Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, mtoa uzi labda hajui kuwa kupost hivyo ni hulka ha Mo Salah kila mwaka kipindi kama hiki... Huwa hajali hizo comments za waislamu radicals. Nadhani anataka kufikisha ujumbe kuwa 'hapangiwi'.Anajali basi... ashawazoea miaka yote huwa ana post wanamseeema lkn haachi. Mbwa ukimjua jina hakusumbui.
Sisi tumepokea wishes zake maana ndo zinatuhusu na sisi tunamuombea Kristo azaliwe ndani yake. Sema amina
Mo hajielewi. Inabid akafundwe SaudiaJamaa ame_tweet hii picha sasa hizo comments kutoka kwa jamii ya kiislam wamegoma kumuelewa jamaa wakidhani anataka kuokoka!.
View attachment 2457499
Mo atatengwa soonwanamlipia Kodi!