Merry Christmass from Mo Salah

Merry Christmass from Mo Salah

Tatizo lenu mnataka muongopewe, uislam hauna ushirikiano na dini ingine yoyote linapokuja suala la ibada, sasa wewe unapika ubwbwa unasherehekea kuzaliwa yesu ambaye nyie mnamuita mungu alafi sisi waislamu iman yetu ni kwamba Mwenyezi Mungu hakuzaa wala hana mtoto alafu unataka tujumuike pamoja tule ubwabwa kwa ushirikiano upi? Wanafiq ni nyie mkiwa ndani mnaonesha chuki zenu mkija jukwaani mnataka umoja. Hilo halipo na halitakaa litokee kwa muislam wa kweli anayeijui dini yake.
Yupo sahihi kabisa hana kosa lolote ndio uislamu unavyotaka hviyo
TAKATAKA
 
Kwanini sasa walikuwa wakiposti mwaka jana na juz watu wanawatukana sana ila mwaka huu wapo kimya na wao wamenunua na miti kabisa na kusherekea sikukuu, nineshuhudia wengine wakibadili na din na kuwa wakristo kipind hichi cha christmas wanaomba watu wawasaidie kanisa wakabatizwe
Wanabadilisha dini kwa miti ya Christmas? au kusheherekea tarehe bandia ya kuzaliwa Yesu, kweli duniani kuna mambo
 
Tatizo lenu mnataka muongopewe, uislam hauna ushirikiano na dini ingine yoyote linapokuja suala la ibada, sasa wewe unapika ubwbwa unasherehekea kuzaliwa yesu ambaye nyie mnamuita mungu alafi sisi waislamu iman yetu ni kwamba Mwenyezi Mungu hakuzaa wala hana mtoto alafu unataka tujumuike pamoja tule ubwabwa kwa ushirikiano upi? Wanafiq ni nyie mkiwa ndani mnaonesha chuki zenu mkija jukwaani mnataka umoja. Hilo halipo na halitakaa litokee kwa muislam wa kweli anayeijui dini yake.
muislam wa kweli hatumii vitu vya kafiri.hata simu na magari ya makafiri usipande achana na kula ubwabwa wa kafiri.

mko ulimwengu unaoongozwa kikafiri,una ukafiri ndani yake.mnavimba mashavu tu kama panya badala ya kuhama mkaishi akhera,acheni kumfanya mungu kiazi kama nyinyi.
 
muislam wa kweli hatumii vitu vya kafiri.hata simu na magari ya makafiri usipande achana na kula ubwabwa wa kafiri.

mko ulimwengu unaoongozwa kikafiri,una ukafiri ndani yake.mnavimba mashavu tu kama panya badala ya kuhama mkaishi akhera,acheni kumtanya mungu kiazi kama nyinyi.

Wajinga hawawezi kuisha dunia hii, basi unaweza kuta una degree hata 2 hapo ulipo lakni bado mjinga
 
Haya mambo ya dini sisi binadamu ndio atunayakuza na kubaguana bila ya sababu.
Mungu mwenyewe Hana ubaguzi Wala chuki, ndio maana sote tunazaliwa na kufa.. kuna waislamu wafupi kuna wakristu wafupi. Kuna waislamu weupe na wakristu weupe... Kuna waislamu wazuri na wabaya, wakristu ni vivyo hivyo.
Pia muislamu na mkristu wakilalana wanapeana mimba na mtoto anazaliwa
..kwa Mungu site ni sawa tu. Hii mambo ya kuona dini Fulani ndio Bora au ya ukweli yanatokea wapi.
 
muislam wa kweli hatumii vitu vya kafiri.hata simu na magari ya makafiri usipande achana na kula ubwabwa wa kafiri.

mko ulimwengu unaoongozwa kikafiri,una ukafiri ndani yake.mnavimba mashavu tu kama panya badala ya kuhama mkaishi akhera,acheni kumtanya mungu kiazi kama nyinyi.
Hahahaha na mwaka watausherekea wa makafiri [emoji122][emoji122] makafiri wana akilli sana[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom