hakuna watu wenye kejeli kama waislam,halafu ni wepesi mno kushitaki.Mngekuwa mna wapenda msinge kuwa mnashinda humu mnawakejeri.
Saudi Arabia nao wanafuata mfumo kristo kwa sababu wanatumia kalenda hii hii tunayotumia (Gregorian Calender) ambayo ilitengenezwa na Wakristo wakatoliki chini ya uongozi wa Papa Gregory XIIIHilo liko wazi Waislam wasiofuata mfumo kristo labda wanaoishi Saudi Arabia
Waislam wenye matatizo ni hawa pangu kakavu ambao huwa nasema ndiyo chakula cha wenye uwezo na uelewa wa dunia.hakuna watu wenye kejeli kama waislam,halafu ni wepesi mno kushitaki.
wewe umeshashuhudia wakristo wangapi wamemuweka mezani muhamad wanambomoa,kama ambavyo wenzenu hukaa wakimsakama Yesu??
Hahahaha daah nimecheka hadi basiHawa jamaa akili zao wanazijua wenyewe aisee, Kama leo nimejinunulia kakuku ka Christmas na familia yangu wakati atoka kuchinja tu kuna kenge mmoja ananiambia eti nachinjaje kuku wakati mi si Muislam, aisee Kidogo nimtie mbata yaani kuku wangu, nyumbani kwangu, afu unaniambia utumbo?
Uisilamu haujakataza kuvaa viatu hata wakati wa Ibada mtume amevaa viatu wakati wa ibadahaubadiliki achana na story hizo.
tokea enzi za punda mpaka leo unadhani vingapi vebadilika??imeandikwa wapi mtumie speaker za umeme kuitia watu msikitini???
miaka 50 ijayo utaingia msikitini na viatu sababu ni visafi,sio kwa sababu umeagizwa uvue muda wote.
Waisilamu wanamsakama Yesu? Lete ushahidi. Kwenye Nguzo za imani ili uwe muisilamu ni lazima uamini mitume ya Mungu, Kumuamini Yesu ni part ya Uisilamu,hakuna watu wenye kejeli kama waislam,halafu ni wepesi mno kushitaki.
wewe umeshashuhudia wakristo wangapi wamemuweka mezani muhamad wanambomoa,kama ambavyo wenzenu hukaa wakimsakama Yesu??
Priority, sisi waisilamu sio priority yetu kushabikia mwaka Mpya, ingekuwa dini yetu inahitaji hilo tungeshangilia, ila sababu haihitaji basi inakuwa priority ndogo kwetu.Waislam wenye matatizo ni hawa pangu kakavu ambao huwa nasema ndiyo chakula cha wenye uwezo na uelewa wa dunia.
Mfano all human being wanasubiri tarehe 31.12.2022 kushangilia kuingia kwa mwaka 2023, hapo ni hakuna sijui nani wala nani l, wakati mwaka wa kiislam 1700 hauwezi kuwa na shangwe kama huu kwa kigregori.
So sometimes kuna haja baadhi ya binadamu wanaoaswa kuelimika kila mtu binafsi badala ya kutumia maguvu kumwambia "oya unafanya dhambi"
Ushahidi gani unao?Saudi Arabia nao wanafuata mfumo kristo kwa sababu wanatumia kalenda hii hii tunayotumia (Gregorian Calender) ambayo ilitengenezwa na Wakristo wakatoliki chini ya uongozi wa Papa Gregory XIII
Nyie mnaojifanya wajanja kwisha habari yenuIla kusema Isa bin Mariam ni Yesu unakuwa hujakufuru!!!
Nyie Waislam ni wapumbavu sana... Mna ujinga mwingi mno akilini mwenu.
Si nyie ndio huwa mnakazana na kushangilia kwelikweli kusema Isa ndio Yesu?
Huyo Yesu anayepatikana kwenye Bible ni Mwana wa Mungu... sasa nyie kila siku mnakazana kumfananisha Isa wenu na Yesu mwana wa Mungu... ila Mo Salah akisherehekea sherehe ya huyo Yesu Mnawaka Moto.
Akili Zenu zina upumbavu mwingi sana...kwa kifupi nyie ni Wapumbavu
Mkuu mnalipwa kiasi gani kuandika ujinga Ahsubui yote hii 04: 00 AM ?Nyie mnaojifanya wajanja kwisha habari yenu
1. Ushoga umekuwa part ya kanisa mpaka Papa anaupeta peta
2. Tamaduni za kishirikina na kipagani zimeingizwa kwenye dini yenu mpaka viongizi wenu wanakiri
3. Mmeacha kabisa kufuata mafundisho ya Biblia mnafuata nafsi zenu, jiulize mwenyewe toka umeamka hadi umelala umefuata mafundisho gani ya Biblia
Kwenye hayo matatu nilioandika lipi ni ujinga?Mkuu mnalipwa kiasi gani kuandika ujinga Ahsubui yote hii 04: 00 AM ?
Dhambi ni dhambi tu no ndogo wala kubwa!.Priority, sisi waisilamu sio priority yetu kushabikia mwaka Mpya, ingekuwa dini yetu inahitaji hilo tungeshangilia, ila sababu haihitaji basi inakuwa priority ndogo kwetu.
Sikukuu zetu ni mbili tu za Eid.
kama unashahadia Mungu mmoja na mitume wake issa akiwepo,kinakuwasha nini watu na Yesu wao???maana Yesu kwa sifa ni tofauti kabisa na Issa.Waisilamu wanamsakama Yesu? Lete ushahidi. Kwenye Nguzo za imani ili uwe muisilamu ni lazima uamini mitume ya Mungu, Kumuamini Yesu ni part ya Uisilamu,
hata ukitafiti,nyuzi nyingi na makala mitandaoni ni za waislam kukashifu ukristo,tena mbaya zaidi sio dini nyingine.Ila nyie ndio kila siku mnakesha ku slander dini za Wenzenu. Nyuzi mpya kila siku humu.
Kwani mkuu alieanzisha huu uzi ni nani? Anaeshambuliwa kwenye huu uzi ni nani? Mjadala ni Baina ya Mo na Waisilamu wenzake nani kawashwa? Si nyie ndio mumeingilia mijadala isiowahusu?kama unashahadia Mungu mmoja na mitume wake issa akiwepo,kinakuwasha nini watu na Yesu wao???maana Yesu kwa sifa ni tofauti kabisa na Issa.
hata ukitafiti,nyuzi nyingi na makala mitandaoni ni za waislam kukashifu ukristo,tena mbaya zaidi sio dini nyingine.
mada hapa ni chrismass ya wakristo na post ya Mo,aliyewashwa hapa ni muislam anayetaka kupangia watu namna ya kuishi,kisa ni waislamKwani mkuu alieanzisha huu uzi ni nani? Anaeshambuliwa kwenye huu uzi ni nani? Mjadala ni Baina ya Mo na Waisilamu wenzake nani kawashwa? Si nyie ndio mumeingilia mijadala isiowahusu?
Siku wakristo wakigombana na waisilamu wakianzisha uzi una haki kusema wanawashwa, ila kwa Leo samahani nyie ndio mnaowashwa.
Mkuu Mo Salah hakutambui kama unaexist DunianiKwani mkuu alieanzisha huu uzi ni nani? Anaeshambuliwa kwenye huu uzi ni nani? Mjadala ni Baina ya Mo na Waisilamu wenzake nani kawashwa? Si nyie ndio mumeingilia mijadala isiowahusu?
Siku wakristo wakigombana na waisilamu wakianzisha uzi una haki kusema wanawashwa, ila kwa Leo samahani nyie ndio mnaowashwa.
sasa nyinyi mnavua ili msichafue zulia!!!Uisilamu haujakataza kuvaa viatu hata wakati wa Ibada mtume amevaa viatu wakati wa ibada
elewa hoja ndugu,sasa Mo kupost mti wa krismass inaongeza au kupunguza nini kwenye uislam??Speaker haiongezi wala kupunguza jambo kwenye dini, pia huyo punda, ni vizuri ujielimishe mambo ya dini ni yapi na yasiyo ya dini ni yapi.
Sawa ila na mimi nina wajibu wangu kama Muisilamu, hii ni silaha yetu kulinda dini yetu na Vizazi vyetu.Mkuu Mo Salah hakutambui kama unaexist Duniani