Mnapata wapi muda wa kujibizana na hawa fanboys wa Ronaldo?
Kocha wa Eerling Haaland, bwana Pep Guardiola amesema Messi ndio anastahili. Hawa akina Selemani wa Tandahimba na Tukuyu waacheni waamini watakavyoona wao.
Wapiga kura ni waandishi mashuhuri wa habari za michezo, macaptain wa timu pamoja na makocha wanaoujua mpira vizuri kabisa. Kama wao wakiamua kumpa Messi, wewe msela nondo wa Kibondo hata ukipasuka haisaidii. You're a nobody, and you know nothing. No one cares about your opinion!
Yani mimi nikae kabisa kujadili mpira na mtu ambae haoni umuhimu wa world cup? Eti world cup ni mechi saba tu, shut the f@ck up! Ligi yenu ya bongo iko na mechi ngapi? Je ni bora kushinda Africa cup of nations? UEFA na EPL, ipi yenye mechi nyingi? Ipi ni kubwa kuliko nyingine?
The world cup is the biggest and the most prestigious football tournament. Kama hujui umuhimu wake, hiyo ni shida yako mwenyewe. Fabio Cannavaro alishinda Balon d'Or tena akiwa beki, na club yake ikiwa hoi bin taaban (ilishuka daraja kama sikosei). Kilichompa balon d'Or ni world cup!
To all Ronaldo Fanboys mnaochukia Messi kushinda balon d'Or ya nane, cry me a river. F@ck you all, and have a good night!