Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Jeff nimejifunza mambo mengi sana, for no reason [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naamini siku moja Tanzania tutakuwa na uwezo wa kumiliki particle accelerators
 
TO ONTARIO.....


Much thanks to you blessed guy,additions to it....

°Smartbetri za kuchajiwa 5minutes na lasting for 5days/week.

Nilikuwa nasoma jarida moja ,aiseee ,future is real BRAINSTORM
 
Naona watu hawapo tayari kabisa kuipokea teknolojia wala hawataki kabisa kufikiria kuhusu teknolojia
Uzuri ni kwamba hakuna mtu yeyote atakayezuia technolojia, simply because wakati technology ina hasara kwa fulani at the same time ina faida kwa mwingine. Huwezi kumzuia Mo Dewji kuweka robot kwenye viwanda vyake badala ya binadamu sababu kaona robots are more efficiency and effectively they can perform better 24 hours non-stop, hata ulie vipi yeye anachojali ni kuongeza faida wether you like it or not. Miaka ya 80 waliosomea data keeping walikuwa na ajira sana sababu mainly data zilitunzwa kwa maandishi vitabuni, hata banks zilitumia vitabu kuweka records. Yumkini na wao walipinga sana ujio wa computer, leo hii baada ya miaka 30 yako wapi?? Naweza kuscan paper na maandishi yakaingia kwa mfumo wa word so sihitaji typist, je typist wa miaka ya 1980 ungemwambia kuwa miaka 20 ijayo hamtahitajika angekubali?
Nakumbuka tulituma sana fedha na barua kupitia posta, leo hii posta imebaki kwa aslimia kubwa ni parcels nazo zinazidi kupungua ukiongeza na ushindani na DHL na makampuni mengine posta haina soko. Je miaka ya 80 wangapi walijua e-mail na cloud zitasababisha posta wapunguze wafanyakazi?
Kuna mtu mmoja anajitapa kuwa mpiga picha, anajitoa ufahamu kuwa miaka 10 iliyopita wapiga picha walikuwa valued sana kuliko sasa hivi. Ilikuwa unapiga picha unasubiri siku tatu mpaka wiki ndio niipate, sasa hivi na smartphone yangu sihitaji mpiga picha, naweza piga picha nzuri kwa tecno nikazihifadhi kwenye e-mail ama CD, much worse naweza kununua printer yangu ndogo kwa 200k nkawa naprint mwenyewe.
Bahati mbaya sana watu wengi, na hasa vijana, tuna kasoro sana vichwani. Tuna maskio mawili na mdomo 1, lakini tunapenda kuongea zaidi kuliko kusikiliza na kujifanya kujua sana. again, unaposkia kitu ni bora sana ukakifanyia uchunguzi kujiridhisha faida na hasara zake then you will be in good position to argue, acheni utoto.
 
Haya mambo huku kwwtu ni mwaka 3650 ndo tutayafikia
ubaya ni kwamba wanaoyatengeneza ndio wanaoyaeneza haraka ili kupata soko. kama uber imeanza 2009 tayari ipo tanzania hata miaka 10 bado, tegemea hayo nayo yatafika mapema sana
 
ONTARIO
Kajitahidi kuonesha upendo ila ndio hivyo watu hawapendeki....
Na wengi wetu hatusomi ndio maana twakataa ayasemayo...
Kuna wengine wivu to umewajaa, unakuta mtu hana chochote na umri umeenda sisi wa miaka 20's tukiwapita wanaanza lawama hizi

Aaaah yule dogo tapeli sana...
Sikatai, wapo matapeli ila hakuna tapeli tajiri maana muda wote anaishi kwa woga kwani lazima polisi wamtafute kwani ukitapeliwa utakimbilia polisi


Aaaah yule fulani, yule punda yule.... Hapo huyo punda hajui hata harufu ya bangi... Sababu kijana wa watu katumia akili kuliko wewe wa 40's na kakuzidi, wewe stress zako za umri kwenda unamhamishia kijana


Aaaah yule jambazi

Aaaah yule waganga ndio wachungaji wake

Lazima tukubali, ukipitwa na mtu lazima utajiskia vibaya Tena mtu mwenyewe mwaka Jana tu alikua akilima mashamba kwa trekta za kukodi
Tena hyo huyo alikua mfuga kuku
Wakati akifanya hayo wewe ulikuwa wapata milioni 4 kwa mwezi.......
Miaka yako ni mingi zaidi ya 30 anakuja ONTARIO na 24 au Root na 26 anakupita atumie Brand New Vehicle ( achana na used.... Yaani unachukua kitu kikiwa 56km, na kimetengenezwa 2017 Mwezi wa Tatu.... Kiufupi hiyo gari haijakaa Tz hata mwaka...
Lazima uchukie tu

Guys tuache chuki maana chuki hazjengi.....
 
first i should put this clear. i dont need multiple IDs coz i can be anyone anywhere. it is just a matter of decision. ila nina MULTIPLE PERSONALITIES. These are two different things. na pia siku zote huwa nasema akili yangu sifanani na mtu mwingine yeyote. wengine wana akili nyiiiingi sana. mimi sina akili hata kidogo so ni makosa kunifananisha mimi na mtu mwingine coz akili yangu naijua mwenyewe tu.

 
Bigup Root huo ndo ukweli uliopo kubali matokeo tu hakuna namna[emoji28][emoji28][emoji28]
 
nimesoma kwa makini kweli nikajua kuna sehemu ntaona wanasayansi wamegundua dawa ya kifo hakuna ni porojo porojo nyingiii

ngazi za umeme,mashine za kilimo zipo ulaya tangu miaka ya mia 8 hadi leo 2018 kwetu hazijafika bado tudanganyane eti 2020-30 kutakuwa na mabadiriko makubwa hayo yanawahusu ulaya

hakuna kipya sayansi imegundua sema inafanya maboresho tu. igundue maisha ya milele ndo tutaiamini,,,,,igundue kwa nini tunakata moto na dawa yake ni nini? (ama tujivua gamba kama nyoka)
maisha ya milele ili ugundue nini?
 
first i should put this clear. i dont need multiple IDs coz i can be anyone anywhere. it is just a matter of decision. ila nina MULTIPLE PERSONALITIES. These are two different things. na pia siku zote huwa nasema akili yangu sifanani na mtu mwingine yeyote. wengine wana akili nyiiiingi sana. mimi sina akili hata kidogo so ni makosa kunifananisha mimi na mtu mwingine coz akili yangu naijua mwenyewe tu.
Ww ni GT (Tamka Jiitii) sema hua unafanya umbwigilambwigila makusudically, Nakukubali.
 
Mzee,hapa ni catchment area yake...ukishashikwa hapa,sometimes anawaita kwenye trainings zake,huko ndio wanapewa maneno ya ndani kuhusu hiyo occult ya uongo uliotukuka ya hiyo trading platform yao...Nimekwambia,ufungua uzi andika "Nani Kapata Hasara Kwenye Forex Trading na Bwana Ontario" utapata majibu na DMs za kutosha,waulize watakuambia ujinga wote wanaoambiwa.

Na kibaya zaidi,bwana Ontario anawaongelea very smooth,na amejenga persona kwamba ni mtu very intelligent na very successful hivyo dump followers is all what they need to believe.
huo uzi c ufungue wewe.
 
Nimejaribu kusoma kwa utulivu nikitaka kuona huo utabiri wa Ontario kwa maiha yajayo. nimekosa kuona utabiri huo. ni kuwa hakuna utabiri zaidi ya kuelezea kile ambacho anakifikiria kitakuwa kimefanyika kutokana na alichosoma. ni sawa na mimi ningeangalia documentary moja ambayo wanaelezea kuwa wapo kwenye mchakato wa kutengeneza self drive car then nikaja hapa na kusema "Gudume's prediction huko tunakoelekea tutakuja kupanda taxi ambazo hazina madereva" mimi ni mpongeze kawasaidia watu wasiosoma kupata knowledge hii ambayo hawakuwa wakiifaham. lakini kuna ambao wamekuwa wakisoma na kuangalia science tv channels,documentaries wanafaham kinachoendelea kwa njia moja au nyingine.watu wanasoma.ni wapuuzi tu ambao wanadhani hakuna waafrika au watanzania wanaosoma.lakini pia ni kwa kuwa si wote tunaweza kuja na kusema tumesoma vitabu kadhaa kwa sababu haina haja.so wanaoweza wanaweza fanya hivyo kwa sababu kadhaa.

kuna siku 365. kuna vitabu ambavyo vinachukua page mpaka 1000 na kuendelea. nimewahi soma kitabu cha namna hiyo.

sasa chukua siku 365 gawanya kwa vitabu 100 = unapata kwa kitabu kimoja unasoma siku 3 na masaa 7. hapo maana yake haulali na hauli na haufanyi kitu chochote wewe ni kusoma tu kitabu husika.

sasa chukulia kitabu cha kawaida tu chenye pages 1000 gawanya kwa masaa 79 yaani siku 4 jumlisha na masaa 7. maana yake unasomapage 12 kwa saa moja. na hapo maana yake huli,hulali,huendi kuoga na kufanya anything.wewe ni kusoma na kusoma na wewe. uwe hujajiajiri wala kuajiriwa. unless otherwise uwe unasoma vile vitabu vidogo vidogo au journals. so kuna mammbo ambayo sisi wengine yanatushinda to brag coz we know some intelligent people are here.you can fool some people sometime.but you cant fool all the people all the time.

hivyo nampongeza sana huyu bwana ontario na alichoakiandika na kuweza kusoma vitabu 84 kwa mwaka. ni jambo la kumpongeza sana maana kwa kweli alikuwa na uchaguzi mzuri wa vitabu gani asome na kwa muda gani. na pia najua alipoteza muda wa kulala na pia hata kufanya shughuli zake nyingine ili aje atoe "utabiri" kama ambavyo ameuita. pia kuwa na uwezo mkubwa wa kusoma kwa ufanisi na haraka vitabu vyote 84 ni jambo la kupigiwa chapuo sana.mimi nampongeza. na pengine kuna watu watataka kujifunza kutoka kwake.

otheriwse nabaki katika moja la msingi kuwa amejitahidi kusoma na kuja kuelezea alichosoma kwa mwono wake lakini haja predict chochote kinachokuja huko mbeleni.narudia hajatabiri lolote linalokuja huko mbeleni ila ameweza kuunganisha dots mbali mbali za kisayansi. na dhana ya 3D printing technology nadhani watu wengi hawajui inavyofanya kazi wanadhani ni kama tunavyo print picha ikatokea ikiwa vile basi ndivyo inavyokuwa kwa maelezo mepesi mepesi wanayoyapata na wengine kwa kukosa udadisi au kuelewa kinachoelezwa kwenye documentaries na vitabu au vijitabu.

waswas anaozungumzia kuwa anauona huko mbeleni haupo kiuhalisia. hakuna woga wowote kutokana na kuwa technolojia hii kwa sisi waafrika kuja kutuathiri kama anavyosema yeye ni miaka mingi ijayo. kwa sasa bado hata wao wanaotengeneza kuna uwezekano mkubwa isiwaathiri ndani ya miaka 10 ijayo.hayo magari yanayojiendesha n.k bado sana kuja kufikia kuwa na athari kubwa katika maisha ya wanadamu. tuangalie tu kitu rahis kama kompyuta level yao na sisi ilivyo na athari zao na zetu.wakati wao wameshaendelea uda mrefu hata kwenye fuel station hukuti watu wanahudumia hivyo vituo..sisi bado hatujafika huko na maybe itachukua muda kidogo.so woga anaoweka mwandishi kwa sisi bado sana.
 
ha ha ha.... bob... mimi si kitu chochote ndugu yangu.... mimi ni mlalahoi tu ambaye nashinda shinda humu kujipatia mawili matatu toka kwenu. nashukuru hata hivyo kunifikiria chanya. mimi ni kama tuta tu na wengine kama ninyi ni kama mlima kilimanjaro.
Ww ni GT (Tamka Jiitii) sema hua unafanya umbwigilambwigila makusudically, Nakukubali.
 
Teknolojia inapomfanya binadamu akose kazi ya kufanya(mass unemployment), tegemeo kubwa ni UASI MKUBWA WA BINADAMU DHIDI YA TEKNOLOJIA HIYO. Kwa asili mwanadamu anapenda teknolojia inayomrahisishia kufanya kazi sio kukosa kazi. So nadhani yatakua mapambano kati ya humananity dhidi ya teknolojia.
 
Back
Top Bottom