Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Oyaa tusipangiane pa kupost kabisa,,,nacomment navyotaka
Hujapenda kunya bogaa
Aliyekupangia cha kupost ni nani? Nilijua tu lazima upaniki make upeo wako wa kufikiri nishausoma we komenti unavyotaka wala sio tatizo nami pia nakoment kadiri navoona inafaa
 
We jamaa unaejiita The bord nakumaind sana

Omba mungu usiingie anga zangu
 
Uongo mkubwa uliowahi kuongea ww bwana Ontario ni kua "Eti kuna machine ya 3D inayatumika kuprint nyumba, so baada ya miaka kama 20 watu watakua wanafyatua nyumba kwenye mashine"

-Tera La Vista
Yeah! inawezekana mkuu, miaka 3 iliyopita wakati 3D printing ndo inaanza nilikuwa naona youtube jamaa aliprint bunduki ya SMG, na ikawa inapiga mzigo fresh tu[emoji1] [emoji1]
 
ukweli technology aizuiliki na itazidi kushangaza .hapa naona watu wanashindwa kuwa na open mind. akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Cc.
Beira Boy The bold mshana jr
Shunie
GuDume
Miss Natafuta
Padri mcharo
 
kuhusu future technology nimeona mambo mengi sana na ambayo hata mengine mkuu ONTARIO hajayataja hapa ila ukweli ni kwamba dunia inakwenda kwa kasi kweli kweli tutegemee mambo makubwa siku zijazo katika ulimwengu wa teknolojia. mfano mwaka 2013/2014 walikuja na idea/concept ya kitu kinaitwa ROLLTOP kwa jinsi ilivyo portable itakuja kufunika laptop hizi tunazotumia leo.

 
Yeah! inawezekana mkuu, miaka 3 iliyopita wakati 3D printing ndo inaanza nilikuwa naona youtube jamaa aliprint bunduki ya SMG, na ikawa inapiga mzigo fresh tu[emoji1] [emoji1]
So nawe unaamini one day Utasafiri kwa eMail hadi China au utatumiwa gari lako kutoka Japan wakutumie kwa email hafu ukaitoe kwa wakala..?
 
That is fantastic bro..
 
yameshatimia mkuu
Mkuu bado nafkiri human being yupo juu. Kumbuka any fault ktk hayo maroboti binadamu ndo anafanya marekebisho. Pia binadamu anaweza kuhack hizo robot kumbuka ni software tu zinazokuwa installed ktk hizo robot au mashine. Bado naona bunadamu yupo juu. Unless niwe proven otherwise
 
hahaa witness
huyo ndiye Ontario mwenyew ..ana fake ID nyingi humu
au kama sio yeye basi ni moja ya vijana wake amabo anawalipa nakuwanunulia bundle kwaajili yakuwatia upofu waakili wale wasiojielewa
 
Ok.
 
Huu uzi nausoma toka jana lakini nashindwa cha kuandika coz treni imehama relini na inatembea kwenye barabara ya vumbi ya Tandale Uzuri
Kweli kabisa mkuu, kwa jinsi thread nilivyoiona sikutegemea negative comments from wachangiaji, maana sasa badala ya kujadili mada lengwa mezani ni vijembe, kejeli na kusemana as if thread ilikua inahusu hivyo so sad!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…