Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Nikweli lakini ukweli utabaki palepale kuwa hakuna kitachomzuia binadamu kuendelea kuwa pale alipo kweli ugunduzi wa hli ya juu unafanyika mpaka wakumfanya binadamu aamue kufanya mambo ambayo yanatakiwa kufanywa au kuongozwa na nature like kuchagua ndoto ykuota usiku kabla ya kulala kujagua niainagani ya sensation anayoitaka wakati wa kusex lakini vyote hivi ni kazi y mikono ya binadamu lazima binadamu uwepowake uhitajike katika kila nyanja hata tech ikifikia kiwango kipi.mimi binafsi sina hofuna yajayo sababu hakuna kilichojuu ya uwezo wa wanadamu lets back to years of computer intro tuseme in early of 80's kila mmoja alijua computer inaakili ziadi ya mwanadamu lakini wlipokuja kujua yote ile ni akili ya mwanadamu leo tunaona dunia ni rahisi sababu hiyo!!hakuna wakushinda na uwezo wa muumba hivi vyote nikati ya chembechembe ndogo sana za akili ya Mungu


Kuna upeo ambapo mwanadamu amewekewa kuufikia na MUNGU (kwa sisi waamini Mungu) lazime afike hapo ambapo utakua wa kushangaza kila mtu chini ya jua na hilo Mungu ameliruhusu “Mungu amemfanya mwanadamu mnyofu, lakini wamebuni mavumbuzi mengi”. (Muhubiri 7:29)

ila pia pia kuna kikomo ambacho mwanadamu amewekewa kukifikia na kamwe hawezi kupita hapo hata afanye nini hatapita hapo rejea mnara wa babeli ndivyo ilivyokua, itakavyokua hata sasa ko mambo yote nna yatendeke kwa uzuri
 
mkuu ONTARIO naomba ufafnuzi hapo kwenye technology ya 3D printing,hasa uliposema kuwa huko china kuna ghorofa la ngazi 5 limejengwa kwa siku 17 na kuhusu hilo gari la ku-print linafanya kazi au ni gari la pambo?

ingia youtube angalia, hayo mambo ya 3D PRINTING nimeyajua ARDHI UNIVERSITY, hata MUST pia hio technology wanayo
 
ISO M.CodD mwaka jana mwezi wa tisa ripple ilikua inachezea dola 0.0002, mwezi wa kumi na moja haikufika hata 0.1usd ila jana ilifika 3.4usd...

Hapo sijaongelea bitcoin na ethereum...

Dunia inaenda kwa kasi sana sisi ndio kwanza tumewekeza kwenye kukuza vyama bila kisahau chuki na visasi...

Bado tuna safari ndefu sana mkuu!! Ila tutafika tu... together or alone!!!
 
KAKA
Amka hayo maelezo yote ni mbwembwe tu..
Kuna kitu huyu jamaa anataka kukisema atunishe mfuko. Lengo la post yake ni hii..

Blockchain ya kwanza duniani iliundwa na mtu mmoja asiyejulikana ama kundi la watu wasiojulikana anayetambulika kwa jina la Satoshi Nakamoto mwaka 2008, teknolojia hiyo ikaanza kutumika mwaka 2009 kwa product ijulikanayo kama Bitcoin.Juzi tumeona Bitcoin 1 ikiwa na thamani ya $20,000. Muda huu natype huu uzi tayari kuna zaidi ya cryptocurrencies 1300, kama nilivyosema awali, teknolojia ni kama radi, kamwe huwezi kuizui kwa mkono, hata kama hatuyataki haya mapinduzi bado yatatufikia tu.


Ninachoamini miaka kadhaa pesa itakuwa full digitalized na decentralised, hakutakuwa tena na hizi noti na sarafu bali tutakuwa na cryptocurrencies nyingi, tayari dunia ipo huko, lkn watu hawajaanza kuadapt mabadiliko, hapa ndio hua nasema only the fit will survive. Mzee baba Bill gates tumeona akitia mzigo kwenye crypto iitwayo Ethereum sawa na makampuni kama Itel, JP Morgan, Watu kama kina JohnMcafee na Mark Cuban wote wanatia mizigo yao huku. Kama mtu aliyesmart mwaka 2012 angenunua bitcoins 102 kwa $100 tu,leo hii mtu huyo huyo angekuwa na $1,667,000 kutoka $100. Hapa ndio inakuja ile, I wish, I could, I would, I should.


Mimi binafsi hivi vitu nimechelewa kuvijua, na wala sijilaumu na sasa nimetumia muda mwingi sana kuvifahamu kwa undani. Kama Jan 2017 mtu angewekeza $1000 kwa kila 1 ya top 7 cryptocurrency yani Bitcoin, Ethereum, Ripple, Litecoin, Monero, Dash na Neo leo hii mtu huyo angekua anavuna $1,156,000 kiutani utani tu. Mimi Sept mwak jana nilitumia $800 kununua ripple 8012, leo hii kila coin 1 ya ripple inathamani ya $3 na si ajabu by December mwaka huu coin 1 ya ripple ina thamani ya $100. Siku si nyingi sana nimeinvest $103 kwenye coin inaitwa mintchip nimenunua coins 100,050 ndani ya masaa machache nimeweza kutripple capital na hapa plans zangu niendelee kuhold hadi December ambapo labda coin 1 itakuwa na thamani ya $1 kwa hivyo investment yangu ya $100 itakuwa imeleta zaidi ya $100,000 kiutani utani.Tumeona hii inawezekana baada ya ripple kutoka $0.0063 hadi $4 kuanzia Jan 2017-Jan 2018.Huku ndipo dunia ilipofikia. Muda huu unasoma hii thread fahamu kuwa Larsen Founder wa Coin ya Ripple ndio tajiri namba 5 duniani, kawaacha kina Mark Zuckerback wa FB na hata mafounder wa Google Larry Page and Sergey Brin. Mpk mwaka unaisha jamaa atakua anamtuma Bill Gates sokoni akamnunulie ugoro.


Hapo ndio point yake kubwa.

Halafu it is so so sad,idadi kubwa ya population ni low IQ watamfuata huyu mwizi all the way through!

So sad!

No matter how you alert these fools,they will never learn!
 
huyu dogo ni tapeli sana asipoacha utapeli watakuja mchoma moto raia.. alianzia mbali forex na baadae akapiga hela za watu akaenda kulimia... na kuwaambia wasubiri wata download hela mwisho wa siku wameambulia manyoya... sasa kaja na mbwembwe nyingiiii mwisho wa siku watu watapigwa hela na kubaki manyoya.. na safari hii ndio watamtia kiberiti
 
huyu dogo ni tapeli sana asipoacha utapeli watakuja mchoma moto raia.. alianzia mbali forex na baadae akapiga hela za watu akaenda kulimia... na kuwaambia wasubiri wata download hela mwisho wa siku wameambulia manyoya... sasa kaja na mbwembwe nyingiiii mwisho wa siku watu watapigwa hela na kubaki manyoya.. na safari hii ndio watamtia kiberiti

Kwanini una muita mwenzako tapeli? Amekutapeli nini?
 
Inshort wanaprint parts za kutengeneza nyumba sio nyumba yote kwa pamoja.alafu wana assemble manually
Leo nimeona video ya 3D brick layer machine. Kwa kifupi inapandisha boma.
 
Nilichojifunza apa ni kufanya kazi na kujipanua kiuchumi mapema kwenye maisha ili uweze kupata mda wa kuichambua dunia vizuri apo baadae kwa kusoma vitabu kisafiri kokote duniani bila kusumbuliwa na kazi nk

Big up ONTARIO
 
Hapo ndio point yake kubwa.

Halafu it is so so sad,idadi kubwa ya population ni low IQ watamfuata huyu mwizi all the way through!

So sad!

No matter how you alert these fools,they will never learn!
Jf tuna wajinga wengi sana. Wameaminishwa hizo conspiracies (regard Ontario he is an Athiest) na ndio watz wanazipenda. Na anajua wengi ni mbumbumbu. Yeye anawaambia hayo ni mkulima na mfugaji wa kuku, ila viwatu vimetega kusikia ujinga..
 
Hii hata mimi kila nikijaribu "kulisukumizia" kwenye ubongo wangu linakataa kabisa,sasa kama nyumba inakuwa printed inamaana hilo printer lenyewe lina ukubwa kiasi gani?......lakini pia kuna lile la kumfyatua binadamu kama tofali maabara,hili nalo japo ni tecknolojia ila nahisi kama "kamba" hivi ila sijui tuendelee kusubiri lakini sidhani.
Tatizo lako unafikiri paper printing hizi zipo sasa. Si hadithi. Google 3D printing ujionee
 
Dah! Kweli nimeamini ule usemi kuwa wabongo wamebakiza stage moja tu ili waitwe wachawi na wakabidhiwe tunguli, iv ni kipi kinachofanya mumchukie hyu dogo? Mnamuita mwizi amewaibia nn??mara ooh! Tapeli anewatapeli nn?? Km ni fursa ameona mwacheni azitumie mradi hajakupiga kabali na kuchukua hela zako kwa nguvu! Kijana wa watu maskini anapambana ili kesho yake iwe bora mnamuona mwizi wakati hajawaibia chochote badilikeni sio poa
 
Back
Top Bottom