ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Nashukuru shangaziSawa mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru shangaziSawa mama
Sawa , endeleeni kuambianaYasy
Tatizo lenu mnataka muongopewe, uislam hauna ushirikiano na dini ingine yoyote linapokuja suala la ibada, sasa wewe unapika ubwbwa unasherehekea kuzaliwa yesu ambaye nyie mnamuita mungu alafi sisi waislamu iman yetu ni kwamba Mwenyezi Mungu hakuzaa wala hana mtoto alafu unataka tujumuike pamoja tule ubwabwa kwa ushirikiano upi? Wanafiq ni nyie mkiwa ndani mnaonesha chuki zenu mkija jukwaani mnataka umoja. Hilo halipo na halitakaa litokee kwa muislam wa kweli anayeijui dini yake.
TAKATAKAYupo sahihi kabisa hana kosa lolote ndio uislamu unavyotaka hviyo
Huna kibali cha kuwatoa wasabato katika ukristoWasabato sio wakristo tambua hilo
Kwa hoja zipi?Wasabato sio wakristo
Wanabadilisha dini kwa miti ya Christmas? au kusheherekea tarehe bandia ya kuzaliwa Yesu, kweli duniani kuna mamboKwanini sasa walikuwa wakiposti mwaka jana na juz watu wanawatukana sana ila mwaka huu wapo kimya na wao wamenunua na miti kabisa na kusherekea sikukuu, nineshuhudia wengine wakibadili na din na kuwa wakristo kipind hichi cha christmas wanaomba watu wawasaidie kanisa wakabatizwe
TAKATAKA
Uislam wa Kilwa Kivinje na wewe unajiona mjuaji[emoji3][emoji3]dini tabu sana hiziSawa lakini umeelewa vizur, ukitaka kujifunza zaidi uislam karibu
Siku ISIS wakisheherekea chrismas ndo naona mtashtuka maana hao ndo waislam wa kweli waliobaki karne hiiSawa , endeleeni kuambiana
Washeherekea ISIS nishtuke mimi, acha kupuyanga weweSiku ISIS wakisheherekea chrismas ndo naona mtashtuka maana hao ndo waislam wa kweli waliobaki karne hii
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
chief karibu tupate kitimoto na ndizi mshale hapa kwa mamalai.Sasa kwanini mnashangilia SIKUKUU YA UONGO
mmeshindwa vipi kujua tarehe sahihi ya kuzaliwa kwa yesu?
muislam wa kweli hatumii vitu vya kafiri.hata simu na magari ya makafiri usipande achana na kula ubwabwa wa kafiri.Tatizo lenu mnataka muongopewe, uislam hauna ushirikiano na dini ingine yoyote linapokuja suala la ibada, sasa wewe unapika ubwbwa unasherehekea kuzaliwa yesu ambaye nyie mnamuita mungu alafi sisi waislamu iman yetu ni kwamba Mwenyezi Mungu hakuzaa wala hana mtoto alafu unataka tujumuike pamoja tule ubwabwa kwa ushirikiano upi? Wanafiq ni nyie mkiwa ndani mnaonesha chuki zenu mkija jukwaani mnataka umoja. Hilo halipo na halitakaa litokee kwa muislam wa kweli anayeijui dini yake.
muislam wa kweli hatumii vitu vya kafiri.hata simu na magari ya makafiri usipande achana na kula ubwabwa wa kafiri.
mko ulimwengu unaoongozwa kikafiri,una ukafiri ndani yake.mnavimba mashavu tu kama panya badala ya kuhama mkaishi akhera,acheni kumtanya mungu kiazi kama nyinyi.
si bora mimi,wewe sheikh mzima bado kiazi.hata allah kakuacha hivyo hivyo ni hasara kwa jamii.Wajinga hawawezi kuisha dunia hii, basi unaweza kuta una degree hata 2 hapo ulipo lakni bado mjinga
si bora mimi,wewe sheikh mzima bado kiazi.hata allah kakuacha hivyo hivyo ni hasara kwa jamii.
Mabomu ya kujilipua kayaficha wapi hapa?
Usiposhtuka wewe ata akishtuka maulama wako inatoshaWasheherekea ISIS nishtuke mimi, acha kupuyanga wewe
Hahahaha na mwaka watausherekea wa makafiri [emoji122][emoji122] makafiri wana akilli sana[emoji3][emoji3]muislam wa kweli hatumii vitu vya kafiri.hata simu na magari ya makafiri usipande achana na kula ubwabwa wa kafiri.
mko ulimwengu unaoongozwa kikafiri,una ukafiri ndani yake.mnavimba mashavu tu kama panya badala ya kuhama mkaishi akhera,acheni kumtanya mungu kiazi kama nyinyi.