Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Jamaa ame_tweet hii picha sasa hizo comments kutoka kwa jamii ya kiislam wamegoma kumuelewa jamaa wakidhani anataka kuokoka!.

Screenshot_2022_1225_105519.jpg
 
Anajali basi... ashawazoea miaka yote huwa ana post wanamseeema lkn haachi. Mbwa ukimjua jina hakusumbui.

Sisi tumepokea wishes zake maana ndo zinatuhusu na sisi tunamuombea Kristo azaliwe ndani yake. Sema amina
Yeah, mtoa uzi labda hajui kuwa kupost hivyo ni hulka ha Mo Salah kila mwaka kipindi kama hiki... Huwa hajali hizo comments za waislamu radicals. Nadhani anataka kufikisha ujumbe kuwa 'hapangiwi'.
 
Mshambuliaji hatari wa Liverpool Mo Salah amejikuta akipata Comments za kuitwa Msaliti na mtu asiyejua miiko ya Dini ya Kiislamu baada ya kutuma Picha kwenye Mtandao wa kijamii kuwatakia Wafuasi wao heri ya siku tukufu ya Krismasi ambapo wengi wameonekana kutokufurahia kitendo cha Salah kuweka picha hiyo wakati Salah ni Muislaamu. N:B Tusiwe mateka wa Dini ndugu zangu.
 

Attachments

  • 20221225_112955.jpg
    20221225_112955.jpg
    183.5 KB · Views: 15
Back
Top Bottom