Messi akishinda tena Ballon Dior itakuwa ni yale ya upendeleo, mapenzi na favouritism

Messi akishinda tena Ballon Dior itakuwa ni yale ya upendeleo, mapenzi na favouritism

images (2).jpeg
images (1).jpeg


Kama hutaki mess ashinde mpe yako
 
Yaani kigezo kiwe kombe la Dunia tu?, HAKUNA mchezaji aliyeisaidia timu yake kuchua kombe la Dunia Kama Messi!!

Halland ana makombe 3 mkononi unakuja unaleta story za kombe la Dunia la kupewa asee!
Fuatilia mpira acha chuki.
Mimi ni team Ronaldo, lakini kwa hili la sasa Messi hana mpinzani, kataa au kubali.
Huwezi kutenganisha moja kwa moja mafanikio ya mchezaji kwenye kombe la dunia na Ballon di'or.

Kama mwaka jana (2022) Messi alitwaa Ballon di'or kwa mafanikio ya Copa America, ni vipi ashindwe kutwaa Ballon di'or 2023 kwa mafanikio ya World Cup?

Hivi unajua, Messi kuwezesha Argentina kutwaa kombe la dunia ndio kilikuwa kilele cha juu zaidi ambacho hakuwahi kukifikia hapo kabla?

Hivi unajua, world Cup iliyopita ilimpa Messi tuzo kadhaa ikiwemo mchezaji bora na mfungaji bora?


Haaland anakosa hizi sifa.
1. Hana trend ya kutisha sana kabla ya msimu uliopita. (Ni vigumu kuibuka moja kwa moja na kutwaa tuzo ya Ballon di'or)

2. Hana kipimo kingine chochote cha uchezaji wake zaidi ya idadi ya magoli aliyoifungia Man City na kutwaa mataji matatu msimu uliopita.

3. Hakufanikiwa kucheza world Cup wakati washindani wake walishiriki.
 
Fuatilia mpira acha chuki.
Mimi ni team Ronaldo, lakini kwa hili la sasa Messi hana mpinzani, kataa au kubali.
Huwezi kutenganisha moja kwa moja mafanikio ya mchezaji kwenye kombe la dunia na Ballon di'or.

Kama mwaka jana (2022) Messi alitwaa Ballon di'or kwa mafanikio ya Copa America, ni vipi ashindwe kutwaa Ballon di'or 2023 kwa mafanikio ya World Cup?

Hivi unajua, Messi kuwezesha Argentina kutwaa kombe la dunia ndio kilikuwa kilele cha juu zaidi ambacho hakuwahi kukifikia hapo kabla?

Hivi unajua, world Cup iliyopita ilimpa Messi tuzo kadhaa ikiwemo mchezaji bora na mfungaji bora?


Haaland anakosa hizi sifa.
1. Hana trend ya kutisha sana kabla ya msimu uliopita. (Ni vigumu kuibuka moja kwa moja na kutwaa tuzo ya Ballon di'or)

2. Hana kipimo kingine chochote cha uchezaji wake zaidi ya idadi ya magoli aliyoifungia Man City na kutwaa mataji matatu msimu uliopita.

3. Hakufanikiwa kucheza world Cup wakati washindani wake walishiriki.

kwanini washindi wa world cup 2010, 2014, 2018 hakuna aliyepewa hiyo tunzo?
 
Toka lini Kombe la dunia likawa lina uzito?
Kwa sababu kachukua messi?
Kwani Canavaro na Modric kitu gani kilicho wafanya wachukue hiyo tuzo?

Okay hafu ww unataka achukue nani hiyo tuzo na kwa vigezo gani?
 
Kwani Canavaro na Modric kitu gani kilicho wafanya wachukue hiyo tuzo?

Okay hafu ww unataka achukue nani hiyo tuzo na kwa vigezo gani?

nikuwa unapoteza kumbukumbu ama unazirusha? Modric alishinda Champion League pia kwenye ule msimu
 
nikuwa unapoteza kumbukumbu ama unazirusha? Modric alishinda Champion League pia kwenye ule msimu
Kwa hiyo kigezo cha Champion league ndio unatakiwa lazima ushinde ya FIFA? Mbona Verane alishinda Championship na Kombe la dunia why kwa nini hakuchukua kama kigezo ndio hicho?

Vp nae Canavaro?

Halafu imeandikwa wapi ukiwa mchezaji bora wa UEFA lazima ushinde tuzo ya FIFA, mbona wachezaji kibao wamechukua tuzo ya FIFA bila kuwa mchezaji bora wa UEFA?
 
Kwa hiyo kigezo cha Champion league ndio unatakiwa lazima ushinde ya FIFA? Mbona Verane alishinda Championship na Kombe la dunia why kwa nini hakuchukua kama kigezo ndio hicho?

Vp nae Canavaro?

Halafu imeandikwa wapi ukiwa mchezaji bora wa UEFA lazima ushinde tuzo ya FIFA, mbona wachezaji kibao wamechukua tuzo ya FIFA bila kuwa mchezaji bora wa UEFA?

Ballon Dior inahusianaje na fifa?
 
Ebu kabla haujaanza kubishana kwa sababu ushabiki wako kwa Messi, nipatie stats au details za kiwango bora(zaidi ya kushinda kombe la dunia ) ambazo zitamfanya Messi awe tena mshindi wa ballon dior.

Ni issue tu ya mapenzi tu kwa huyu jamaa ndio maana tena atabeba lakini kuna watu lukuki wamefanya vyema zaidi yake kwa kipindi hichi.
View attachment 2792549
Huu ni unafiki tuu na wewe ni mshabiki wa Ronaldo.

Modric alichukua ballon d'or kwasababu alifika fainali ya kombe la dunia na kuchukua mchezaji bora wa kombe la dunia.

Ndio ule msimu Real Madrid walichukua Uefa lakini Madric hakuwa mchezaji bora kweny kikosi cha Real Madrid, kilichomfanya apewe hio tuzo ni performance yake kweny kombe la dunia.

Ukiachana na kushinda na kuwa best player kweny kombe la dunia, Msimu uliopita messi aliongoza kwa;
-Goal contributions(Goals+Assists)
-most assists
-most complete dribbles
-most playmaking (kampita hadi De Bruyne)

F2HUnU-WcAASrPz.jpg


Cha kushangaza Messi akishinda anaitwa Mwizi na anapendelewa lakini wengine wakishinda mnaona sawa, kwann?

Yaan hata Messi angekuwa ana magoli nusu ya aliyokuwa nayo bado Messi angekuwa The best player of time, huwez kupima anachofanya uwanjani, alaf unamfananisha na waviziaji kama hawa.

Angalia hii👇👇👇
Screenshot_20230918_022711_Instagram.jpg
 
Watu wanatakiwa kuelewa kua ubora wa Messi haufanani kabisa na hizi tuzo anazopewa, Messi ni zaidi ya tuzo kiuchezaji jamaa anaujua mpira, hata ikitokea hapati tuzo yoyote bado ndie kiumbe fundi wa soka duniani kwa sasa mpaka atakapotundika daruga!!
 
Ebu kabla haujaanza kubishana kwa sababu ushabiki wako kwa Messi, nipatie stats au details za kiwango bora(zaidi ya kushinda kombe la dunia ) ambazo zitamfanya Messi awe tena mshindi wa ballon dior.

Ni issue tu ya mapenzi tu kwa huyu jamaa ndio maana tena atabeba lakini kuna watu lukuki wamefanya vyema zaidi yake kwa kipindi hichi.
View attachment 2792549
Wa kubebwa FC.
 
Ballon D'Or had 4 new changes announced after Messi won it in 2021, these were the following criteria:

1. It'll be voted based on Season (Aug-Jul), not on Calendar Year

2. More Specialists were added to the voting committee

3. Earlier 170 countries were allowed to vote, now it's only countries in Top 100 FIFA Rankings

4. Individual Performances will be given preference over Collective Achievements (Collective Achievements will also have bearings, but Individual Performance first)

Now out of these 4 changes, clearly 1st and 4th are most important. So let's analyse them:

• In terms of Season, the differences are simple:

- Haaland won the Treble, but didn't win UCL POTT (his teammate Rodri did), but he did win PL POTY

- Messi, on the other hand, won the World Cup, WC Golden Ball, and League but didn't win Ligue 1 POTY.

• Now let's look at their Individual Performances:

Messi vs Haaland this season:

Games - 53 each 🇳🇴🇦🇷
Goals - 52 🇳🇴
Assist - 25 🇦🇷
GA - 62 🇦🇷
Key Passes - 147 🇦🇷
BCC - 43 🇦🇷
League goals - 36 🇳🇴
League assists - 15 🇦🇷
WC Goals - 7 🇦🇷
WC Assists - 3 🇦🇷
UCL Goals - 12 🇳🇴
UCL Assists - 4 🇦🇷
Average Rating - 8.16 🇦🇷

Messi won:
  • World Cup
  • World Cup Golden Ball
  • Ligue 1
  • Ligue 1 SuperCup
  • FIFA The Best
  • Laureus Player of the Year
  • Man of the Match in every Round in World Cup

Haaland won:
  • Champions League
  • Premier League
  • FA Cup
  • UCL Golden Boot
  • PL POTY
  • PL Golden Boot

All in all, Messi definitely has more G/A, more clutch moments and has already won the Best Player of the Year award from 2 different Major Organizations which means INDIVIDUALLY he had a way better season.
 
Back
Top Bottom