Merry Christmass from Mo Salah

Merry Christmass from Mo Salah

Hizo atakuwa kapewa na shetani.
Maana kumuita binadamu mwenzako MUNGU au mwana wa MUNGU.
Ni kufuru
Kwa hiyo Akili Za Mo Salah Kuwatakia Wakristo heri ya Sikukuu ya Christmass kapewa na nani?!
 
Wakumbushe pia hata Calender wanayotumia msikitini na kwenye maisha yao ya kila siku ni ya Kikafir. Inaitwa Gregorian Calender, kalenda iliyoasisiwa na papa Gregory wa kanisa katoliki.

Wasichague vitu vya kuacha...waache vyote vya kikafir
muislam wa kweli hatumii vitu vya kafiri.hata simu na magari ya makafiri usipande achana na kula ubwabwa wa kafiri.

mko ulimwengu unaoongozwa kikafiri,una ukafiri ndani yake.mnavimba mashavu tu kama panya badala ya kuhama mkaishi akhera,acheni kumfanya mungu kiazi kama nyinyi.
 
Kuvaa kanzu fupi ni sunnah sheikh
Ndio maana mimi nasema kuwa maadui wa Mtume muhammad wengi ni hawa hawa waislamu wanakuwa hawajui tu.

Wanabeza kanzu fupi wanadhani wanawabeza wavaaji kumbe wanabeza sunna na kuzitia sifa chafu.

Wanabeza wafuga ndevu
Tatizo lenu mnataka muongopewe, uislam hauna ushirikiano na dini ingine yoyote linapokuja suala la ibada, sasa wewe unapika ubwbwa unasherehekea kuzaliwa yesu ambaye nyie mnamuita mungu alafi sisi waislamu iman yetu ni kwamba Mwenyezi Mungu hakuzaa wala hana mtoto alafu unataka tujumuike pamoja tule ubwabwa kwa ushirikiano upi? Wanafiq ni nyie mkiwa ndani mnaonesha chuki zenu mkija jukwaani mnataka umoja. Hilo halipo na halitakaa litokee kwa muislam wa kweli anayeijui dini yake.
Kama jirani yako mkristo hana kawaida ya kukuletea chakula hawezi kukuletea chakula hata krismass.

Lakini kama jirani yako mkristo anakawaida ya kukuletea chakula siku za kawaida mnaishi kwa munaasaba huo alafu krismass anakuletea chakula kwa nini usile wakati yeye anafanya ni katika ada yake ya kila siku ndugu ?

Mimi nimeishi na jirani mmoja mkristo takriban miaka zaidi ya mitano yule jirani akioika nguruwe haleti anajua itikadi yetu,lakini vyakula vingine vyoote anavyojua ni halali kwetu akipika anatuletea na sisi tunapelekea hayo yalikuwa ni maisha yetu ya kila siku.

Likifika suala la krismass na sikukuu zao wakilete chakula susi tunapokea tunakula kwa roho safi kwa sababu ni ada tayari sio kwamba kinaletwa pale krismass.

Na sisi kupikea kwetu chakula haimaanishi kuwa tunakubali itikadi yao bali inamaanisha tunaendeleza ada yetu ya kila siku.

Na wewe unaepokea huwezi kuhukumiwa kwa nia yake bali utahukumiwa kwa nia yako kwamba jee unapopokea chakula cha krismass kwa jirani yako ambae ndo kawaida yetu kupeana je na wewe unaamini itikadi hiiyo au unapokea kwa sababu ni katika kuendeleza wema ambao mtume wa Allah ametaka tufanyiane ?

Rejea hadithi ya Mtume alivyosisitiza katika kupeana vyakula mpaka akasema kuwa kama mchuzi umepika ni kidogo basi TIA MAJI ILI UPATE KUMPA NA JIRANI.

Yani hapo sio kwamba kama ni kidogo usimpe laa mtume kasisitiza kama ni kidogo ongeza maji upate kumpa jirani yako,hayo ndo maisha kasisitiza mtume wa Allah.

Sasa ukipata jirani wa aina hii mkristo ambae mnaishi kwa uzuri mnakawaida hiyo ya kupesna vyakula pale mnapopika,kwa nini akikupa siku hiyo ya sherehe zao usile wakati ni katika ada yenu ambayo ndani yake unatii sunna ya Mtume kaka.

Ama ikiwa hamuna hiyo kawaida yeye chakula ni sikukuu hadi sikuu una haki ya kukataa,na kule kukataa kwako sio kwamba ukikubalii ati ndo umeikubali itikadi yao laa bali umekikubalii chakula ma sio itikadi yao.
 
Ndio maana mimi nasema kuwa maadui wa Mtume muhammad wengi ni hawa hawa waislamu wanakuwa hawajui tu.

Wanabeza kanzu fupi wanadhani wanawabeza wavaaji kumbe wanabeza sunna na kuzitia sifa chafu.

Wanabeza wafuga ndevu

Kama jirani yako mkristo hana kawaida ya kukuletea chakula hawezi kukuletea chakula hata krismass.

Lakini kama jirani yako mkristo anakawaida ya kukuletea chakula siku za kawaida mnaishi kwa munaasaba huo alafu krismass anakuletea chakula kwa nini usile wakati yeye anafanya ni katika ada yake ya kila siku ndugu ?

Mimi nimeishi na jirani mmoja mkristo takriban miaka zaidi ya mitano yule jirani akioika nguruwe haleti anajua itikadi yetu,lakini vyakula vingine vyoote anavyojua ni halali kwetu akipika anatuletea na sisi tunapelekea hayo yalikuwa ni maisha yetu ya kila siku.

Likifika suala la krismass na sikukuu zao wakilete chakula susi tunapokea tunakula kwa roho safi kwa sababu ni ada tayari sio kwamba kinaletwa pale krismass.

Na sisi kupikea kwetu chakula haimaanishi kuwa tunakubali itikadi yao bali inamaanisha tunaendeleza ada yetu ya kila siku.

Na wewe unaepokea huwezi kuhukumiwa kwa nia yake bali utahukumiwa kwa nia yako kwamba jee unapopokea chakula cha krismass kwa jirani yako ambae ndo kawaida yetu kupeana je na wewe unaamini itikadi hiiyo au unapokea kwa sababu ni katika kuendeleza wema ambao mtume wa Allah ametaka tufanyiane ?

Rejea hadithi ya Mtume alivyosisitiza katika kupeana vyakula mpaka akasema kuwa kama mchuzi umepika ni kidogo basi TIA MAJI ILI UPATE KUMPA NA JIRANI.

Yani hapo sio kwamba kama ni kidogo usimpe laa mtume kasisitiza kama ni kidogo ongeza maji upate kumpa jirani yako,hayo ndo maisha kasisitiza mtume wa Allah.

Sasa ukipata jirani wa aina hii mkristo ambae mnaishi kwa uzuri mnakawaida hiyo ya kupesna vyakula pale mnapopika,kwa nini akikupa siku hiyo ya sherehe zao usile wakati ni katika ada yenu ambayo ndani yake unatii sunna ya Mtume kaka.

Ama ikiwa hamuna hiyo kawaida yeye chakula ni sikukuu hadi sikuu una haki ya kukataa,na kule kukataa kwako sio kwamba ukikubalii ati ndo umeikubali itikadi yao laa bali umekikubalii chakula ma sio itikadi yao.

Ndugu kama wewe ni muislam unahitaji upate elimu kuhusu haya masuala, bimaana masihala ya dini hayana rai katika jambo lenye nafsi yaani dalili, sasa unachanganya ujirani na ibada na pia unashindwa kujua namna ya kuhamiliana na jirani ambaye ni kufari, maelezo ni mengi lakin maelezo yako yana makosa mengi yanayohitaji kueleweshwa.
 
Ndugu kama wewe ni muislam unahitaji upate elimu kuhusu haya masuala, bimaana masihala ya dini hayana rai katika jambo lenye nafsi yaani dalili, sasa unachanganya ujirani na ibada na pia unashindwa kujua namna ya kuhamiliana na jirani ambaye ni kufari, maelezo ni mengi lakin maelezo yako yana makosa mengi yanayohitaji kueleweshwa.

bimaana masihala ya dini hayana rai
Al akh sawa unasema hakuna rai basi mimi naomba uniambie wapi katika sheria imekatazwa kupokea chakula alichopika mkristo siku ya sikukuu mkristo ambaye huwa mnakawaida ya kupeana chakula siku zingine kama ujirani mwema,wapi dalili ?

Usiniambie kasema mwanachuoni fulani na fulani kwa sababu hiyo pia itakuwa RAI yake na weye wasema dini haina rai.
sasa unachanganya ujirani na ibada na pia
Mtume wa Allah kaamrisha tutendeane wema na majirani ikiwemo kuwapa chakula na mema mengine,hivyo suala la kupeana chakula kwa majirani ni IBADA kwa mujibu wa sheria kwa sababu kuna amri yake rasuul.

Kwa hiyo ujirani mwema pia ni ibada katika uislamu.
unashindwa kujua namna ya kuhamiliana na jirani ambaye ni kufari,
Mtume wa Allah alialikwa chakula na mayahudi ambao sio waislamu,akaenda akala japo haikuwa siku ya sikukuu lakini mtume alihudhuria mwito wa chakula.hii ni kuomesha suala la kupokea chakula lipo katika sheria kwa wasiokuwa waislamu.


maelezo ni mengi
Ukiona hivyo kaka basi jua hapo kuna rai kibao na wala sio sheria kwamba imewekwa.

Jambo la dalili kwamba pombe haramu maelezo yake machache tu,zinaa haramu maelezo yake machache tu,tena ije iwe hili ndo kwamba lina maelezo mengi laaaa
 
Al akh sawa unasema hakuna rai basi mimi naomba uniambie wapi katika sheria imekatazwa kupokea chakula alichopika mkristo siku ya sikukuu mkristo ambaye huwa mnakawaida ya kupeana chakula siku zingine kama ujirani mwema,wapi dalili ?

Usiniambie kasema mwanachuoni fulani na fulani kwa sababu hiyo pia itakuwa RAI yake na weye wasema dini haina rai.

Mtume wa Allah kaamrisha tutendeane wema na majirani ikiwemo kuwapa chakula na mema mengine,hivyo suala la kupeana chakula kwa majirani ni IBADA kwa mujibu wa sheria kwa sababu kuna amri yake rasuul.

Kwa hiyo ujirani mwema pia ni ibada katika uislamu.

Mtume wa Allah alialikwa chakula na mayahudi ambao sio waislamu,akaenda akala japo haikuwa siku ya sikukuu lakini mtume alihudhuria mwito wa chakula.hii ni kuomesha suala la kupokea chakula lipo katika sheria kwa wasiokuwa waislamu.



Ukiona hivyo kaka basi jua hapo kuna rai kibao na wala sio sheria kwamba imewekwa.

Jambo la dalili kwamba pombe haramu maelezo yake machache tu,zinaa haramu maelezo yake machache tu,tena ije iwe hili ndo kwamba lina maelezo mengi laaaa

Tunashindwa kuelewana na uelewa wako mdogo, nimeakuambia ni amri kutoka kwa Allah a mtume rehma na amani ziwe juu yake hakuna kushirikiana kwa lolote na makafiri katika sherehe zao, na sio maisha ya kawaida ambayo hayana ibada ndani yake..kula chakula cha kawaida ni ruhusa kwa sababu kimepikwa katika siku za kawaida, na utambue tendo lolote muislam analofanya ni ibada lile la kheir ikija dalili ya kulikataza kushirikiana na makafiri basi tunaliwacha..

Haifai kwa Muislamu wa kiume au wa kike kushirikiana na Manaswara au Mayahudi au wengine katika Makafiri katika sherehe zao, bali ni wajibu kuwacha hilo kwani,

[من تشبه بقوم فهو منهم]



[Atakaejifananisha na watu basi yeye ni katika wao]. Na Mtume Muhammad ﷺ ametutahadharisha kujifananisha na wasiokua Waislamu na kuiga tabia zao. Basi inampasa Muumini wa kike na wa kiume kujihadhari na jambo hilo na asisaidie kufanyika kwa sherehe hizi kwa jambo lolote, kwa sababu sherehe hizi ni sherehe ambazo ziko kinyume na sheria ya Mwenyezi Mungu, na wanaozisherehekea ni Maadui wa Mwenyezi Mung hivyo basi haifai kushiriki katika sherehe hizo wala kuwasaidia wenye kusherehekea kwa jambo lolote, sio kwa Chai wala Kahawa wala kwa jambo lolote kama vile vyombo na mfano wake.

Na pia Anasema Mwenyezi Mungu Mtukufu:



وَتَعَاوَنُوا عَلَى الْبِرِّ وَالتَّقْوَىٰ ۖ وَلَا تَعَاوَنُوا عَلَى الْإِثْمِ وَالْعُدْوَانِ} المائدة:2}



[Na saidianeni katika wema na Ucha Mungu wala musisaidiane katika Maovu na Uadui] [Al Maidah: 2.]
Hivyo basi kushirikiana na Makafiri katika sherehe zao ni sampuli ya kusaidiana katika Maovu na Uadui, ni wajibu kwa kila Muislamu kuwacha hilo la kusherehekea sherehe zisizokua za Kiislamu, na haifai kwa mwenye akili kughurika na watu katika matendo yao, la wajibu ni yeye kuangalia Sheria ya Kiislamu na iliyokuja katika Sheria, na afwate maamrisho ya Mwenyezi Mungu na Mtume wake ﷺ na asiangalie mambo ya watu kwani watu wengi hawajali Sheria za Mwenyezi Mungu kama alivyosema Mwenyezi Mungu katika kitabu chake kitukufu:



إِن تُطِعْ أَكْثَرَ مَن فِي الْأَرْضِ يُضِلُّوكَ عَن سَبِيلِ اللَّه} الإنعام:116}



[Na ukiwat'ii wengi katika hawa waliomo Duniani watakupoteza na Njia ya Mwenyezi Mungu]. [Al An'aam: 116.] Na anasema Mwenyezi Mungu alietukuka:



وَمَا أَكْثَرُ النَّاسِ وَلَوْ حَرَصْتَ بِمُؤْمِنِينَ} يوسف:103}



[Na wengi wa watu si wenye kuamini hata ukijitahidi] [ Yusuf: 103]

Mambo ya kukhalifu Sheria haifai kuyachukua hata kama Watu wanayafanya.

Na Muumini analinganisha Matedo yake na kauli zake na analinganisha matendo na kauli za watu na Qur'ani na Sunna zikiafikiana hiyo ndio yenye kukubaliwa hata kama wataiacha watu, na yakikhalifiana Maneno na matendo yake na Kitabu na Sunna basi hayatokubaliwa hata wakayafanya watu. Mwenyezi Mungu awaruzuku wote tawfiiq na uongofu.
 
Al akh sawa unasema hakuna rai basi mimi naomba uniambie wapi katika sheria imekatazwa kupokea chakula alichopika mkristo siku ya sikukuu mkristo ambaye huwa mnakawaida ya kupeana chakula siku zingine kama ujirani mwema,wapi dalili ?

Usiniambie kasema mwanachuoni fulani na fulani kwa sababu hiyo pia itakuwa RAI yake na weye wasema dini haina rai.

Mtume wa Allah kaamrisha tutendeane wema na majirani ikiwemo kuwapa chakula na mema mengine,hivyo suala la kupeana chakula kwa majirani ni IBADA kwa mujibu wa sheria kwa sababu kuna amri yake rasuul.

Kwa hiyo ujirani mwema pia ni ibada katika uislamu.

Mtume wa Allah alialikwa chakula na mayahudi ambao sio waislamu,akaenda akala japo haikuwa siku ya sikukuu lakini mtume alihudhuria mwito wa chakula.hii ni kuomesha suala la kupokea chakula lipo katika sheria kwa wasiokuwa waislamu.



Ukiona hivyo kaka basi jua hapo kuna rai kibao na wala sio sheria kwamba imewekwa.

Jambo la dalili kwamba pombe haramu maelezo yake machache tu,zinaa haramu maelezo yake machache tu,tena ije iwe hili ndo kwamba lina maelezo mengi laaaa
Mkuu sisi wakati wa IDD tunaletewa chakula na siku hiyo nyumbani hatupiki kabisa na wakati wa Christmas nasi tunawaandalia chakula jirani zetu ambao mageti yanaangaliana.

Huo utaratibu ulianza zamani kabisa Mimi nikiwa mdogo
 
Atakaejifananisha na watu basi yeye ni katika wao]. Na Mtume Muhammad
Naam hadithi sahihi,lakini hii hadithi inataka ufafanuzi kwa sababu sio kujifananisha katika ubaya tu bali hata katika wema ukijifananisha na watu basi na wewe ni katika wao KATIKA HILO AMBALO UMEJIFANANISHA NAO.

Mathalan leo waislamu tunajifananisha na makafiri kwa kuwa na matv na simu ndani hii haina maana kuwa eti sisi sio waislamu,tunabaki kuwa waislamu lakini hili na kuwa na simu na Tv ndo tunakuwa kama wasiokuwa waislamu na sio kwa ijmaal yake.


asisaidie kufanyika kwa sherehe hizi kwa jambo lolote,

Hivyo basi kushirikiana na Makafiri katika sherehe zao ni sampuli ya kusaidiana katika Maovu na Uadui
Mimi nazungumzia kupokea chakula cha jirani yako ambaye tayari mnayo kawaida hiyo,wewe hujapika kwa ajili ya sikukuu na wala hujafanya jambo lolote la sherehe,yeye ndo kapika anakuletea wewe kama ilivyokuwa kawaida yake,sasa hapo unakuwa umemsaidia jambo gani ambalo uislamu umekataza ?

Kwa sababu dalili ulizotoa zote ni عامة ambazo hazifidishi kwamba kupokea chakula cha kafiri ambaye ni kawaida yenu ati ni haramu.

Hayo yote uliyoyasema ni kuwa muislamu naye akafanya sherehe na maandalizi ya kupika na mambo mengine,lakini muislamu ambaye yeye yupo kawaida hana shangwe ni siku yake ya kawaida kikaletwa chakula na jirani yake mkristo ambaye wana mazoea hayo.

Sijui una hoja gani ya kumkataza huyu muislamu asile chakula hiki ambacho msingi wake ni katika ada zao wenyewe majirani kupeana.


Basi inampasa Muumini wa kike na wa kiume kujihadhari na jambo hilo na asisaidie kufanyika kwa sherehe hizi kwa jambo lolote, kwa sababu sherehe hizi ni sherehe ambazo ziko kinyume na sheria ya Mwenyezi Mungu, na wanaozisherehekea ni Maadui wa Mwenyezi Mung hivyo basi haifai kushiriki katika sherehe hizo wala kuwasaidia wenye kusherehekea kwa jambo lolote, sio kwa Chai wala Kahawa wala kwa jambo lolote kama vile vyombo na mfano wake.
Mimi sizungumzii muislamu kujishughulisha na maandalizi ya kusherehekea hilo nina amini ni haramu.

Mimi nipo na huyu muislamu ambaye yeye hana sherehe wala maandalizi yoyote,kimekuja chakula cha jirani yake mkristo ambaye kila siku huwa anamletea anakula,kwa nini iwe leo asipokee ati kwa sababu ya sikukuu alafu siku zingine apokee.

Sikukuu haimzuwii muislamu huyu kupokea jema atakalofanyiwa na jurani yake huyo.

Wao hata kama wamekusudia krismass wewe ukawa umekusudia ujirani kup0kea chakula kile je kaifiya hiyo itahukumiwa kwa nia ya mkristo ama nia yako wewe muislamu unayepokea ?
 
Mkuu sisi wakati wa IDD tunaletewa chakula na siku hiyo nyumbani hatupiki kabisa na wakati wa Christmas nasi tunawaandalia chakula jirani zetu ambao mageti yanaangaliana.

Huo utaratibu ulianza zamani kabisa Mimi nikiwa mdogo
Lakini licha ya kuwa mnaletewa chakula cha iddi eti kupokea kwenu chakula cha IDDI ni ishara kwamba mlikuwa mushakubali na kuiamini itikadi ya kiislamu au mlikuwa mnapokea kwa sababu ya nafasi yenu ya ujirani ?
 
Naam hadithi sahihi,lakini hii hadithi inataka ufafanuzi kwa sababu sio kujifananisha katika ubaya tu bali hata katika wema ukijifananisha na watu basi na wewe ni katika wao KATIKA HILO AMBALO UMEJIFANANISHA NAO.

Mathalan leo waislamu tunajifananisha na makafiri kwa kuwa na matv na simu ndani hii haina maana kuwa eti sisi sio waislamu,tunabaki kuwa waislamu lakini hili na kuwa na simu na Tv ndo tunakuwa kama wasiokuwa waislamu na sio kwa ijmaal yake.





Mimi nazungumzia kupokea chakula cha jirani yako ambaye tayari mnayo kawaida hiyo,wewe hujapika kwa ajili ya sikukuu na wala hujafanya jambo lolote la sherehe,yeye ndo kapika anakuletea wewe kama ilivyokuwa kawaida yake,sasa hapo unakuwa umemsaidia jambo gani ambalo uislamu umekataza ?

Kwa sababu dalili ulizotoa zote ni عامة ambazo hazifidishi kwamba kupokea chakula cha kafiri ambaye ni kawaida yenu ati ni haramu.

Hayo yote uliyoyasema ni kuwa muislamu naye akafanya sherehe na maandalizi ya kupika na mambo mengine,lakini muislamu ambaye yeye yupo kawaida hana shangwe ni siku yake ya kawaida kikaletwa chakula na jirani yake mkristo ambaye wana mazoea hayo.

Sijui una hoja gani ya kumkataza huyu muislamu asile chakula hiki ambacho msingi wake ni katika ada zao wenyewe majirani kupeana.



Mimi sizungumzii muislamu kujishughulisha na maandalizi ya kusherehekea hilo nina amini ni haramu.

Mimi nipo na huyu muislamu ambaye yeye hana sherehe wala maandalizi yoyote,kimekuja chakula cha jirani yake mkristo ambaye kila siku huwa anamletea anakula,kwa nini iwe leo asipokee ati kwa sababu ya sikukuu alafu siku zingine apokee.

Sikukuu haimzuwii muislamu huyu kupokea jema atakalofanyiwa na jurani yake huyo.

Wao hata kama wamekusudia krismass wewe ukawa umekusudia ujirani kup0kea chakula kile je kaifiya hiyo itahukumiwa kwa nia ya mkristo ama nia yako wewe muislamu unayepokea ?

Mimi nimekupa dalili sasa naona wewe unaleta stori zako, nipe dalili kwa hadithi inayoruhusu wewe kupokea chakula ama zawadi itakanayo na siku ya Christmas kwamba hiyo ni nzuri na inaangalia nia yako wewe mpokeaji? Nipe dalili inayoruhusu wewe kupokea chakula siku hiyo ya Christmas ambayo hao makufari wamepika pilau kwa ku itakidi kwamba pilau hilo ni la kusherekea kuzaliwa mtoto wa mungu na wewe unasema mimi niya yangu ni ujirani unapokea unakula. Sasa sitaki stori zako wala rai yako kwamba sijui unayokawaida ya kupewa chakula kila siku, mimi nazungumzia katazo la wewe kushiriki chochote kutoka kwa kafiri siku ya sherehe yake sio desturi maana hapa imekatazwa hiyo siku tena imetajwa kabisa
 
Lakini licha ya kuwa mnaletewa chakula cha iddi eti kupokea kwenu chakula cha IDDI ni ishara kwamba mlikuwa mushakubali na kuiamini itikadi ya kiislamu au mlikuwa mnapokea kwa sababu ya nafasi yenu ya ujirani ?

We uelewa wako mdogo sana kwenye suala la dini na ujirani, inaonekana ndio wale wa dini mseto kaaa chini soma dini ndugu usifuate kimkumbomkumbo tu alafu unataka kumuuliza huyo asiyemuumini unadhani atajibu nini? Mimi binafsi na ndio sheria tukio lolote linalohusu dini halina ushirikiano na asiye na dini yangu. Ndio maamrisho ya quran na sunnah na si maoni yako.
 
Mimi binafsi na ndio sheria tukio lolote linalohusu dini halina ushirikiano na asiye na dini yangu.
Mimi huwa sijibu kejeli na dharau za watu,ufahamu wangu mdogo sawa,laakin napenda sana kujadili kuliko kutanguliza misimamo ambayo haina tija.
nipe dalili kwa hadithi inayoruhusu wewe kupokea chakula ama zawadi itakanayo na siku ya Christmas kwamba hiyo ni nzuri na inaangalia nia yako wewe mpokeaj
Wewe unaekataza ndo ulete dalili.

Asili katika mambo ni kujuzu,ikiwa itajuzu kupokea chakula cha mkristo wakati usiokuwa wa sikukuu,naomba unipe dalili ya kukataa chakula hiko wakati wa sikukuu.

Kwa sababu inafaa kupokea chakula chakula cha huyu huyu mkristo wakati usiokuwa wa sikukuu,basi naomba unipe dalili kuwa eti chakula hiko hakifai kupkea wakati wa sikukuu ?

Kama inajuzu kwangu kupokea wema wa fulani,basi nipe dalili kwamba eti wema ule ule akinifanyia siku ya sikukuu yake haifai kuupokea,lete dalili ya kunikataza mimi kupokea ?

Kwa sababu kupokea wema ni jambo la mubaaha.sasa mubaaha yeyote ile asili yake ni kujuzu.

Nipe wewe dalili ndugu ya kunikataza kupokea wema huu.
 
We uelewa wako mdogo sana kwenye suala la dini na ujirani, inaonekana ndio wale wa dini mseto kaaa chini soma dini ndugu usifuate kimkumbomkumbo tu alafu unataka kumuuliza huyo asiyemuumini unadhani atajibu nini? Mimi binafsi na ndio sheria tukio lolote linalohusu dini halina ushirikiano na asiye na dini yangu. Ndio maamrisho ya quran na sunnah na si maoni yako.
Nataka nikudhihirishie kuwa kupeana vyyakula kwanza sio ishara ya kwamba ati umekubali itikadi yao,mnaweza kupeana vyakula na bado kila mmoja atabaki na itikadi yake.

Kwa hiyo kusema kuwa kupokea vyakula ati umejifananisha nao lazima ubainishe kujfananisha nao katika lipi ?
 
Mimi huwa sijibu kejeli na dharau za watu,ufahamu wangu mdogo sawa,laakin napenda sana kujadili kuliko kutanguliza misimamo ambayo haina tija.

Wewe unaekataza ndo ulete dalili.

Asili katika mambo ni kujuzu,ikiwa itajuzu kupokea chakula cha mkristo wakati usiokuwa wa sikukuu,naomba unipe dalili ya kukataa chakula hiko wakati wa sikukuu.

Kwa sababu inafaa kupokea chakula chakula cha huyu huyu mkristo wakati usiokuwa wa sikukuu,basi naomba unipe dalili kuwa eti chakula hiko hakifai kupkea wakati wa sikukuu ?

Kama inajuzu kwangu kupokea wema wa fulani,basi nipe dalili kwamba eti wema ule ule akinifanyia siku ya sikukuu yake haifai kuupokea,lete dalili ya kunikataza mimi kupokea ?

Kwa sababu kupokea wema ni jambo la mubaaha.sasa mubaaha yeyote ile asili yake ni kujuzu.

Nipe wewe dalili ndugu ya kunikataza kupokea wema huu.

Nikuulize swali, kupokea chakula na kitu kingine siku ya kawaida inajuzu kama ilivyoelekeza dini, sasa swali je kwamba unakubali kuna katazo la kutoshorikiana na makafiri katika sikukuu zao?

Jibu kama ndio nielekeze ni aina gani ya ushirikiano au jambo gani ambalo ukilifanya utakuwa ndio umeshirikana nao siku hiyo ya hizo sikuu zao?

Kama jibu hapana naomba dalili ya kuruhusu kushirikiana na makafiri katika sherehe zao
 
Lakini licha ya kuwa mnaletewa chakula cha iddi eti kupokea kwenu chakula cha IDDI ni ishara kwamba mlikuwa mushakubali na kuiamini itikadi ya kiislamu au mlikuwa mnapokea kwa sababu ya nafasi yenu ya ujirani ?
Kwasababu ya ujirani mwema
 
swali je kwamba unakubali kuna katazo la kutoshorikiana na makafiri katika sikukuu zao?
Hakuna katazo la kwamba usishirikiane na makafiri zinapofika sikukuu zao.

Amri imekuja kwamba usijifananishe nao,na kujifananisha ni kufanya kama ambavyo wao wanafanya.

Lakini kushirikiana ni tofauti.

Mfano leo ama jana sisi waislamu wauza maduka tufunge,michele tusiuze,nyma tusiuze ati kwa sababu tukiuza vitu hivi wataenda kupika na hapo itakuwa tumejifananisha nao.huu ufahamu sio sahihi.

Kwa hiyo kwa kuweka sawa tu ni kuwa kuna tofauti ya kwamba kushirikiana nao na kujifananisha nao,na amri zimekuja hivyo.

Kujifananisha na mtu ni kuiga mambo yake na pia kufuata mila yake yaani unafata matendo yake.

Sasa katika kushirikiana ni jambo pana sana ambalo halitakiwi kutafsiriwa kwa mujibu wa wewe bali litafsiriwe kwa mujibu wa huyo anayefanya.

Mathala ndugu yangu jana ameuza nguo kuwauzia wakristo na anawajua,ameuza mchele na sukari na nyama kuwauzia wakrsito na anajua kwamba hawa kesho wanaenda kula sikukuu,hii kaifiyyah hutakiwi kumhukumu kwamba eti KAJIFANANISHA NAO AMA KAWASAIDIA KATIKA SIKUKUU ZAO,bali hapo itarudi katika nia ya huyo unayemtuhumu,kama alikusudia kweli kushiriki katika hilo naam ni shida lakini kama yeye hajakusudia basi hutakiwi kumhukumu hivyo.


Jibu kama ndio nielekeze ni aina gani ya ushirikiano au jambo gani ambalo ukilifanya utakuwa ndio umeshirikana nao siku hiyo ya hizo sikuu zao?
Ushirikiano ambao utakuwa umenuia kuwasaidia na kujifananisha nao katika sikukuu zao.
Lakini ikiwa haujakusudia kushirikiana nao kisikukuu na kujifananisha nao basi hilo haliitwi ushirikiano.

Mimi krismass naweza kuvaa nguo zangu nzuri tu nikatoka nje alafu wewe unikataze nisivae vizuri ati kwa kuwa leo wakristo wanavaa vizuri hivyo mimi nisijifananishe nao ?

Kwani mimi nimekusudia kujifananisha nao ama nimekusudia mambo yangu tuu jamani.

إن ما الأعمال بالنيات

"Hakika matendo yanahukumiwa kwa nia ya mtu"

Na matendo hayo yanayohukumiwa kwa nia ya mtu ni yale yenye sura ya kujuzu isiyokuwa ya haramu,sio unazini unasema nilikuwa na nia nzuri laa,sio unaiba unasema nilikuwa na nia nzuri laaa.

Bali yale matendo ambayo dhaahir yake yanaonekana hayana uharamu kuyafanya,mfano mtu unaenda kusali sio haramu kusali lakini unasali kwa sababu unataka kuwaibia waislamu,wewe utapata dhambi kwa nia yako na wala sio kwa matendo yako.

Hivyo wewe muislamu siku ya krismass na wewe ukapika wali wako pale safi umeamua kupika alafu Mungu akakuchome moto wakati haukukusudia kuiadhimisha siku hiyo ?

Hii itakuwa Tunamfanya Mungu kwamba hayajui yale ya nafsi zetu kwamba ili akuhukumu basi anaangalia wengine wanafanyaje alafu anakuja kwako wewe kukuhukumu kwa mujibu wa alivyowaona wengine.No No.

Allah anahukumu kwa mtu mmoja mmoja na ndio maana jambo la nia Anayelijua ni Allah pekee na sio mimi na wewe tukaangalia matendo ya nje tukahukumu.

Nimejibu kwa urefu utanisamehe lakini nimeona niandike haya pengine ukapata jambo
Kama jibu hapana naomba dalili ya kuruhusu kushirikiana na makafiri katika sherehe zao
Nilishajibu kuwa ushirikiano ambao utakuwa umeutilia nia ya kusapoti sikukuu zao na kujifananisha nao basi huo ndio ushirikiano ambao umekatazwa.

Kwa hiyo huo ushirikiano utaambatana na NIA ya Mfanyaji na wala sio utakavyoona wewe kwa dhaahir yako.

Siku ya sikukuu sio kwamba ni siku special saaaana kwa Allah kwamba eti siku hiyo asiangalie nia ya Mtu badala yake aangalie je anajifananisha vipi na wengine .,sivyo hivyo ndugu.
 
Kwasababu ya ujirani mwema
Naam.

Vizuri kaka.

Ujirani ni jambo moja kubwa sana ambalo ujirani huo mwema ama wema huo alioamrisha Allah kwamba tufanyiane eti aje kuukataza siku ya sikukuu ambazo hazitambui kabisa.

Watu kama kawaida yao kupeana chakula siku zote basi sikukuu sio kikwazo cha wao kwamba wasipeane.
 
Hakuna katazo la kwamba usishirikiane na makafiri zinapofika sikukuu zao.

Amri imekuja kwamba usijifananishe nao,na kujifananisha ni kufanya kama ambavyo wao wanafanya.

Lakini kushirikiana ni tofauti.

Mfano leo ama jana sisi waislamu wauza maduka tufunge,michele tusiuze,nyma tusiuze ati kwa sababu tukiuza vitu hivi wataenda kupika na hapo itakuwa tumejifananisha nao.huu ufahamu sio sahihi.

Kwa hiyo kwa kuweka sawa tu ni kuwa kuna tofauti ya kwamba kushirikiana nao na kujifananisha nao,na amri zimekuja hivyo.

Kujifananisha na mtu ni kuiga mambo yake na pia kufuata mila yake yaani unafata matendo yake.

Sasa katika kushirikiana ni jambo pana sana ambalo halitakiwi kutafsiriwa kwa mujibu wa wewe bali litafsiriwe kwa mujibu wa huyo anayefanya.

Mathala ndugu yangu jana ameuza nguo kuwauzia wakristo na anawajua,ameuza mchele na sukari na nyama kuwauzia wakrsito na anajua kwamba hawa kesho wanaenda kula sikukuu,hii kaifiyyah hutakiwi kumhukumu kwamba eti KAJIFANANISHA NAO AMA KAWASAIDIA KATIKA SIKUKUU ZAO,bali hapo itarudi katika nia ya huyo unayemtuhumu,kama alikusudia kweli kushiriki katika hilo naam ni shida lakini kama yeye hajakusudia basi hutakiwi kumhukumu hivyo.



Ushirikiano ambao utakuwa umenuia kuwasaidia na kujifananisha nao katika sikukuu zao.
Lakini ikiwa haujakusudia kushirikiana nao kisikukuu na kujifananisha nao basi hilo haliitwi ushirikiano.

Mimi krismass naweza kuvaa nguo zangu nzuri tu nikatoka nje alafu wewe unikataze nisivae vizuri ati kwa kuwa leo wakristo wanavaa vizuri hivyo mimi nisijifananishe nao ?

Kwani mimi nimekusudia kujifananisha nao ama nimekusudia mambo yangu tuu jamani.

إن ما الأعمال بالنيات

"Hakika matendo yanahukumiwa kwa nia ya mtu"

Na matendo hayo yanayohukumiwa kwa nia ya mtu ni yale yenye sura ya kujuzu isiyokuwa ya haramu,sio unazini unasema nilikuwa na nia nzuri laa,sio unaiba unasema nilikuwa na nia nzuri laaa.

Bali yale matendo ambayo dhaahir yake yanaonekana hayana uharamu kuyafanya,mfano mtu unaenda kusali sio haramu kusali lakini unasali kwa sababu unataka kuwaibia waislamu,wewe utapata dhambi kwa nia yako na wala sio kwa matendo yako.

Hivyo wewe muislamu siku ya krismass na wewe ukapika wali wako pale safi umeamua kupika alafu Mungu akakuchome moto wakati haukukusudia kuiadhimisha siku hiyo ?

Hii itakuwa Tunamfanya Mungu kwamba hayajui yale ya nafsi zetu kwamba ili akuhukumu basi anaangalia wengine wanafanyaje alafu anakuja kwako wewe kukuhukumu kwa mujibu wa alivyowaona wengine.No No.

Allah anahukumu kwa mtu mmoja mmoja na ndio maana jambo la nia Anayelijua ni Allah pekee na sio mimi na wewe tukaangalia matendo ya nje tukahukumu.

Nimejibu kwa urefu utanisamehe lakini nimeona niandike haya pengine ukapata jambo

Nilishajibu kuwa ushirikiano ambao utakuwa umeutilia nia ya kusapoti sikukuu zao na kujifananisha nao basi huo ndio ushirikiano ambao umekatazwa.

Kwa hiyo huo ushirikiano utaambatana na NIA ya Mfanyaji na wala sio utakavyoona wewe kwa dhaahir yako.

Siku ya sikukuu sio kwamba ni siku special saaaana kwa Allah kwamba eti siku hiyo asiangalie nia ya Mtu badala yake aangalie je anajifananisha vipi na wengine .,sivyo hivyo ndugu.

Nasema hivi, dini si rai na kwakuwa umekuwa wewe ni mtu wa fikra basi endelea kufanya nao ibada makufari hata riba
Hakuna katazo la kwamba usishirikiane na makafiri zinapofika sikukuu zao.

Amri imekuja kwamba usijifananishe nao,na kujifananisha ni kufanya kama ambavyo wao wanafanya.

Lakini kushirikiana ni tofauti.

Mfano leo ama jana sisi waislamu wauza maduka tufunge,michele tusiuze,nyma tusiuze ati kwa sababu tukiuza vitu hivi wataenda kupika na hapo itakuwa tumejifananisha nao.huu ufahamu sio sahihi.

Kwa hiyo kwa kuweka sawa tu ni kuwa kuna tofauti ya kwamba kushirikiana nao na kujifananisha nao,na amri zimekuja hivyo.

Kujifananisha na mtu ni kuiga mambo yake na pia kufuata mila yake yaani unafata matendo yake.

Sasa katika kushirikiana ni jambo pana sana ambalo halitakiwi kutafsiriwa kwa mujibu wa wewe bali litafsiriwe kwa mujibu wa huyo anayefanya.

Mathala ndugu yangu jana ameuza nguo kuwauzia wakristo na anawajua,ameuza mchele na sukari na nyama kuwauzia wakrsito na anajua kwamba hawa kesho wanaenda kula sikukuu,hii kaifiyyah hutakiwi kumhukumu kwamba eti KAJIFANANISHA NAO AMA KAWASAIDIA KATIKA SIKUKUU ZAO,bali hapo itarudi katika nia ya huyo unayemtuhumu,kama alikusudia kweli kushiriki katika hilo naam ni shida lakini kama yeye hajakusudia basi hutakiwi kumhukumu hivyo.



Ushirikiano ambao utakuwa umenuia kuwasaidia na kujifananisha nao katika sikukuu zao.
Lakini ikiwa haujakusudia kushirikiana nao kisikukuu na kujifananisha nao basi hilo haliitwi ushirikiano.

Mimi krismass naweza kuvaa nguo zangu nzuri tu nikatoka nje alafu wewe unikataze nisivae vizuri ati kwa kuwa leo wakristo wanavaa vizuri hivyo mimi nisijifananishe nao ?

Kwani mimi nimekusudia kujifananisha nao ama nimekusudia mambo yangu tuu jamani.

إن ما الأعمال بالنيات

"Hakika matendo yanahukumiwa kwa nia ya mtu"

Na matendo hayo yanayohukumiwa kwa nia ya mtu ni yale yenye sura ya kujuzu isiyokuwa ya haramu,sio unazini unasema nilikuwa na nia nzuri laa,sio unaiba unasema nilikuwa na nia nzuri laaa.

Bali yale matendo ambayo dhaahir yake yanaonekana hayana uharamu kuyafanya,mfano mtu unaenda kusali sio haramu kusali lakini unasali kwa sababu unataka kuwaibia waislamu,wewe utapata dhambi kwa nia yako na wala sio kwa matendo yako.

Hivyo wewe muislamu siku ya krismass na wewe ukapika wali wako pale safi umeamua kupika alafu Mungu akakuchome moto wakati haukukusudia kuiadhimisha siku hiyo ?

Hii itakuwa Tunamfanya Mungu kwamba hayajui yale ya nafsi zetu kwamba ili akuhukumu basi anaangalia wengine wanafanyaje alafu anakuja kwako wewe kukuhukumu kwa mujibu wa alivyowaona wengine.No No.

Allah anahukumu kwa mtu mmoja mmoja na ndio maana jambo la nia Anayelijua ni Allah pekee na sio mimi na wewe tukaangalia matendo ya nje tukahukumu.

Nimejibu kwa urefu utanisamehe lakini nimeona niandike haya pengine ukapata jambo

Nilishajibu kuwa ushirikiano ambao utakuwa umeutilia nia ya kusapoti sikukuu zao na kujifananisha nao basi huo ndio ushirikiano ambao umekatazwa.

Kwa hiyo huo ushirikiano utaambatana na NIA ya Mfanyaji na wala sio utakavyoona wewe kwa dhaahir yako.

Siku ya sikukuu sio kwamba ni siku special saaaana kwa Allah kwamba eti siku hiyo asiangalie nia ya Mtu badala yake aangalie je anajifananisha vipi na wengine .,sivyo hivyo ndugu.

Duh mtihani sana Allahul musta'an. Hadi umeenda kuchukua hadithi ya mambo ya nia ili uhalalishe lengo lako? Tatzo moja tu unatumia fikra zako badala ya dalili, mimi nazungumzi hili wewe unazungumzia lile. Hivyo naona mimi nikuche ili uendelee vizuri na hao makufari hata wakikuita kwenye sala ya bikira maria nenda tu maana wewe nia yako sio kusalia bikira maria ila nia yako ni ujirani mwema. Kwakweli
 
Back
Top Bottom