Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Huo muwasho wako kwa mwanaume mwenzako si wa nchi hii ( kama kweli we ni mwanaume!)....

Ontario asipate challenges ye nani?

Unawatia aibu wanaume wenzako bwegee wewe, wenzako wanapinga -ve views kwa hoja, we unakurupuka ka mayala wa ambiance!...lione!
Itabidi itafutwe dildo ipakwe pilipili aingiziwe huko nyuma kwenye "Isidingo "yake ili awashwe vzr shwaini huyo
 
Mkuu nilikuwa nakusapoti ila nmegundua wewe ni muongo na ni smartest tapeli eti fridge isafiliashwe kama pesa kudadeq acha uongo kuiyo ikitumwa itapaa hewani au tutakuwa tunaenda kutoa fridges m-pesa?

Kwa waliosema kazi ya pesa ni kutransfer immovable property ni wajinga?

Acha kudanganya watu hata bold ana kusupport kwa kukuonea aibu mkuu
Busara ni pale unaposkia (akili za kuambiwa) na kwenda kufanya utafiti kujiridhisha ( changanya na zako).
Ndio mara ya kwanza naiskia teletransport, lakini nimeingia youtube nakujielimisha, atleast nimepata some knowledge.
 
Busara ni pale unaposkia (akili za kuambiwa) na kwenda kufanya utafiti kujiridhisha ( changanya na zako).
Ndio mara ya kwanza naiskia teletransport, lakini nimeingia youtube nakujielimisha, atleast nimepata some knowledge.
Embu waambie wakutumie TV hapo alfu uisubiri itakufuata kwako
 
Mpenzi kua mpole..
Huo muwasho wako kwa mwanaume mwenzako si wa nchi hii ( kama kweli we ni mwanaume!)....

Ontario asipate challenges ye nani?

Unawatia aibu wanaume wenzako bwegee wewe, wenzako wanapinga -ve views kwa hoja, we unakurupuka ka mayala wa ambiance!...lione!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....limwanaume gani hili linatia aibu wenzake chaaa!
Kuna jamaa alikua anampinga Jana Ontario kwenye hii thread Sasa hili shoga la upepo wa pesa limemfata kwenye thread yake aliyoandika anatafuta kazi Sasa ona lilichocomment[emoji23] [emoji23]
cda74b3ab60538a07af544832070e5ed.jpg

[emoji115] [emoji115]
 
Kuna jamaa alikua anampinga Jana Ontario kwenye hii thread Sasa hili shoga la upepo wa pesa limemfata kwenye thread yake aliyoandika anatafuta kazi Sasa ona lilichocomment[emoji23] [emoji23]
cda74b3ab60538a07af544832070e5ed.jpg

[emoji115] [emoji115]
Ebwana eeh!....hawa hawa ndo wanamuharibia asee

Mambo gani sasa hayo?
 
Anaandaa mazingira ya kuja kupiga pesa kupitia wajinga wa humu kama ilivyokua kwenye forex. Huyu jamaa ni mpigaji professional ambaye anakupiga huku ukimsujudu kwamba amekusaidia kukufungulia dunia.Anajua kula na watu wanaoweza kumletea Noma.kwa mfano hawa JF wanakula percentage jamaa anapokula vichwa humu Sasa ukila ban kisa umempiga usishangae[emoji23][emoji23]. Naona hadi mzee wa usalama muandishi mzuri jukwaa la intelligence kajiunganae ili kuboresha uandishi wa threads za upigaji kama hii. Wale wazungu bila Shaka watakua matapeli waSomi huko nchini kwao. Yeye anapiga pesa zenu za seminar anaingiza kwenye kilimo na ufugaji alafu nyie mnakaa kusubiri Ku download pesa[emoji23][emoji23][emoji23].Walisikia forex unadownoad pesa wakashoboka Sasa anajiandaa kuja na Bitcoin 3D ili muwe mnaziprint wenyewe majumbani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
duuh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi huwa nabaki mdomo wazi, kama wamrekani wanaweza kutengeneza aetificila meat na sasa huna haja ya kuchinja mbuzi .unanunua nyama supermaket iliyotengenezwa maabara.
Vipi kuusu makampumi ya mafuta kama oil com na total imagine pesa watayopoteza.
But all in all i still have faith kwamba artificial human hataweza kuwa kama natural human.
 
Mimi huwa nabaki mdomo wazi, kama wamrekani wanaweza kutengeneza aetificila meat na sasa huna haja ya kuchinja mbuzi .unanunua nyama supermaket iliyotengenezwa maabara.
Na ww hiyo nyama unakula?
 
Ebwana eeh!....hawa hawa ndo wanamuharibia asee

Mambo gani sasa hayo?
Kuna watu wana multiple ID humu na kila ID inakuwa na personality tofauti na inakua vigumu kutambua.mfano Unaweza ukakuta Beira baby boy ndio Mshana Jr. Au The bold ndio miss natafuta au shunie na Gudume ndio padri mcharo kitu ambacho ni vigumu kutambua hadi uwe mfatiliaji mzuri. Hata mimi japo sina uhakika ila napata mashaka juu hizi ID mbili Ontario na upepo wa pesa maana kila thread ya Ontario ikipost hoja na challenges zinakuja kujibiwa na upepo wa pesa wakati hiyo ya Ontario inaonekana Mara chache Sana kwenye comments [emoji23] [emoji23]
 
Viongozi wote wa kiafrica ni wazee wenye fikra za miaka 1600 iliyopita halafu unataka mfike?

Maji safi ndani ya jiji la Dar ambalo limezungukwa na bahari ila maji tu ni kimbembe...

Hadi sasa hivi viongozi wetu wanapambana na ufisadi na kuteuwa na kutengua unafikiri kuna wakati watapata mda na kukaa chini na vijana wenye vipaji na kuona ni jinsi gani ya kuviendeleza?

Kule Zanzibar tumeambia leo kuna vijana wameunda ndege ila ukijaribu kufuatilia mwisho wake unaweza kulia..

Kule yule ndugu yetu wa mbeya aliyeunda helcopta mnajua alipo na anafanya kitu gani serikali au kuna makampuni ya ndani yamemsaidia kifedha kukamilisha project yake?

Huyu Musk ni mzaliwa wa Africa Kusini mkaburu alizamia canada ili apate urahisi wa kuzamia Marekani, ss hivi huyo anafanya maajabu...

Africa kinacho wamaliza ni siasa kitu wanaingiza siasa, mtu anasoma masomo ya niclear mwisho anakuja kuchukua form ya kugombea urais au ubunge

Mambo mengine kuyawaza yanatia sana hasira...
We jamaa bana umenifurahisha sana.
 
Ahsante kwa maarifa nimesoma vitu vingi sana, kupitia muhtasari wako..


Za kusoma, za kuambiwa nitachanganya na zangu
 
Sijui kama nipo sahihi kama nikitafsiri directly kama 'Akili ya kutengeneza', ni akili iliyounganishwa katika mashine ili kuweza kumsaidia binadamu baadhi ya shughuli, akili hii inaweza kufanya reasoning, problem solving, kujifunza nk.

Artificial Intelligence (AI)

Hili ni moja kati ya masuala ambayo huwa yananifanya niwaze sana kuhusu future hasa ukizingatia kiu ya muda mrefu ya wanasayansi kudevelop "superintelligence" na wengi wanaamini kwamba maendeleo ya AI yanaweza kutufikisha kwenye 'superintelligence'. Mfano mzuri ni programu ya Fritz ambayo umeitolea mfano hapa kwenye uzi.

Itakuwaje kama maendeleo ya AI yakitufikisha huko, kuwa na superintelligemce (system au program yenye akili zaidi kuzidi binadamu mwenye akili kuzidi wote)? Inaweza kuwa ni gunduzi muhimu zaidi kuwahi kutokea kwenye historia lakini pia inaweza kuwa ni gunduzi hatari zaidi kuwahi kutokea kama itatumila vibaya.


Hapa chini nimejaribu kutoa mfano mdogo wa namna ambavyo AI inakuwa kwa kasi mno. Nimekuwa nafuatilia hiki kitu kwa miezi kadhaa sasa.


Sophia: Humanoid Robot

Binafsi nadhani hii ni moja kati ya sekta ambayo inakua kwa kasi mno na muda mwingine ukitazama hatua za kisekta zibazopigwa unaweza kuogopa.

Uwezo wa robots ku-utilize Artificial Intelligence umekuwa mkubwa kiasi kwamba ndani ya miaka 10 au ishirini ijayo kwa hakika tunaweza kuwa na robits ambazo ziko developed kwa kiwango ambacho kinaweza kufanana kabisa na akili ya mwanadamu au pungufu kiduchu tu.

Mfano mzuri ni Robot anayejulikana kwa jina la "Sophia" ambaye ametengenezwa na kampuni ya Hanson Robotics.

Sophia ni aina ya Robots ambao ni 'Humanoid', kwa maana ya kuwa na mfanano mkubwa na muenekano wa binadamu.
Katika kumuunda Sophia, kampuni ya Hanson Robotics wametumia aina maalumu ya sponji ambayo wanaiita Frubber (flesh rubber) ambayo inafanana kabisa na muonekano wa ngozi ya binadamu. Na si kufanana muonekano tu bali pia, hisia na elasticity ni sawa kabisa na ngozi ya binadamu.
Aina hii maalumu ya material wanayotumia imewawezesha kumfanya Sophia kuweza kuwa na 'facial expressions' kama vile kutabasamu, kukunja uso kwa hasira, kushangaa na kadhalika.

Sophia ameundwa katika namna kadhaa adhimu za kiteknolojia…

Kwa mfano, katika macho yake amewekewa Kamera maalumu ambazo zinafanya kazi pamoja na algorithms ambazo zinamuwezesha kuona, kukumbuka kile ambacho amewahi kukiona, kufuatilia uso wa mtu ambaye anaongea naye na kufanya eye contact.

Sophia pia ameundwa na teknolojia yenye kufanana kwa kiasi fulani na 'Alphabet Google Chrome Voice Recognition Technology' lakini iliyo developed zaidi.
Teknolojia hii pamoja na uwezo wa AI ambao uko installed ndani ya Sophia unamfanya awe na uwezo wa kutambua kile ambacho mtu anazungumza na kisha kujibu kwa ufasaha kabisa kile ambacho anaulizwa au kinachohusu mazungumzo hayo.

Huu ni moja ya mifano michache sana kudhihirisha namna gani ambavyo AI inakua kwa kasi na katika kiwango cha kutisha.
Miaka kadhaa ijayo Robots kama Sophia wanaweza kufanya kazi ambazo leo hii zinafanya na binadamu kama vile kazi zihusuzo Huduma kwa wateja (customer services), therapy na hata katika sekta ya elimu.

Kuna makampuni mengi ambayo yanashindana kwa kasi ya ajabu kuleta aina ya robots au teknolojia ambazo zinarandana kabisa na uwezo wa kufikiri wa binadamu.

Kwa mfano licha ya umahiri wa Robot Sophia bado kampuni ya Hanson Robotics wanakuna vichwa kwenye labs zao ili kumfanya Sophia kuwa 'intelligent' zaidi kwa maana ya kumfanya awe mwepesi, kuongeza kasi yake ya kuform logic na kuwa na accuracy ya hali ya juu ya maswali anayoulizwa na kutoa majibu lakini pia kumuongezea facial expressions na body languages.

Nchi ya Saudi Arabia imeridhishwa na umahiri huu wa Hanson Robotics na wameamua kumpatia Sophia Uraia wa nchi ya Saudi Arabia.
Lakimi pia umoja wa Mataifa wamempatia Sophia tuzo maalumu (kwa mara ya kwanza) ya UNDP Inovation Champion.


Kesho inakuja kwa haraka mno na muda mwingine inaogofya… na kadiri ambavyo tutajiandaa ndivyo ambavyo tunajijengea ufanisi wa kukabiliana nayo na kunufaika nayo.

(Unaweza tazama hapa chini mahojiano mubashara ya Sophia na mwandishi Andrew Ross Sorkins wa CNBC ya Marekani)





The Bold
To Infinity and Beyond
 
Thread inaitwa "Ontario's mere prediction about the future".But ukitafakari vizuri humo ndani hakuna ulichopredict zaidi ya kucheza na akili za watu.
Ulichoandika sio utabiri bali umeanza kwa kutuelezea ulivyosoma kuhusu ukuwaji wa technology na athari zake (-v) Katika upande wa ajira kabla haujaingia katika Aya ya mwisho ambayo ndio lengo kuu la hii thread.

Ninani aliyefika hadi kidato cha nne ambaye hajui kwamba moja kati ya athari za ukuaji wa technology ni Pamoja na kupungua kwa ajira?kama hakuna na hayo uliyoyasema hayatoki kichwani kwako bali kwenye vitabu ulivyosoma kama ambavyo umeeleza Sasa hapo utasema umetabiri nini?.

Kila ukuwaji wa tecnolojia uliyoizungumzia umeuzungumzia katika Hali ya hasara tu hasa katika upande wa ajira yaani hakuna hata sehemu moja uliyoonesha kwamba kuna faida fulani itakayopatikana Lakini ulipofika kwenye Bitcoin umeiongelea kwenye upande positive tu tofauti na technology nyingine.Umeielezea faida tu ikiwemo kupanda kwa thamani na wewe mwenyewe ukaanza kwa kutoa ushuhuda kwamba Bitcoin ipo vizuri sana.

Hapo ndio nagundua zile za juu zote zilikua ni bla bla tu lakini target yako kuu ilikua kuintroduce issue ya BITCOIN kama ilivyokuwa kwenye FOREX.Umeieweka Bitcoin mwishoni ili muendelezo Uwe thread ya Bitcoin.

"Mwakajana tuliwafundiaha jinsi ya Ku download money kupitia FOREX na hatimaye mwaka huu kutokana na ukuaji wa technology tunategemea kuwafundisha kuprint wenyewe majumbani kupitia BITCOIN .Jiandaeni na pesa za Seminar, Undeni ma group ya watsap Mikoani kwenu mkitimia watu 100 wenye Ada mkononi mtuite tutakuja".

Jamaa mmoja kanifurahisha Sana kasema eti " Unaweza ukafurahia kuletewa fursa kumbe wewe ndio fursa ya aliyekuletea".
 
Back
Top Bottom