Merry Christmass from Mo Salah

Yupo sahihi kabisa hana kosa lolote ndio uislamu unavyotaka hviyo
TAKATAKA
 
Wanabadilisha dini kwa miti ya Christmas? au kusheherekea tarehe bandia ya kuzaliwa Yesu, kweli duniani kuna mambo
 
muislam wa kweli hatumii vitu vya kafiri.hata simu na magari ya makafiri usipande achana na kula ubwabwa wa kafiri.

mko ulimwengu unaoongozwa kikafiri,una ukafiri ndani yake.mnavimba mashavu tu kama panya badala ya kuhama mkaishi akhera,acheni kumfanya mungu kiazi kama nyinyi.
 

Wajinga hawawezi kuisha dunia hii, basi unaweza kuta una degree hata 2 hapo ulipo lakni bado mjinga
 
Haya mambo ya dini sisi binadamu ndio atunayakuza na kubaguana bila ya sababu.
Mungu mwenyewe Hana ubaguzi Wala chuki, ndio maana sote tunazaliwa na kufa.. kuna waislamu wafupi kuna wakristu wafupi. Kuna waislamu weupe na wakristu weupe... Kuna waislamu wazuri na wabaya, wakristu ni vivyo hivyo.
Pia muislamu na mkristu wakilalana wanapeana mimba na mtoto anazaliwa
..kwa Mungu site ni sawa tu. Hii mambo ya kuona dini Fulani ndio Bora au ya ukweli yanatokea wapi.
 
Hahahaha na mwaka watausherekea wa makafiri [emoji122][emoji122] makafiri wana akilli sana[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…