Messi aitunishia misuli Serikali ya Israel, Serikali yafyata

Messi aitunishia misuli Serikali ya Israel, Serikali yafyata

Sasa matusi ya nini yahkee? Mimi kwa mfano ni mkristo. Simusapoti Israel kwa sababu ya ukristo wangu, la hasha. Israel wengi bado wanaheshimu uyahudi wao, dini kongwe kuliko Ukristo na Uislam.

Namsapoti Israel kwa sababu ya historia. Historia inatuambia Jerusalem ni jiji lililojengwa na waebrania=Israel=wayahudi. Umejengwa kwanza na Daud, lkn Suleiman akafanya kazi kubwa zaidi. Hata majina ya miji hiyo, yanasadifu uzayuni kuliko upalestina. Hiyo tu ni ishara tosha kuwa ni miji mikongwe ya wazayuni au waebrania.

Wote tunafahamu kupitia historia kuwa, Isaak na Ismail wote ni watoto wa Ibrahimu ambaye ni mrithi wa ahadi za Mungu. Tofauti iliyopo kati ya Ishumael=baba wa wapalestine na Isack=baba wa waebrania, ni kuwa mmoja alikuwa na mchanganyiko wa damu yaani Ebrania+Egypt wakati Isaak alikuwa pure Israel au myahudi.

Tofauti nyingine ni kuwa, Isack ni mtoto wa ahadi, wa kurithi mahali pa Ibrahimu, lakini Ishumael alifukuzwa na kuwa mkimbizi mbele ya ndugu yake Isack. Pengine hata kuoa alioa kwa warabu kuliko kwa waebrania.

History inatuambia pia, Israel walipokosa, walinyang'anywa nchi na vyote viijazavyo, wakachukua wengine, lkn historia hiyohiyo inasema ipo siku huyu aliyefukuzwa atarudi kwake, aendeleze maisha hapo.

Utata uliopo, umekimbia miaka mingi iliyopita, unarudi unakuta watu wamejimilikisha eneo lako. Je kudai eneo ambalo ni mali yako, ni kosa?

Wewe umejenga mji wako huko, baadae ukakimbilia mjini wengine wakauendeleza. Baadae maisha yamekupiga, unaamua kurudi kwenye mji wako, unakuta watu wameendeleza lkn unakumbuka hakika nyumba uliyoiacha ulivyo ijenga. Je kudai mali yako hiyo ni kosa?

Kama Palestine wanadai wao ndo walioubuni mji huo, iweje ukose majina ya kipalestina au kiarabu lakini uwe na majina ya kiyahudi?

The best solution ni kuwafanya watoto wa Ibrahimu kukaa pamoja kama familia, lakini kitendo cha Palestine kuwaona Israel hawastahili wakati wao ni mazao ya kuchepuka tu, wanajidanganya.

Vitisho vyao havitaiyumbisha Israel, na siku zote wameonesha hivyo. Tangu mwaka 1948, wameonesha wana uwezo kuliko Palestine. Cha msingi wakae wayamalize kama watoto wa baba mmoja siyo kujifanya wajuaji.
Acha ujinga na hadithi za elf ulaila ulaila .Hizi ni pumba za Kikufar wewe na hawa makufar ni madhalim tu
 
Acha ujinga na hadithi za elf ulaila ulaila .Hizi ni pumba za Kikufar wewe na hawa makufar ni madhalim tu
Wewe ni msengetz sasa pumba.fu kabisa. We unataka yako ndo iwe kweli tu? Leta hoja tuone kafir wewe
 
Acha bhana... kumbe ni taifa teule!

Hivi hashindwi kwa sababu ni taifa teule au ni kutokana na misaada mikubwa ya kijeshi anayopewa na US?!

Kwa mfano, during Obama Administration; US waliingia mkataba wa msaada wa $38 Billion kwa kipindi cha miaka 10!

$38 Billion ni zaidi ya TZS 80 Trillion ambayo ni more than TZS Trillion 8 kwa mwaka!

Leo hii Tanzania tupate msaada wa trillion 8 kwa mwaka kwa ajili ya masuala ya kijeshi tu; hivi unadhani kuna taifa Afrika litaweza kutuchezea?

Na sio Africa tu bali nchi kadhaa duniani!

Leo hii wazibie hiyo mirija Israel halafu hizo Trillion 8 wape Hamas tu let alone Iran halafu njoo hapa miaka 5 ijayo utuambie "Taifa Teule" halishindwi!!
Hawatoi pesa hovyo kwakila mtu wanatoa kwakua israel wanamchango mkubwa sana kwa us
 
"...Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwasiliana na Rasi wa Argentine Mh Mauricio Macri. Netanyahu alimsihi Sana Macri kuwahimiza uongozi na wachezaji kutokufutilia mbali mchezo huo siku ya jumanne. Macri alimjibu waziri huyo kuwa yeye hawezi kuingilia maamuzi ya mwisho ya chama cha soka cha taifa hilo.

Raisi Macri aliwasiliana na uongozi wa chama cha soka kujua msimamo wao. Viongozi walimwambia kuwa kila mchezaji ana hofu na hakuna mchezaji ambaye yupo tayati kucheza pambano hilo. Macri alimpigia simu waziri wa Israel na kumuomba radhi kwamba hakuna mchezaji ambaye atakubali kucheza pambano hilo...".

Soma hapo mkuu. Walipanga pambano, na wakasafiri kwenda uyahudi, wakatishiwa na wapalestina, wakaogopa, wakafuta mchezo kulinda uhai wao.
Ulinzi uliopo israel palestina hawezi fanya lolote,plus ukuta uliojengwa,lini kwa mara ya mwisho imesikia mpalestina kajilipua israel!?..messi na ronaldo wapo pamoja sana na wapalestina
 
Ulinzi uliopo israel palestina hawezi fanya lolote,plus ukuta uliojengwa,lini kwa mara ya mwisho imesikia mpalestina kajilipua israel!?..messi na ronaldo wapo pamoja sana na wapalestina
Visa vya warabu visingeisha leo, vingesambaa na kuwa agenda yao
 
King Messi anaakili sana, ameona hawa mbwa na washenzi wauwaji wakubwa kwa wasio na hatia si kwa watoto wala wazee wenyewe wanauwa tu..i mean israel/shetani. Mungu awalaani hawa mbwa.


Argentina nawaomba shikilieni huo huo mtazamo wenu wa kutoenda kucheza na wanyama wala watu/israelimbwa..mammaee
 
Ndio maana bongo hatutoboi..

Miaka yote wanakosa kombe la dunia ni kwa sababu hawachezi na israeli??
Au team zinazokubali kucheza na israeli zinapata kombe la dunia...

Au hao israeli wenyewe waliwahi hata kulinusa hilo kombe??
Nwashangaa mbona USA wanaoilamba miguu kabisa israel hata huko RUSSIA wameshindwa kwenda
 
Wewe ni msengetz sasa pumba.fu kabisa. We unataka yako ndo iwe kweli tu? Leta hoja tuone kafir wewe

Soon netambwa atakuhamisha na familia yako nchini mwake na haki zote utapewa, sio kwa kuwasifia hivyo hao shetani wala watu!!!
 
View attachment 796572

Inasemekana timu ya taifa ya Argentine imefutilia mbali mchezo wao wa kirafiki dhidi ya taifa la Israel. Taifa hilo lilipata ripoti kwamba Lionel Messi na mke wake walipokea vitisho kutoka kwa wapalestine wakiwataka kuahirisha mchezo huo mara moja.

Katibu mkuu wa chama cha soka cha Palestina Jibril Rajoub aliuomba uongozi wa chama soka cha argentine kufuta mchezo huo mara moja

Baadhi ya mashabiki wa Messi nchini Palestina walichoma jezi za nyota huyo mara baada ya kikosi hicho kuwasili Jerusalem kwa muda.

Rajoub amesema anafahamu wazi kuwa mchezo huo ulikuwa ni wa kusheherekea Miaka 70 ya shirikissho la soka nchini humo.

Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwasiliana na Rasi wa Argentine Mh Mauricio Macri. Netanyahu alimsihi Sana Macri kuwahimiza uongozi na wachezaji kutokufutilia mbali mchezo huo siku ya jumanne. Macri alimjibu waziri huyo kuwa yeye hawezi kuingilia maamuzi ya mwisho ya chama cha soka cha taifa hilo.

Raisi Macri aliwasiliana na uongozi wa chama cha soka kujua msimamo wao. Viongozi walimwambia kuwa kila mchezaji ana hofu na hakuna mchezaji ambaye yupo tayati kucheza pambano hilo. Macri alimpigia simu waziri wa Israel na kumuomba radhi kwamba hakuna mchezaji ambaye atakubali kucheza pambano hilo.

Macri mwenyewe alikuwa tayari kwenda katika mpambano baada ya kualikwa na matajiri wa kiyahudi wanaofanya kazi.

Mchezaji wao Gonzalo ” Nashukuru kwa maamuzi hayo Kwa ajili afya zetu na maisha yetu. Hakukua na haja ya kucheza na wayahudi.

Hata hivyo Uongozi wa chama cha soka cha Israel kimishtumu sana maamuzi ya Rajoub na kusema amevunja mipaka.

Waziri wa Ulinzi wa israel Avigdor Lieberman amelaani kitendo hicho na kudai kuwa Wapalestina wamejaa chuki na wivu.

Msemaji wa wizara ya ulinzi Gilad Erdan alionhelea suala hilo na kusema kwamba

wamekuza jambo hilo kwa makusudi ili kumtisha Messi. Amesema kitendo cha kuchoma jezi za nyota huyo ni mipango ya taifa hilo kutaka kuondoa amani.
Na wataishia hatua ya makundi. Kwanini hapo awali walipanga wacheze?
 
Soon netambwa atakuhamisha na familia yako nchini mwake na haki zote utapewa, sio kwa kuwasifia hivyo hao shetani wala watu!!!
Sina haja ya kuhamia Israel, tz pananitosha. Niambie, Israel kwao ni wapi?
 
Wayahudi weusi wana matatizo ya akili..
Eti unakuta mtu kang'ang'ania eti ukiilaani israeli na wewe umelaaniwa...

Hakuna cha kulaaniwa fisi wale wala nyama za watu. Hao walishalaaniwa ndiyo maana all the time hawajiamini ni watu wenye khofu kubwa sana. Laana inawaumiza hao dogs/nguruwe
 
Hakuna cha kulaaniwa fisi wale wala nyama za watu. Hao walishalaaniwa ndiyo maana all the time hawajiamini ni watu wenye khofu kubwa sana. Laana inawaumiza hao dogs/nguruwe
Kwa kutukana tu hamjambo.

Leteni historia tuone. Israel kwao wapi?
 
Na wataishia hatua ya makundi. Kwanini hapo awali walipanga wacheze?
Wametishiwa wakaogopa. Inashangaza kweli.

"...Katibu mkuu wa chama cha soka cha Palestina Jibril Rajoub aliuomba uongozi wa chama soka cha argentine kufuta mchezo huo mara moja

Baadhi ya mashabiki wa Messi nchini Palestina walichoma jezi za nyota huyo mara baada ya kikosi hicho kuwasili Jerusalem kwa muda..."
 
Back
Top Bottom