyotumia authentic USD currency kufanyia Forex scamming activities.Just that!Bado hujaelewa?

-Halafu elewa Bitcoin ni moja ya cryptocurrency tu,zipo nyingi.Cha muhimu ni Blockchain technology.Usije ukaolewa na neno "Bitcoin" ukajua dunia nzima ina revolve around "Bitcoin" maana hamchelewi kunya mkiona kichaka!
 
Huu ujinga wa Forex na Cryptocurrency trading ulipigwa MARUFUKU forum ya Nairaland ambayo ni forum number 1 in Africa,achana na haka kasisimizi JF.
Kama hoja yako kwamba forex kupigwa marufuku nairaland ni kielelezo cha forex kuwa utapeli , je unajua kwamba kuna nchi facebook, twitter zimepigwa marufuku je kwasababu zimepigwa marufuku ni kielelezo kwamba facebook na twitter ni matapeli?
 
Back
Top Bottom