Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Eti wafanye yote washindwe kugundua dawa ya vvu aisee hawa jamaa ni minafiki namba moja ulimwengun !!
AIDS ni laboratory engineered disease. Wameutengeneza wao kwa lengo flani.

Kwao sio tishio sana kama ilivyo Africa, ndio maana hawahangaiki kihivyo.

Hapa ndipo utakapo jua kua the future won't be romantic to most people, particularly Africans!
 
Karma kuna kitu siwezi kukibishia ni tekinologia.maana africa tupo nyuma sana.huwa napenda kuangalia chanel ya national geo kipindi future world mengi anayoelezea ontarios unaweza yaona.kwa kusimuliwa utaona ni ndoto tu.ila natumaini muda utatupa majibu
 
Ndo maana mimi niliuita mkusanyiko wa habari. Tatizo sisi waTz hatutafuti mambo vifaa vyetu kama simu , kompyuta na tablet hatuvitumii inavyotakiwa. Haya mambo yapo siku nyingi mitandaoni. Alichofanya Jeff ni kutafsiri na mpangilio wa story. Pia amewasaidia wengine ambao hawakufahamu hizi mambo.

Kuhusu yeyekuanzisha kituo cha kumine bitcoins, kwa maelezo yako una maanisha anapima upepo wa watu? Inamaana anao wa mentor ktk forex anawabadilishia njia ? Au watafanya vyote viwili?
Mi nafkiri Jeff mwenyewe ndo mwenye majibu. Pia alisema atarudi kutoa conclusion yake. Inabidi afafanue. Na kuhusu yeye kuwa scamer atoe maelezo, uongo ukisemwa sana unajulikana kuwa kweli.
Moja ya sifa ya JF ni kupingana mawazo hakuna haja ya kutukanana. Tupingane kwa staha, shukrani.
 
Eti wafanye yote washindwe kugundua dawa ya vvu aisee hawa jamaa ni minafiki namba moja ulimwengun !!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bwanah bwanaaah
 
Ha ha ha ha ha et platform ya ontario kwa hiyo jamaa ana miliki platform sasa!!??


Hapa ndo utaona kua maboya wengi wanao mmaindi mwana ni wapuuzi kama ww so come again ontario ana trading platform au siooo just name it tuijui ni ipi??
Jamaa na mbwembwe zake zote pamoja na matusi yake kumbe anatukana kwa vitu vya kusimuliwa na dump people. Nimekuja kugundua na yeye ni dump people baada ya comment yake anayosema Ontario anamiliki software ya kuwaibia watu
 
Ngoja nijizuiee kuchekaaa ....
 
Unalipwa sh ngap kumtetea..?
Yeye ni nani asipate upinzani kwenye mada zake..?
Wake up tushajua Idea yake atengeneze wajinga wengi ili akawapige pesa..
Sasa nikasome mara ya ngapi mkuu?

Forex haina uhusiano na ponzi scheme, na niliukuuliza kama unajua maana ya ponzi scheme ukaishia kutoa hoja mfu!

Sasa hebu niambie kwanini unasema forex ni ponzi scheme?
 
[emoji23] [emoji23]
Humu Jf kuna baadhi ya id ukiwa na kichwa kizuri utagundua kabisa ni taasisi za watu na wako kwa malengo fulani, mwenye macho haambiwi tazama... ukicheza waweza jikuta kwenye mikono ya wasiojulikana [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Kwasisi mafuturist hizi zote ni taarifa za ukweli na zitawezekana,and I'm sure Elon Musk atakua bilionea ambaye hayajawahi kutokea duniani,maana ana project kubwa na za kisasa.

Ila forex fanyeni kama starehe na siyo kazi,maana mzungu anatoka calfonia anakuja kufuga kuku tanznia,unafikiri calfonia forex haipo?
 
Hapana alkua anakula wirelessly believe me !!
Smart person hawezi kufanya mambo ya underground ya kula papuchi,siku hizi watu wote makini wameacha ngono kabisa..wanazaa watoto kwa njia ya sindano au maabala..going against nature
 
Avatar yako hutakiwi kuzungumzia kabisa papuchi,maana huyo mwenye picha alikufa bikra!!...Respect to Nikola Tesla
Hivi na huyu Kamanda wa jeshi la marekani Mattis (Mad Dog ) nae hana historia ya mahusiano ya kingono au kuoa ?
 
Smart person hawezi kufanya mambo ya underground ya kula papuchi,siku hizi watu wote makini wameacha ngono kabisa..wanazaa watoto kwa njia ya sindano au maabala..going against nature
Hahaha ndugu nikubalie tuu Tesla ndo ... Aah Mkuu ningeeleza mengi sema naogopa .. Nsiharbu Uzi wa ndugu
 
Reactions: 365
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…