Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

Wacoptic walipopata shida ya kulipuliwa jengo lao la kuabudia alitoa msaada kuwasaidia. Huyu ndiye super star wa wote, sio kama wengine huonesha mafanikio yao kwa dini yao tu kana kwamba mashabiki wao ni wa dini yao tu
 
Commune ya Stavanger Norway ilishangaa sana. Ilijitolea kuwanunulia jengo Waislamu. Sheikh wa hapo eti akataa. Sheikh ni asili ya Ghana lakini ana uraia wa Norway.

Eti alikataa hawakubali michango ba pesa za mashoga na walevi. Hadi Waislamu wengine walimmaindi.

Kinachohuzunisha huto Sheikh anapokea hela za serikali social watoto wake wote na wajukuu wanasoma norway bure. Nyumba anayoishi ni social wanamjengea.

Angekataa na Uraia na arudi Ghana.
 
Ndugu zangu hivi hawa jamaa huwa zipo vizuri kweli vichwani mwao?

Baada ya mchezaji wa timu ya Taifa ya Misri na Liverpool ya wingereza Mohammed Salha kuposti picha katika mtandao wa instagram.

Akisherekea sikuku ya Christmas yeye pamoja na familia yake, ajabu hawa ndugu zetu wamemshambulia kana kwamba amefanya kosa kubwa kwa mujibu wa dini yao.

Ndugu zetu nyie waislamu nyie jamaa mna roho mbaya, hivi nyie ni pepo ya wapi mtaiona? 😳😳😳

1934EA68-35C6-42E0-9055-6FB11EEB1464.jpeg


5A1DD9C6-68AA-480D-9B03-294B189C583E.jpeg


562098DE-46B2-42E8-B152-971D31675B58.jpeg


2378C3D8-6E4A-47E0-AAD8-D7576A22693E.jpeg
 
Kwanza polen Sana kwa kuteseka na Uislamu, hakika Uislamu ni Vita kuu ya tatu ya dunia.

Je msingi wa kupinga kushiriki siku hii ni upi?

Ni itikadi kuwa Leo amezaliwa Mungu,tatizo liko hapo Lau ingekuwa Leo kazaliwa Nabii Yesu kusingekuwa na shida,kwasababu Yesu kwetu ni Mtume wa Allah na tunampenda Sana kwasababu itikadi ya kiislamu ni kumuamini Mungu Mmoja,kuamini Malaika wake,kuamini Vitabu vyake na kuamini Mitume wake akiwepo Yesu.

Nadhani mpaka hapo mmepata picha nazungumzia nini hapa.

Sasa baadhi ya waislamu huenda wanasahau juu ya Imani Yao na mafundisho Yao au huenda wanafanya ili kuwafurahisha watu fulani,lakini hatakiwi kuogopwa kiumbe chochote au kufurahishwa kiumbe chochote linapo kuja swala la Imani isipokuwa Mola WA Viumbe wote.

Kwahiyo naomba tuelewe hili,na tuvumiliane , mtuache na itikadi yetu na nyinyi sheherekeeni kuzaliwa kwa Yesu mwokozi wenu.

Kukua ni kukubaliana kutokukubaliana,Maisha ni rahisi Sana kama ukiwa open minded

Msiteseke hata kidogo.

Nawapenda Sana.
Mkuu Salah ni kafiri sio muislam yule
 
Ndugu zangu hivi hawa jamaa huwa zipo vizuri kweli vichwani mwao?

Baada ya mchezaji wa timu ya Taifa ya Misri na Liverpool ya wingereza Mohammed Salha kuposti picha katika mtandao wa instagram.

Akisherekea sikuku ya Christmas yeye pamoja na familia yake, ajabu hawa ndugu zetu wamemshambulia kana kwamba amefanya kosa kubwa kwa mujibu wa dini yao.

Ndugu zetu nyie waislamu nyie jamaa mna roho mbaya, hivi nyie ni pepo ya wapi mtaiona? [emoji15][emoji15][emoji15]

View attachment 2457743

View attachment 2457739

View attachment 2457740

View attachment 2457742
𝐖𝐡𝐚𝐭 𝐢𝐬 𝐂𝐡𝐫𝐢𝐬𝐭𝐦𝐚𝐬?

It is the day in which they celebrate the birth of the “son” of Allah سبحانه وتعالى, authu billa!

Saying merry Christmas is a statement of kuffur!

• it goes against the shahada
• it goes against tawheed
• it goes against the Quran
• it goes against all the prophets of Allah سبحانه وتعالى

𝐈𝐛𝐧 𝐀𝐥-𝐐𝐚𝐲𝐲𝐢𝐦 رحمه الله 𝐬𝐚𝐢𝐝:

"Congratulating the kuffaar on the rituals that belong only to them is haraam by consensus, as is congratulating them on their festivals and fasts by saying ‘A happy festival to you’ or ‘May you enjoy your festival,’ and so on. If the one who says this has been saved from kufr, it is still forbidden. It is like congratulating someone for prostrating to the cross, or even worse than that.

It is as great a sin as congratulating someone for drinking wine, or murdering someone, or having illicit sexual relations, and so on. Many of those who have no respect for their religion fall into this error; they do not realize the offensiveness of their actions. Whoever congratulates a person for his disobedience or bid’ah or kufr exposes himself to the wrath and anger of Allaah."

[ 𝐀𝐡𝐤𝐚𝐦 𝐀𝐡𝐥𝐚𝐥 𝐃𝐢𝐦𝐦𝐚𝐡 ]

Do not leave Islam to please others!
 
𝐖𝐡𝐚𝐭 𝐢𝐬 𝐂𝐡𝐫𝐢𝐬𝐭𝐦𝐚𝐬?

It is the day in which they celebrate the birth of the “son” of Allah سبحانه وتعالى, authu billa!

Saying merry Christmas is a statement of kuffur!

• it goes against the shahada
• it goes against tawheed
• it goes against the Quran
• it goes against all the prophets of Allah سبحانه وتعالى

𝐈𝐛𝐧 𝐀𝐥-𝐐𝐚𝐲𝐲𝐢𝐦 رحمه الله 𝐬𝐚𝐢𝐝:

"Congratulating the kuffaar on the rituals that belong only to them is haraam by consensus, as is congratulating them on their festivals and fasts by saying ‘A happy festival to you’ or ‘May you enjoy your festival,’ and so on. If the one who says this has been saved from kufr, it is still forbidden. It is like congratulating someone for prostrating to the cross, or even worse than that.

It is as great a sin as congratulating someone for drinking wine, or murdering someone, or having illicit sexual relations, and so on. Many of those who have no respect for their religion fall into this error; they do not realize the offensiveness of their actions. Whoever congratulates a person for his disobedience or bid’ah or kufr exposes himself to the wrath and anger of Allaah."

[ 𝐀𝐡𝐤𝐚𝐦 𝐀𝐡𝐥𝐚𝐥 𝐃𝐢𝐦𝐦𝐚𝐡 ]

Do not leave Islam to please others!
Mkwendree hao wenye dini yao hawana tatizo nyie mliyoletewa mnashupaza mnajifanya kushupaza shingo.
 
Ndugu zangu hivi hawa jamaa huwa zipo vizuri kweli vichwani mwao?

Baada ya mchezaji wa timu ya Taifa ya Misri na Liverpool ya wingereza Mohammed Salha kuposti picha katika mtandao wa instagram.

Akisherekea sikuku ya Christmas yeye pamoja na familia yake, ajabu hawa ndugu zetu wamemshambulia kana kwamba amefanya kosa kubwa kwa mujibu wa dini yao.

Ndugu zetu nyie waislamu nyie jamaa mna roho mbaya, hivi nyie ni pepo ya wapi mtaiona? [emoji15][emoji15][emoji15]

View attachment 2457743

View attachment 2457739

View attachment 2457740

View attachment 2457742
Muislamu yoyote anae sherekea hiyo siku jua tu ajitambui na ni jahilliya asie jua misingi ya Dini yake.
 
Back
Top Bottom