Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

Kama Wakristo wangekuwa na roho mbaya na ya kisasi kama waislamu, dunia ingekuwa imejaa mchafuko kila mahali. Sijui hawa wanaitarajia pepo ya nani maana wanayofanya na kuyaamini hayana punje ya upendo anaoutaka Mungu kati yetu.

Anyway, Waislamu wao kwa wao hawapendani, wanachinjana kila siku (Angalia mifano Mashariki ya kati). Vurugu na chuki ndio mafundisho yao. Hivyo tusitarajie watawapenda wasio waislamu!
Kutosherehekea sikukuu zako za kipagani ndiyo chuki!? Utataka Nile mpaka nguruwe ili nikuoneshe upendo, huko Ireland wamepigana na kuchinjana Sana kisa dini, ndiyo mafundisho ya ukiristo!?..ndiyo upendo huo!?..Hispania wamelipuana Sana mabomu, Botswana watu wameuawa Sana na wakoloni
 
Uislam upo tangu Adam,huko Abyssinia ndiyo wapi!?
Pole. Ndio maana hamjielewi maana hata historia ya imani yenu hamuijui kwa hiyo mmekariri kila kitu bla kuhoji. Kwa taarifa yako Uislamu umeanza karne ya 15 baada ya Kristo.
 
Hilo liko wazi, katika uislamu sikukuu zote ni katika ibada nazo ni iddi kubwa na ndogo basi na hizi sherehe za wasio waislamu ni ibada pia kwao, sasa muislamu tena unaitwa muhammad ibada za watu zinakuhusu nini? lazima wamsute maana ni kweli haimuhusu.

Kwenye hili hatuna mambo ya kijamii mkuu, mkila nyie inatosheleza kisha maisha yaendelee.
 
Pole. Ndio maana hamjielewi maana hata historia ya imani yenu hamuijui kwa hiyo mmekariri kila kitu bla kuhoji. Kwa taarifa yako Uislamu umeanza karne ya 15 baada ya Kristo.
Hahahaaa ati Karne ya 15 baada ya kristo!!..itakua shuleni walinidanganya,Kama unamaanisha utume wa Muhammad ni kazaliwa 570AD kafariki 633AD,Karne Moja Ina miaka mia,Karne 15 itakua ni miaka 1500 baadae,unamaanisha mtume alikuwepo mwaka 1500 wakati wareno wanachukua watumwa Congo na wakaja mpaka kilwa!?
 
Pole. Ndio maana hamjielewi maana hata historia ya imani yenu hamuijui kwa hiyo mmekariri kila kitu bla kuhoji. Kwa taarifa yako Uislamu umeanza karne ya 15 baada ya Kristo.
Na wewe anaeongea ulizaliwa ukiwa muislamu umekuja kubadilishwa dini na wazazi wako au upuuzi wako mwenyewe ukuwa mkubwa, intabidi urudi katika dini ya asiri yako Islam
 
Nimesha kwambia uislamu ilikuja ukakuta waarabu wana dini zao za kuabudu masanamu ina maana hata wao huo uislamu waliupokea kama sisi tulivyo upokea ,masuala ya kusema sijui waarabu ndo wenye uislam ni ufinyu wa akili na ni hoja zinazo kuzwa na wapumbavu.

Na unacho takiwa kujua ni kuwa waarabu ni asilimia 20 tu ya waislam ulimwenguni.
Vipi kuhusu wahindi na miungu yao?
 
Kama Wakristo wangekuwa na roho mbaya na ya kisasi kama waislamu, dunia ingekuwa imejaa mchafuko kila mahali. Sijui hawa wanaitarajia pepo ya nani maana wanayofanya na kuyaamini hayana punje ya upendo anaoutaka Mungu kati yetu.

Anyway, Waislamu wao kwa wao hawapendani, wanachinjana kila siku (Angalia mifano Mashariki ya kati). Vurugu na chuki ndio mafundisho yao. Hivyo tusitarajie watawapenda wasio waislamu!
Ukraine na Urusi ambao sasa hivi wapo wana uawa kama kuku na ni waislam?

Rwanda walipo uana napo ni waislam?

Hapo DRC ambao sasa wanauwana nao ni waislam?

Unataka waislam wakupende hali ya kuwa ww unawachukia?
 
Ukraine na Urusi ambao sasa hivi wapo wana uawa kama kuku na ni waislam?

Rwanda walipo uana napo ni waislam?

Hapo DRC ambao sasa wanauwana nao ni waislam?

Unataka waislam wakupende hali ya kuwa ww unawachukia?
Rudi shule.
 
Hawa jamaa akili zao wanazijua wenyewe aisee, Kama leo nimejinunulia kakuku ka Christmas na familia yangu wakati atoka kuchinja tu kuna kenge mmoja ananiambia eti nachinjaje kuku wakati mi si Muislam, aisee Kidogo nimtie mbata yaani kuku wangu, nyumbani kwangu, afu unaniambia utumbo?
 
Back
Top Bottom