carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,771
Hahaaa myahudi mweusi nakuona..JF-Expert Member
#56
3 minutes ago
New
Israel ni taifa teule: argentina wamebugi kwa kufanya hivyo safari yao ya kombe la dunia wakienda mbali sana mwisho nusu fainali. Hawatoki wamekosa baraka za jerusalem. Tuwasiliane baada ya fainali kuisha.
Niambie hio israeli imeshinda kombe la dunia mara ngapi??
Au hata fainali imewahi kufika..
Taifa teule my foot