Vigezo huwa vinabadilika mara kwa mara, ili kum-favor jama fudenge au kumkomoa jamaa fulani.
2010, Xavi na Iniesta walibeba kombe la dunia, lakini alobeba Ballon d'Or ni mtu fudenge.
2014, jamaa fudenge angebeba UCL, hata kama basi angepewa yeye tena. Sema ndo hivyo ikampita kushoto.
2018, jamaa fudenge alipoteana. Ilikuwa sazi tuzo anapata jamaa fulani, basi vigezo vikabadikishwa tena akapewa LUKA MODRIC ili kumkomoa jamaa fulani.
2019 si unakumbuka mkuu? Mtu fudenge alibeba hiyo mambo kwa takwimu uchwara? Tukawekewa beki wa kati wa Liver yule, then zikafanishwa assist na magoli na mtu fudenge. BAasi mtu fudenge akapewa.
Matukio ni mengi sana mkuu. Nadhani unakumbuka mwkaa juzi juzi tuu hapo, mtu fudenge alikiri Lewandoski ana deserve Ballon d'Or kuliko yeye.
Ukiyajua haya mkuu, utaendelea kushughulika na mambo mengine.