Merry Christmass from Mo Salah

Merry Christmass from Mo Salah

Unapata wapi nguvu ya kuniuliza wakati hapo ulipo huna akili kwa mujibu wa messiah wenu?
A:mimi sio mgalatia
B:aliyesema hivyo sio messia
C:Usikimbie mjadala kitoto au Muhamad ni mgalatia ndomana walimroga?
 
A:mimi sio mgalatia
B:aliyesema hivyo sio messia
C:Usikimbie mjadala kitoto au Muhamad ni mgalatia ndomana walimroga?
Leo mnakana eeh, mgalatia ni nani sasa?
Aliyesema ni nani?
Muhamad ulimroga wewe?
Kukosa akili ni tatizo ndugu
 
NYIE ndo wale mnaovaa kanzu fupi na kujiita WAISLAM wenye ITIKADI Kali.
Hadi tarehe ya kuzaliwa mtume unaitilia Shaka?.
Vipi mafundisho yake UTAYAAMINI?.
Na hata Kama mtume akuzaliwa hyo tarehe
Sio sababu ya kuhalalisha muislam KUSHEHEREKEA KUZALIWA KWA MUNGU WA WAKRISTO.
NI SHIRKI.
Hakuna tarehe iliyokuwa imekubaliwa na wote.

Muhimu hakuna mwenye uhakika wa tarehe aliyozaliwa kwa sababu tayari kuna mgongano wa watu juu ya tarehe.
 
Leo mnakana eeh, mgalatia ni nani sasa?
Aliyesema ni nani?
Muhamad ulimroga wewe?
Kukosa akili ni tatizo ndugu
Okay ngoja nikujibu kistaarabu huenda unataka kweli kujua..
Wagalatia ni watu walioishi Sehemu iliyoitwa Galatia enzi hizo za mitume ambayo kwa leo ni maeneo ya Uturuki.
Aliyesema hayo ni mtume paul na aliwaandikia barua hiyo kwakuwa baada ya kuuhwahubiri alipoondoka wakarudi kwenye Upagani.yaani injili feki(kama kusema unamtambua Yesu lakini alikuwa mtume tu)
Kwahyo hayo maneno yaliwahusu hao watu wa kipindi hicho lakini mpaka leo Basi yanaapply kwao maana waturuki bado wapagani.
Okay Swali lako Lingine Muhammad sijamroga mimi maana sikuuwepo ila Mafundi waliokuwepo enzi hizo walipita nae jumla jumla
 
Okay ngoja nikujibu kistaarabu huenda unataka kweli kujua..
Wagalatia ni watu walioishi Sehemu iliyoitwa Galatia enzi hizo za mitume ambayo kwa leo ni maeneo ya Uturuki.
Aliyesema hayo ni mtume paul na aliwaandikia barua hiyo kwakuwa baada ya kuuhwahubiri alipoondoka wakarudi kwenye Upagani.yaani injili feki(kama kusema unamtambua Yesu lakini alikuwa mtume tu)
Kwahyo hayo maneno yaliwahusu hao watu wa kipindi hicho lakini mpaka leo Basi yanaapply kwao maana waturuki bado wapagani.
Okay Swali lako Lingine Muhammad sijamroga mimi maana sikuuwepo ila Mafundi waliokuwepo enzi hizo walipita nae jumla jumla
Mkuu jibu la kufungia mwaka hili ngoja niendelee kula vyombo kafiri mie[emoji3] [emoji482][emoji898]
 
NYIE ndo wale mnaovaa kanzu fupi na kujiita WAISLAM wenye ITIKADI Kali.
Hadi tarehe ya kuzaliwa mtume unaitilia Shaka?.
Vipi mafundisho yake UTAYAAMINI?.
Na hata Kama mtume akuzaliwa hyo tarehe
Sio sababu ya kuhalalisha muislam KUSHEHEREKEA KUZALIWA KWA MUNGU WA WAKRISTO.
NI SHIRKI.
Kumbe na wewe itikadi kali 😀😀.

Kati ya mimi ninaesema kusherehekea akrismass sio shhirki na wewe unaesema ni shirki nani mwenye itikadi kali ?

Kiufupi Mkuu hakuna tarehe iliyokubaliwa moja kwa moja ikaafikiwa kwamba ndo tarehe aliyozaliwa hilo lazima liwe wazi kwako,hayo mengine ya kanzu fupi na itikadi kali sinao muda wa kujibu kabisa.
 
Inshallah...Hivi kabla ya muhammad Allah alikuwa anatumia jina gani?
Sina ithbaat ya kitabu chochote,wala sijafikiwa na kitabu chochote ambacho kimemtaja Allah zaidi ya Qurani.

Kwa hiyo sijajua kabla ya Qurani alikuwa anatumia jina gani mkuu kwa sababu sina kitabu wala sikijui kitabu cha kabla ya Qurani bila kupitia hiyo Qurani yenyewe,na Qurani imemtaja Allah tu.
 
NYIE ndo wale mnaovaa kanzu fupi na kujiita WAISLAM wenye ITIKADI Kali.
Hadi tarehe ya kuzaliwa mtume unaitilia Shaka?.
Vipi mafundisho yake UTAYAAMINI?.
Na hata Kama mtume akuzaliwa hyo tarehe
Sio sababu ya kuhalalisha muislam KUSHEHEREKEA KUZALIWA KWA MUNGU WA WAKRISTO.
NI SHIRKI.
Almuhimu hakuna tarehe maalum ya kuzaliwa mtume iliyokuwa na uhakika hasa.
 
Sina ithbaat ya kitabu chochote,wala sijafikiwa na kitabu chochote ambacho kimemtaja Allah zaidi ya Qurani.

Kwa hiyo sijajua kabla ya Qurani alikuwa anatumia jina gani mkuu kwa sababu sina kitabu wala sikijui kitabu cha kabla ya Qurani bila kupitia hiyo Qurani yenyewe,na Qurani imemtaja Allah tu.
Moja kati ya waislam wachache wastaarabu humu jamvini..I tip my hat to you sir..Angekua mwingine tungeanza Chenga za Ronaldo na matusi kwa juu.
I Respect your honesty.
 
Okay ngoja nikujibu kistaarabu huenda unataka kweli kujua..
Wagalatia ni watu walioishi Sehemu iliyoitwa Galatia enzi hizo za mitume ambayo kwa leo ni maeneo ya Uturuki.
Aliyesema hayo ni mtume paul na aliwaandikia barua hiyo kwakuwa baada ya kuuhwahubiri alipoondoka wakarudi kwenye Upagani.yaani injili feki(kama kusema unamtambua Yesu lakini alikuwa mtume tu)
Kwahyo hayo maneno yaliwahusu hao watu wa kipindi hicho lakini mpaka leo Basi yanaapply kwao maana waturuki bado wapagani.
Okay Swali lako Lingine Muhammad sijamroga mimi maana sikuuwepo ila Mafundi waliokuwepo enzi hizo walipita nae jumla jumla
Eti mafundi, mafundi ni wale waliomtundika msela pale juu akaanza kumlilia baba yake huku kavaa kichupi na wasio na akili wanaamini yule komando kichupi ndio baba mwenyewe
 
Kuvaa kanzu fupi ni sunnah sheikh
NYIE ndo wale mnaovaa kanzu fupi na kujiita WAISLAM wenye ITIKADI Kali.
Hadi tarehe ya kuzaliwa mtume unaitilia Shaka?.
Vipi mafundisho yake UTAYAAMINI?.
Na hata Kama mtume akuzaliwa hyo tarehe
Sio sababu ya kuhalalisha muislam KUSHEHEREKEA KUZALIWA KWA MUNGU WA WAKRISTO.
NI SHIRKI.
 
Kulikuwa na maisha kabla ya Muhamad na Quran,fuatilia.
Sina ithbaat ya kitabu chochote,wala sijafikiwa na kitabu chochote ambacho kimemtaja Allah zaidi ya Qurani.

Kwa hiyo sijajua kabla ya Qurani alikuwa anatumia jina gani mkuu kwa sababu sina kitabu wala sikijui kitabu cha kabla ya Qurani bila kupitia hiyo Qurani yenyewe,na Qurani imemtaja Allah tu.
 
Moja kati ya waislam wachache wastaarabu humu jamvini..I tip my hat to you sir..Angekua mwingine tungeanza Chenga za Ronaldo na matusi kwa juu.
I Respect your honesty.
Mkuu kukiri ustaarabu ni hekima kubwa zaidi ya huo ustaarabu wenyewe.

Ubarikiwe Mkuu.

Tutaonana nyakati zijazo.
Kulikuwa na maisha kabla ya Muhamad na Quran,fuatilia.
Ni kweli mkuu yalikuweko.

Lakini we angalia tu hata katika uislamu kuna mambo kibao na hadithi kibao za kutungwa ambazo wasomi wengi wanaona sio sahihi za uongo hiyo ni miaka baada ya muhammad,sasa nikianza kufatilia kabla ya muhammad itakuwa ngumu japokuwa naamini yapo hayo maisha kabla ya muhammad.

Kwa sababu hata qurani imetaja kwamba kuna vitabu vilitangulia mwanzo kisha ndo ikaja Qurani.

Kuya aya hii

إِنَّ هَـٰذَا لَفِي الصُّحُفِ الْأُولَىٰ [ AL - AA'LAA - 18 ] Hakika haya yamo katika Vitabu vya mwanzo,

Kwa maana tunayoambiwa katika Qurani yamo pia katika vitabu vilivyotangulia kabla yake.

Hivyo ni muhimu na lazima muislamu aamini kwamba kulikuwa na vitabu kabla ya hii Qurani.
 
Back
Top Bottom