Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuja na multiple ID kukutukana kwasababu tu umepinga kwamba mtabiri wao hapo hajatabiri.
Much respect Gudume.
Mkuu naona kuna mtu alikutag pamoja na watu wengine ambao nimetumia ID zao kama mfano katika comment yangu hii ktk screenshot, ila hakuelewa kama mimi nilikua natoa mfano tu na si kwamba niliowataja ni kweli wana multiple ID. Nimetumia ID hizo maana zinafahamika ivyo ni rahisi kuZitumia kama mfano na si vinginevyo.first i should put this clear. i dont need multiple IDs coz i can be anyone anywhere. it is just a matter of decision. ila nina MULTIPLE PERSONALITIES. These are two different things. na pia siku zote huwa nasema akili yangu sifanani na mtu mwingine yeyote. wengine wana akili nyiiiingi sana. mimi sina akili hata kidogo so ni makosa kunifananisha mimi na mtu mwingine coz akili yangu naijua mwenyewe tu.
Hapa ndipo itakuwa vita ya fimbo na mawe?Teknolojia inapomfanya binadamu akose kazi ya kufanya(mass unemployment), tegemeo kubwa ni UASI MKUBWA WA BINADAMU DHIDI YA TEKNOLOJIA HIYO. Kwa asili mwanadamu anapenda teknolojia inayomrahisishia kufanya kazi sio kukosa kazi. So nadhani yatakua mapambano kati ya humananity dhidi ya teknolojia.
Multiple ID kama smart 911 na mahondaw [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mkuu naona kuna mtu alikutag pamoja na watu wengine ambao nimetumia ID zao kama mfano katika comment yangu hii ktk screenshot, ila hakuelewa kama mimi nilikua natoa mfano tu na si kwamba niliowataja ni kweli wana multiple ID. Nimetumia ID hizo maana zinafahamika ivyo ni rahisi kuZitumia kama mfano na si vinginevyo.
![]()
Elon Musk and Nikola Tesla. Ni kama Nikola Tesla and Nikola Tesla jr
Mambo ya tech sio [emoji23] [emoji23] [emoji23]Taratibuu mama !! Msamehe aisee nmeimagine ukinya boga unakuwaje nmecheka sana ila ndo future hyo tutakua tunakunya maboga!![emoji41]
Eeh Mkuu Mi ntakua na stationary ya kuprint sehem pendwa !!! " papuchi "Mambo ya tech sio [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] halafu unazifanyaje???!!Eeh Mkuu Mi ntakua na stationary ya kuprint sehem pendwa !!! " papuchi "
Ntakuwa nawauzia wakina lemutuz na wasiojua kutongoza[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] halafu unazifanyaje???!!
Kwa kweli technology imerahisisha na kuboresha ila tunapoelekea itatukera.
Nawaza tukianza kuprint nyumba ndani ya masaa 17 wale mafundi na saidia fundi wataenda wapi