Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Kubwa kwa mantiki ipi?Jibu swali lipi kombe kubwa
Prize money
UShindani
Heshima.
Au kubwa kwa muktadha gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubwa kwa mantiki ipi?Jibu swali lipi kombe kubwa
Wewe ndiyo umesema kutoka na moyo wako,ila hamna sehemu iliyo andikwa kwamba ukishinda UEFA basi ww unastahili Ballon Dor na ndio maana nikakuomba takwimu na reference.
Halafu kombe la dunia ni mchakato wa mda mrefu,sio tukio la mwezi mmoja,timu hazi chaguliwi bali zinapambana au ushajiuliza kwa nini Halaand timu yake haikushiriki?
Maana kwa jinsi mnavyo ongea hizo timu 32 kama zimepewa nafasi za upendeleo kushiriki kombe la dunia.
Ucl ndio kila kitu kakwambia nani ?
Akikutag nitag pianamimi unitag mkuu, natamani sana kuona uyo ataetajwa....
Tap ins goals ndio unasema top performer huu mpira wa LiveScore inabidi muachane nao
Mchezaji ambaye hawezi kumpiga chenga hata mchezaji mmoja unataka awe mchezaji bora wa dunia
Hiyo ni dunia ya wapi ?
Kwenye nyakati muhimu haonekani
Hahahaha
Acha kuangalia mpira LiveScore
Mwaka wa kombe la dunia aliyechukua kikombe mara nyingi ukiacha 2018 huwa lazima huyo atoe mchezaji wa Ballon D’or!
Varane alishinda Champions League na World Cup.nikuwa unapoteza kumbukumbu ama unazirusha? Modric alishinda Champion League pia kwenye ule msimu
Varane alishinda Champions League na World Cup.
Modric alimflip Varane kwa performance yake WC ambapo alikuwa MVP. Champions League Ronaldo alifanya vizuri kumzidi Luca. Unajitoaje ufahamu kindezi hivi?
Kumbe hakuwa best ila second best. Kama ni hivyo alishindaje ubora wa dunia ikiwa WC haikusaidia?Lakini Modric alikuwa ndio second best performer wa Club kwenye Champion League. Au kuna sheria inayosema kila Club haihitaji kuwa na nominee zaidi y a mmoja?
Kumbe hakuwa best ila second best. Kama ni hivyo alishindaje ubora wa dunia ikiwa WC haikusaidia?
Acha ujinga wewe hakuna mwenye magoli mengi ya solo kama messi tangu hii dunia iumbwe80% ya magoli ya Messi na Ronaldo ni Tap ins pia kwanini leo iwe tatizo kwa Halland?
Acha ujinga wewe hakuna mwenye magoli mengi ya solo kama messi tangu hii dunia iumbwe
Wewe na kina Nani..??haya muungane mkampe mnayemtakaMessi apewe mwakani dunia iachane na huyu mtu. Labda huenda tukashuhudia vipaji vipya vikishindanishwa sio kijana anaibuka anakutana na mzee kwamba ndo mshindani wake.
Mashabiki tunahitaji burudani mpya, ushindani mpya, vita mpya.
Iyo pimbi nimegundua either haijui kitu au penaldo fanUcl ndio kila kitu kakwambia nani ?
Bullshit.Badi haibadilishi hoja kuwa Most of his goals ni tap in
Watu mtaani wanasema ETI HALLANDAkiijibu naomba unitag. Amtaje huyo mchezaji na mafanikio yake yalomzidi Messi kias anastahili tuzo.