Merry Christmass from Mo Salah

Merry Christmass from Mo Salah

Wafiraji na wafirwaji namba moja ni Waislam, hata hapa Afrika ya Mashariki wanaofanya hiyo michezo ni waislam wa pwani....ndio mana mnaita mambo ya pwani yakhee[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu huko kwenu hadi ndoa za jinsia moja zipo kwenye nyumba za ibada
 
Alizaliwa tarehe 17.rabil awwal
Hakuna kauli ya moja kwa moja kuwa alizaliwa tarehe hiyo.

KUNA KHILAAF juu ya tarehe ya kuzaliwa Mtume Wa Allah.

Mimi naona muislamu anaefanya maulidi asinyanyue mdomo wake kuponda crissmass kabisa kwa sababu na hawa wanamshereheea mtukufu wao kama ambavyo wana maulidi wanamsherehekea Mtume Muhammad.

Sikubaliani na itikadi ya kikristo lakini pia sikubaliani na waislamu ambao wanawananga wakristo kuhusu krismass alafu wao wanafanya maulidi.

Lakini pia kusherehekea krismass sio kumshirikisha Mungu ikiwa kama huamini yale yanayoaminiwa na hao wenye krismass.

Huku ni kuwasaidia watu katika uovu na sio kila uovu ni kufru,ikiwa utaamini kama wanavyoamini wakristo basi naam hiyo ni kufru kwa mujibu wa UISLAMU.


JA WALE waislamu wanaoponda sherehe za mwaka mpya wakati huo huo wanataka watu washerehekee sherehe za mwaka mpya wa kiislamu,huu pia sio uoni mzuri.

Hii terehe mpya na ile ya kiislamu ni mpya kama kusherehekea zisjerehekewe zote na kama kukatazwa zikatazwe zote.

Ndio maana mimi naona kuwa maulidi,krismass,mwaka mya wa kidunia na kiislamu hizi sherehe zote hazina maana kwangu mimi hata hizo za waislamu walizojitungia hazina mpango wowote.
 
Je Diamond,Ally Kibamia,Mzee Yusuf na wengine ambao ni waislam hawajui kuwa wanachokifanya ni ukafiri? Mkuu acha roho mbaya kwa binadamu wenzio tafuta hela hizi dini ni geresha tu hata MO Salah analijua hilo that's why anaishi na kufanya mambo kwa jinsi inavyo mpendeza yeye
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga? Aliyekwambia dhambi ikifanywa na alikiba inakuwa sio dhambi ni nani?
 
Naona umeongea mengi haya tuambie mtume alizaliwa tarehe ngapi?
Hakuna kauli ya moja kwa moja kuwa alizaliwa tarehe hiyo.

KUNA KHILAAF juu ya tarehe ya kuzaliwa Mtume Wa Allah.

Mimi naona muislamu anaefanya maulidi asinyanyue mdomo wake kuponda crissmass kabisa kwa sababu na hawa wanamshereheea mtukufu wao kama ambavyo wana maulidi wanamsherehekea Mtume Muhammad.

Sikubaliani na itikadi ya kikristo lakini pia sikubaliani na waislamu ambao wanawananga wakristo kuhusu krismass alafu wao wanafanya maulidi.

Lakini pia kusherehekea krismass sio kumshirikisha Mungu ikiwa kama huamini yale yanayoaminiwa na hao wenye krismass.

Huku ni kuwasaidia watu katika uovu na sio kila uovu ni kufru,ikiwa utaamini kama wanavyoamini wakristo basi naam hiyo ni kufru kwa mujibu wa UISLAMU.


JA WALE waislamu wanaoponda sherehe za mwaka mpya wakati huo huo wanataka watu washerehekee sherehe za mwaka mpya wa kiislamu,huu pia sio uoni mzuri.

Hii terehe mpya na ile ya kiislamu ni mpya kama kusherehekea zisjerehekewe zote na kama kukatazwa zikatazwe zote.

Ndio maana mimi naona kuwa maulidi,krismass,mwaka mya wa kidunia na kiislamu hizi sherehe zote hazina maana kwangu mimi hata hizo za waislamu walizojitungia hazina mpango wowote.
 
Ndugu huko kwenu hadi ndoa za jinsia moja zipo kwenye nyumba za ibada
Ndoz za jinsia moja sikuhizi zipo UAE na Uturuki sheikh
images%20(73).jpg
View attachment 1663137View attachment 1663138
 
Naona umeongea mengi haya tuambie mtume alizaliwa tarehe ngapi?
Hakuna tarehe iliyokuwa imekubaliwa na wote.

Muhimu hakuna mwenye uhakika wa tarehe aliyozaliwa kwa sababu tayari kuna mgongano wa watu juu ya tarehe.
 
Hakuna tarehe iliyokuwa imekubaliwa na wote.

Muhimu hakuna mwenye uhakika wa tarehe aliyozaliwa kwa sababu tayari kuna mgongano wa watu juu ya tarehe.
Kwani waislam wanakubaliana nini kabisa katika dini Yao?
 
Back
Top Bottom