Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumechoshwa na post za Uchochezi wa DINI!Ndugu zangu hivi hawa jamaa huwa zipo vizuri kweli vichwani mwao?
Baada ya mchezaji wa timu ya Taifa ya Misri na Liverpool ya wingereza Mohammed Salha kuposti picha katika mtandao wa instagram.
Akisherekea sikuku ya Christmas yeye pamoja na familia yake, ajabu hawa ndugu zetu wamemshambulia kana kwamba amefanya kosa kubwa kwa mujibu wa dini yao.
Ndugu zetu nyie waislamu nyie jamaa mna roho mbaya, hivi nyie ni pepo ya wapi mtaiona? 😳😳😳
View attachment 2457743
View attachment 2457739
View attachment 2457740
View attachment 2457742
Zikiwa zina kosoa dini fulani zinalindwa na mods ila zikiwa zinakosoa dini yao zina futwa mara moja, ebu tuone hu kama utafutwa.....Tumechoshwa na post za Uchochezi wa DINI!
Kama umekosa cha kupost si uache tu!
Moja ya Sababu uisilamu upo vile vile haujabadilishwa mpaka leo ni hio, Jamaa yupo wrong na waisilamu wengine wana haki ya kumuambia kama amekoseaNdugu zangu hivi hawa jamaa huwa zipo vizuri kweli vichwani mwao?
Baada ya mchezaji wa timu ya Taifa ya Misri na Liverpool ya wingereza Mohammed Salha kuposti picha katika mtandao wa instagram.
Akisherekea sikuku ya Christmas yeye pamoja na familia yake, ajabu hawa ndugu zetu wamemshambulia kana kwamba amefanya kosa kubwa kwa mujibu wa dini yao.
Ndugu zetu nyie waislamu nyie jamaa mna roho mbaya, hivi nyie ni pepo ya wapi mtaiona? 😳😳😳
View attachment 2457743
View attachment 2457739
View attachment 2457740
View attachment 2457742
Hata wao dini walipelekewa kama ss tulivyo letewa sema tofauti kati ya sisi na wao ni wao wametangulia.Mkwendree hao wenye dini yao hawana tatizo nyie mliyoletewa mnashupaza mnajifanya kushupaza shingo.
Football kama mpira kwenye Dini haina tatizo, matatizo yanakuja hayo makando kando yake.Kwani hawajui hata hiyo football yenyewe ni masonic?
Hapana uislamu ulianzia abbysinia Africa kupindi cha mtume mwenyewe hata kabla ya Egypt Syria Iraq nk.Hata wao dini walipelekewa kama ss tulivyo letewa sema tofauti kati ya sisi na wao ni wao wametangulia.
Hao waislam unao taka wakupende na kukuheshimu je ww unawapenda na kuwaheshimu?Nimependa ujumbe kwenye picha ya Mo Salah and family, nimetamani tungekuwa tunaishi hivi na waislamu wote. Inapendeza.View attachment 2457758
Tayari amesha wakashifu na hapendi waislamu.Hao waislam unao taka wakupende na kukuheshimu je ww unawapenda na kuwaheshimu?
Unamkumbusha Nani wakati dini inaletwa mlikuwa mnavaa majani.......wewe sema kama babu Yako alikuwa anajifunga Jani lipi la mpera au mgomba watu wajueChristmass asili yake ni sikukuu ya kipagani, haimo kwenye bible na wala Yesu hajawahi kuisherehekea.
Mashabiki wako sahihi kumrudisha katika njia sahihi.
Kwenye uislamu ukipotea njia unakumbushwa, na hapo Mo Salaa anakumbushwa!
Nimesha kwambia uislamu ilikuja ukakuta waarabu wana dini zao za kuabudu masanamu ina maana hata wao huo uislamu waliupokea kama sisi tulivyo upokea ,masuala ya kusema sijui waarabu ndo wenye uislam ni ufinyu wa akili na ni hoja zinazo kuzwa na wapumbavu.Hapana uislamu ulianzia abbysinia Africa kupindi cha mtume mwenyewe hata kabla ya Egypt Syria Iraq nk.
Nimesha kwambia uislamu ilikuja ukakuta waarabu wana dini zao za kuabudu masanamu ina maana hata wao huo uislamu waliupokea kama sisi tulivyo upokea ,masuala ya kusema sijui waarabu ndo wenye uislam ni ufinyu wa akili na ni hoja zinazo kuzwa na wapumbavu.
Na unacho takiwa kujua ni kuwa waarabu ni asilimia 20 tu ya waislam ulimwenguni.
Punguza makasiriko bwasheeNdugu zangu hivi hawa jamaa huwa zipo vizuri kweli vichwani mwao?
Baada ya mchezaji wa timu ya Taifa ya Misri na Liverpool ya wingereza Mohammed Salha kuposti picha katika mtandao wa instagram.
Akisherekea sikuku ya Christmas yeye pamoja na familia yake, ajabu hawa ndugu zetu wamemshambulia kana kwamba amefanya kosa kubwa kwa mujibu wa dini yao.
Ndugu zetu nyie waislamu nyie jamaa mna roho mbaya, hivi nyie ni pepo ya wapi mtaiona? 😳😳😳
View attachment 2457743
View attachment 2457739
View attachment 2457740
View attachment 2457742
Kama Wakristo wangekuwa na roho mbaya na ya kisasi kama waislamu, dunia ingekuwa imejaa mchafuko kila mahali. Sijui hawa wanaitarajia pepo ya nani maana wanayofanya na kuyaamini hayana punje ya upendo anaoutaka Mungu kati yetu.Ndugu zangu hivi hawa jamaa huwa zipo vizuri kweli vichwani mwao?
Baada ya mchezaji wa timu ya Taifa ya Misri na Liverpool ya wingereza Mohammed Salha kuposti picha katika mtandao wa instagram.
Akisherekea sikuku ya Christmas yeye pamoja na familia yake, ajabu hawa ndugu zetu wamemshambulia kana kwamba amefanya kosa kubwa kwa mujibu wa dini yao.
Ndugu zetu nyie waislamu nyie jamaa mna roho mbaya, hivi nyie ni pepo ya wapi mtaiona? [emoji15][emoji15][emoji15]
View attachment 2457743
View attachment 2457739
View attachment 2457740
View attachment 2457742