marcus dedsec
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 944
- 987
Soon tutawaletea training za bitcoin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni ufala
Biashara imekuwa ngumu..naona wateja wamekuwa wakali kama mbogo kwa mentor wao..uzi graph yake inashuka tu taratibu..
Vichwa madafu hawajaelewa bado.Soon tutawaletea training za bitcoin
Uzuri ni kwamba hakuna mtu yeyote atakayezuia technolojia, simply because wakati technology ina hasara kwa fulani at the same time ina faida kwa mwingine. Huwezi kumzuia Mo Dewji kuweka robot kwenye viwanda vyake badala ya binadamu sababu kaona robots are more efficiency and effectively they can perform better 24 hours non-stop, hata ulie vipi yeye anachojali ni kuongeza faida wether you like it or not. Miaka ya 80 waliosomea data keeping walikuwa na ajira sana sababu mainly data zilitunzwa kwa maandishi vitabuni, hata banks zilitumia vitabu kuweka records. Yumkini na wao walipinga sana ujio wa computer, leo hii baada ya miaka 30 yako wapi?? Naweza kuscan paper na maandishi yakaingia kwa mfumo wa word so sihitaji typist, je typist wa miaka ya 1980 ungemwambia kuwa miaka 20 ijayo hamtahitajika angekubali?Naona watu hawapo tayari kabisa kuipokea teknolojia wala hawataki kabisa kufikiria kuhusu teknolojia
ubaya ni kwamba wanaoyatengeneza ndio wanaoyaeneza haraka ili kupata soko. kama uber imeanza 2009 tayari ipo tanzania hata miaka 10 bado, tegemea hayo nayo yatafika mapema sanaHaya mambo huku kwwtu ni mwaka 3650 ndo tutayafikia
maisha ya milele ili ugundue nini?nimesoma kwa makini kweli nikajua kuna sehemu ntaona wanasayansi wamegundua dawa ya kifo hakuna ni porojo porojo nyingiii
ngazi za umeme,mashine za kilimo zipo ulaya tangu miaka ya mia 8 hadi leo 2018 kwetu hazijafika bado tudanganyane eti 2020-30 kutakuwa na mabadiriko makubwa hayo yanawahusu ulaya
hakuna kipya sayansi imegundua sema inafanya maboresho tu. igundue maisha ya milele ndo tutaiamini,,,,,igundue kwa nini tunakata moto na dawa yake ni nini? (ama tujivua gamba kama nyoka)
Ww ni GT (Tamka Jiitii) sema hua unafanya umbwigilambwigila makusudically, Nakukubali.first i should put this clear. i dont need multiple IDs coz i can be anyone anywhere. it is just a matter of decision. ila nina MULTIPLE PERSONALITIES. These are two different things. na pia siku zote huwa nasema akili yangu sifanani na mtu mwingine yeyote. wengine wana akili nyiiiingi sana. mimi sina akili hata kidogo so ni makosa kunifananisha mimi na mtu mwingine coz akili yangu naijua mwenyewe tu.
huo uzi c ufungue wewe.Mzee,hapa ni catchment area yake...ukishashikwa hapa,sometimes anawaita kwenye trainings zake,huko ndio wanapewa maneno ya ndani kuhusu hiyo occult ya uongo uliotukuka ya hiyo trading platform yao...Nimekwambia,ufungua uzi andika "Nani Kapata Hasara Kwenye Forex Trading na Bwana Ontario" utapata majibu na DMs za kutosha,waulize watakuambia ujinga wote wanaoambiwa.
Na kibaya zaidi,bwana Ontario anawaongelea very smooth,na amejenga persona kwamba ni mtu very intelligent na very successful hivyo dump followers is all what they need to believe.
Ww ni GT (Tamka Jiitii) sema hua unafanya umbwigilambwigila makusudically, Nakukubali.